Ninaandika nikiwa nina hasira kali sana dhidi ya mbunge aitwae Babu Tale kutokana na hoja zake zilizokosa weledi huko bungeni wakati akichangia bajeti ya wizara inayohusika na sanaa. Huyu babu kwa kukosa weledi alitaja majina ya wasanii katika hali iliyoonyesha kabisa ni chuki dhidi ya baadhi ya wasanii wakati alipaswa kuwa mwakilishi wa wasanii wote. Ni kauli ambazo sina haja ya kuzirudia hapa maana zinatrend kwa sasa.
Ninamkumbusha Babu Tale kujua kwamba anapokuwa bungeni anakuwa mwakilishi wa watanzania wote na sio mwakilishi wa WCB wala Tiptop. Kitendo cha kumtetea Kasim Mganga na kumponda Luludiva sio cha kiungwana. Pia ninamshauri mwaka 2025 atafute kazi nyingine za kufanya kwasababu wabunge mizigo hawatarudi bungeni.
Tunapaswa kubadili katiba ili angalau bungeni wasiingie vilaza kama kina Tale na kuchafua hadhi ya bunge.
Your browser is not able to display this video.
Mbunge Babu Tale akichangia bajeti ya wizara ya utamaduni
Nilimuona hata mimi wakati anachangia mawazo yake wakati Waziri mwenye dhamana ya Michezo na burudani/utamaduni alipokuwa akiwasilisha bajeti yake!
Kiufupi Babu Tale anaumudu Umeneja tu wa timu yake ya Wasafi na Tiptop Connection! Ila siyo Ubunge. Maana muda wote aliutumia kuwasema BASATA na COSOTA kwa sababu tu wamekuwa na utaratibu wa kufungia Wasanii wasio jitambua, na pia nyimbo zilizo kinyume na maadili ya Mtanzania!
Ifikie wakati 2025, watu wasio na sifa ya kuwa Wabunge, wafanye tu shughuli zao za kila siku za kuwaingizia kipato! Na hivyo Bunge jipya liundwe na watu smart kichwani!
Hakuna kilaza anaingia bungeni nyinyi washamba mliopita madarasani inabidi nchi itenge bajeti mpewe exposure. Bado hamuilewi dunia ndio maana mastermind street smart kama Tale mnamuona kilaza.
Hakuna kilaza anaingia bungeni nyinyi washamba mliopita madarasani inabidi nchi itenge bajeti mpewe exposure. Bado hamuilewi dunia ndio maana mastermind street smart kama Tale mnamuona kilaza.
Hakuna kilaza anaingia bungeni nyinyi washamba mliopita madarasani inabidi nchi itenge bajeti mpewe exposure. Bado hamuilewi dunia ndio maana mastermind street smart kama Tale mnamuona kilaza.
Ninaandika nikiwa nina hasira kali sana dhidi ya mbunge aitwae Babu Tale kutokana na hoja zake zilizokosa weledi huko bungeni wakati akichangia bajeti ya wizara inayohusika na sanaa. Huyu babu kwa kukosa weledi alitaja majina ya wasanii katika hali iliyoonyesha kabisa ni chuki dhidi ya baadhi ya wasanii wakati alipaswa kuwa mwakilishi wa wasanii wote. Ni kauli ambazo sina haja ya kuzirudia hapa maana zinatrend kwa sasa.
Ninamkumbusha Babu Tale kujua kwamba anapokuwa bungeni anakuwa mwakilishi wa watanzania wote na sio mwakilishi wa WCB wala Tiptop. Kitendo cha kumtetea Kasim Mganga na kumponda Luludiva sio cha kiungwana. Pia ninamshauri mwaka 2025 atafute kazi nyingine za kufanya kwasababu wabunge mizigo hawatarudi bungeni.
Tunapaswa kubadili katiba ili angalau bungeni wasiingie vilaza kama kina Tale na kuchafua hadhi ya bunge.