Kwa hukumu ya bwana Hamisi kunyongwa hadi kufa nimejifunza yafuatayo

Kwa hukumu ya bwana Hamisi kunyongwa hadi kufa nimejifunza yafuatayo

Ni kweli kunyimana unyuma ni jambo linaloleta msongo wa mawazo
Na wengi huzani ni wanaume tu ndiyo wanaonyimwa, wanasahau wanaume wanakuwa na michepuko wakirudi majumbani wamechoka, na mwishowe wake zao wanakata tamaa, siku akihitaji wanakuta mke alishatoka kwenye mfumo, na ugomvi huamzia hapo na kusahau tatizo lilianzia kwake.
 
Kwani yeye sio mwanamke? Nayeye akishajua mapungufu ya mwinzie naye ataanza kukunyoosha siku ya siku unsjikuta kati unapigwa huku na huku mara pressure hiyo, mke mmoja anakusumbua je hao wawili?
Wakizingua naongeza wa 3 wakizingua tena naongeza wa4
 
Hakunaga mapenzi ya ndoa yanayodumu ya dini mbili tofauti mtadumu tu mwanzoni mkishazoeana kila mtu atataka watoto waende dini yake ndo mgogoro unapooanzia hapo
 
1.Mwanaume usibadilishe dini kwa sababu ya mwanamke hata kama unampenda vipi.

2.Ikitokea umefanya makosa ya jinai ukitaka kufanya udanganyifu kama huna elimu lazima utaishia kukamatwa tu, jamaa alijitumia message kama anachart na mkawake at the same time at the same location 😂

03.Ukiona mwanamke ana asili ya jeuri na kiburi achana nae mapema sana. Usipomuacha itakuja kukucost sana hapo baaadae

04.pesa na nyumba sio mahitaji ya mwanamke, jamaa alikuwa na nyumba Kali na gari nne ila mke alikuwa hatuliii sijui alikuwa anataka Nini.

05.Ni muhimu sana kujua afya ya akili ya mpenzi wako au mchumba wako.

06.ukiamua kuachana na mwanamke usibembeleze Bora ukubali kukosa kila kitu ila usiforce mahusiano mabaya

07.Ndugu upande wa mke wako automatically hawakupendi.. hata kama mkeo anafanya makosa gani.

08.Mwanamke aliesoma sio salama sana, wengi wao ni wajuaji viburi na majeuri.

Soma Pia: Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa

09.Kuna mambo mengi katika ndoa ambayo yanaweza kukupa hasira mpaka uamue kuuwa.

10. Kunyimana unyumbaa ni jambo hatari Sana katika maisha ya ndoa.

Binafsi mpenzi wangu alikuwa mkristo na nilitamani kubadilisha dini ili nimuoe ila kwa kisa hiki Naona Bora mapema kabisa kupiga chini mana ana jeuri na kiburi na ni mtu anauwezo mkubwa wa kukupanda kichwani na kukupa hasira.
Salha wa mwanza na yule boya lake ndio the same Hamis
 
1.Mwanaume usibadilishe dini kwa sababu ya mwanamke hata kama unampenda vipi.

2.Ikitokea umefanya makosa ya jinai ukitaka kufanya udanganyifu kama huna elimu lazima utaishia kukamatwa tu, jamaa alijitumia message kama anachart na mkawake at the same time at the same location 😂

03.Ukiona mwanamke ana asili ya jeuri na kiburi achana nae mapema sana. Usipomuacha itakuja kukucost sana hapo baaadae

04.pesa na nyumba sio mahitaji ya mwanamke, jamaa alikuwa na nyumba Kali na gari nne ila mke alikuwa hatuliii sijui alikuwa anataka Nini.

05.Ni muhimu sana kujua afya ya akili ya mpenzi wako au mchumba wako.

06.ukiamua kuachana na mwanamke usibembeleze Bora ukubali kukosa kila kitu ila usiforce mahusiano mabaya

07.Ndugu upande wa mke wako automatically hawakupendi.. hata kama mkeo anafanya makosa gani.

08.Mwanamke aliesoma sio salama sana, wengi wao ni wajuaji viburi na majeuri.

Soma Pia: Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa

09.Kuna mambo mengi katika ndoa ambayo yanaweza kukupa hasira mpaka uamue kuuwa.

