Kwa hoja ipi watu wanaamini kuwa taifa la Israel ni taifa la Mungu ingalikuwa ni taifa linaloishi kwa Upanga?

Hata wale wa Mungu anaeitwa allah wanatupa mkanganyiko pia!!!!Maana kuna sheria moja wanaikwepa kaka au hujui?????
 
bigg bjgggg point borrr
 
Laana uliyonayo haikuanza kwako tu, itakuwa ilianza kwa babu zako na inaendelea kuwatafunana nyie ktk huo ukoo!
Laana hii ya kuasi kumbuka ni ya milele kwenu!
Laana gwa nyoko hakuna laana Wala Bibi yake ibilisi kwetu we are blessed na Nina furaha kuliko wewe hapo na hizo stress zako toka pepooooo
😁😁😁😁😁
 
Shauri zako, ngoja siku Messiah ajitokeze hapo Israel na kuanza kupatanisha mataifaa ndipo taya yako ya chini itadondoka kwa kushangaa.
Kipindi hicho cha massiah mapanga yatapondwa kutengeneza majembe. Na watu hawatajifunza tena vitaa wanajeshi wote duniani watakosa cha kufanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…