Mynd177
JF-Expert Member
- Dec 3, 2022
- 2,817
- 5,141
Waanze kujichukulia SHARIA mkononi...Ni kweli kunyimana unyuma ni jambo linaloleta msongo wa mawazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waanze kujichukulia SHARIA mkononi...Ni kweli kunyimana unyuma ni jambo linaloleta msongo wa mawazo
Kama ulivyoandika hapo juu #1 mwanaume kubadilisha dini kisa mwanamke as a man ni udhaifu mmoja mkubwa mno kwanza hata yeye kabla hata ya zile dharau za ndani ya nyumba atakuwa anakudharau kwa hilo.maisha ya ndoa.
Binafsi mpenzi wangu alikuwa mkristo na nilitamani kubadilisha dini ili nimuoe ila kwa kisa hiki Naona Bora mapema kabisa kupiga chini mana ana jeuri na kiburi na ni mtu anauwezo mkubwa wa kukupanda kichwani na kukupa hasira.
Pamoja na case studies kibao bado watu hawataki kukubaliana na ukweli kwamba, katika generation tuliyopo ndoa ni concept ambayo imeshapitwa na wakatiIli kuepuka yote hayo na kubaki salama kuliko kuishi kama digidigi ni KUKATAA NDOA TU.
Yes,historia inaonyesha kuna mtu alihukumiwa kunyongwa baada ya kuwekwa kitanzini na kuanza kuning'inia kamba ikakatika wanasheria wake wakakomalia jamaa keshanyongwa sababu hukum ilistate kunyongwa tu na sio kufa,akachomoka.Hivi hii U
Hivi hii Hukumu ya kunyongwa iko mara 2?, kuna Kunyongwa hadi kufa na Kunyongwa pasipo kufa?
Hizi ni point kali sana.1. Mwanaume usibadilishe dini kwa sababu ya mwanamke hata kama unampenda vipi.
03. Ukiona mwanamke ana asili ya jeuri na kiburi achana nae mapema sana. Usipomuacha itakuja kukucost sana hapo baaadae
04. Pesa na nyumba sio mahitaji ya mwanamke, jamaa alikuwa na nyumba Kali na gari nne ila mke alikuwa hatuliii sijui alikuwa anataka Nini.
06. Ukiamua kuachana na mwanamke usibembeleze Bora ukubali kukosa kila kitu ila usiforce mahusiano mabaya
07. Ndugu upande wa mke wako automatically hawakupendi.. hata kama mkeo anafanya makosa gani.
08. Mwanamke aliesoma sio salama sana, wengi wao ni wajuaji viburi na majeuri.
Wanaume wana akili za kike siku hizi, kazi kulalamika tu mitandaoni, mara singo maza hivi, demu wangu vile kama ilivyokua kwa Ke zamani.Na ndo weng wakiumizwa hko hukimbilia mitandaon kulialia, cjui ndo inakua wameadhirika kisaikorojia
Halafu unabaki na watoto wao, unaleta wengine wake kulelea hao watoto! Ingekuwa rahisi hivyo unazani watu wangekuwa wanagaragazana Kisha wanaendelea?Wakizingua nawapa talaka wote naanza upya mzee, wasiwasi wako nini?
Wee babu em apia! [emoji23][emoji23][emoji23]Nzi kufia kwenye kidonda ni USHUJAA
Mkuu Labda tunatesana kwa zamu. leo KE kesho MEWanaume wana akili za kike siku hizi, kazi kulalamika tu mitandaoni, mara singo maza hivi, demu wangu vile kama ilivyokua kwa Ke zamani.
Mmeingia kwenye mtego wao, hamtake action kazi kulalamika.Mkuu Labda tunatesana kwa zamu. leo KE kesho ME
Itabid tuweke sheria ya viboko hawa boy lialia wakija kuomba ushaur jambo ambalo maamzi yake mepesMmeingia kwenye mtego wao, hamtake action kazi kulalamika.
Unakuta jitu limechapiwa live live bila chenga na hajui afanye nini anaomba ushauri, mke analeta madharau lakini mtu anatoa mchozi kuomba ushauri.
1. Mwanaume usibadilishe dini kwa sababu ya mwanamke hata kama unampenda vipi.
2. Ikitokea umefanya makosa ya jinai ukitaka kufanya udanganyifu kama huna elimu lazima utaishia kukamatwa tu, jamaa alijitumia message kama anachart na mkawake at the same time at the same location 😂
03. Ukiona mwanamke ana asili ya jeuri na kiburi achana nae mapema sana. Usipomuacha itakuja kukucost sana hapo baaadae
04. Pesa na nyumba sio mahitaji ya mwanamke, jamaa alikuwa na nyumba Kali na gari nne ila mke alikuwa hatuliii sijui alikuwa anataka Nini.
05. Ni muhimu sana kujua afya ya akili ya mpenzi wako au mchumba wako.
06. Ukiamua kuachana na mwanamke usibembeleze Bora ukubali kukosa kila kitu ila usiforce mahusiano mabaya
07. Ndugu upande wa mke wako automatically hawakupendi.. hata kama mkeo anafanya makosa gani.
08. Mwanamke aliesoma sio salama sana, wengi wao ni wajuaji viburi na majeuri.
Soma Pia: Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa
09. Kuna mambo mengi katika ndoa ambayo yanaweza kukupa hasira mpaka uamue kuuwa.
10. Kunyimana unyumba ni jambo hatari Sana katika maisha ya ndoa.
Binafsi mpenzi wangu alikuwa mkristo na nilitamani kubadilisha dini ili nimuoe ila kwa kisa hiki Naona Bora mapema kabisa kupiga chini mana ana jeuri na kiburi na ni mtu anauwezo mkubwa wa kukupanda kichwani na kukupa hasira.
Kabisa mkuu, wanalia hovyohovyo mnoItabid tuweke sheria ya viboko hawa boy lialia wakija kuomba ushaur jambo ambalo maamzi yake mepes
Mkuu mbna maana ni moja tuMwanamke aliesoma sio salama sana, wengi wao ni wajuaji viburi na majeuri. Hii siyo kweli, wanawake hatari ni wale waliopata socialisation iliyovuka mipaka ya uelewa wao, hawa ni lay ladies kutoka kijijini galaxy yuko mini, ref: Professor Jay ft Ferooz – Nikusaidiaje https://www.google.com/url?sa=t&sou...QtwJ6BAgtEAE&usg=AOvVaw3eWRD9x1dHRhY1CQgosteU
Usipooa unakua huna mke.Hivi inakuwaje mwanaume huna mke?