10. Kunyimana unyumbaa ni jambo hatari Sana katika maisha ya ndoa.

Binafsi mpenzi wangu alikuwa mkristo na nilitamani kubadilisha dini ili nimuoe ila kwa kisa hiki Naona Bora mapema kabisa kupiga chini mana ana jeuri na kiburi na ni mtu anauwezo mkubwa wa kukupanda kichwani na kukupa hasira.
CUBIRI cOURT OF APPEAL JUDGEMENT....HIZI A hIGH COURT ZIKO FLAUTED IN REASONING ZILIZO NYINGI!
 
Wanawake kinachowaponza ni tamaa na njaa akishiba inbaki tamaa
 
1.Mwanaume usibadilishe dini kwa sababu ya mwanamke hata kama unampenda vipi.

2.Ikitokea umefanya makosa ya jinai ukitaka kufanya udanganyifu kama huna elimu lazima utaishia kukamatwa tu, jamaa alijitumia message kama anachart na mkawake at the same time at the same location 😂

03.Ukiona mwanamke ana asili ya jeuri na kiburi achana nae mapema sana. Usipomuacha itakuja kukucost sana hapo baaadae

04.pesa na nyumba sio mahitaji ya mwanamke, jamaa alikuwa na nyumba Kali na gari nne ila mke alikuwa hatuliii sijui alikuwa anataka Nini.

05.Ni muhimu sana kujua afya ya akili ya mpenzi wako au mchumba wako.

06.ukiamua kuachana na mwanamke usibembeleze Bora ukubali kukosa kila kitu ila usiforce mahusiano mabaya

07.Ndugu upande wa mke wako automatically hawakupendi.. hata kama mkeo anafanya makosa gani.

08.Mwanamke aliesoma sio salama sana, wengi wao ni wajuaji viburi na majeuri.

Soma Pia: Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa

09.Kuna mambo mengi katika ndoa ambayo yanaweza kukupa hasira mpaka uamue kuuwa.

10. Kunyimana unyumbaa ni jambo hatari Sana katika maisha ya ndoa.

Binafsi mpenzi wangu alikuwa mkristo na nilitamani kubadilisha dini ili nimuoe ila kwa kisa hiki Naona Bora mapema kabisa kupiga chini mana ana jeuri na kiburi na ni mtu anauwezo mkubwa wa kukupanda kichwani na kukupa hasira.

Shikilia hapa Kama basi atakuwa Bado ajakuloga:

“Binafsi mpenzi wangu alikuwa mkristo na nilitamani kubadilisha dini ili nimuoe ila kwa kisa hiki Naona Bora mapema kabisa kupiga chini mana ana jeuri na kiburi na ni mtu anauwezo mkubwa wa kukupanda kichwani na kukupa hasira”
 
1.Mwanaume usibadilishe dini kwa sababu ya mwanamke hata kama unampenda vipi.

2.Ikitokea umefanya makosa ya jinai ukitaka kufanya udanganyifu kama huna elimu lazima utaishia kukamatwa tu, jamaa alijitumia message kama anachart na mkawake at the same time at the same location 😂

03.Ukiona mwanamke ana asili ya jeuri na kiburi achana nae mapema sana. Usipomuacha itakuja kukucost sana hapo baaadae

04.pesa na nyumba sio mahitaji ya mwanamke, jamaa alikuwa na nyumba Kali na gari nne ila mke alikuwa hatuliii sijui alikuwa anataka Nini.

05.Ni muhimu sana kujua afya ya akili ya mpenzi wako au mchumba wako.

06.ukiamua kuachana na mwanamke usibembeleze Bora ukubali kukosa kila kitu ila usiforce mahusiano mabaya

07.Ndugu upande wa mke wako automatically hawakupendi.. hata kama mkeo anafanya makosa gani.

08.Mwanamke aliesoma sio salama sana, wengi wao ni wajuaji viburi na majeuri.

Soma Pia: Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa

09.Kuna mambo mengi katika ndoa ambayo yanaweza kukupa hasira mpaka uamue kuuwa.

10. Kunyimana unyumbaa ni jambo hatari Sana katika maisha ya ndoa.

Binafsi mpenzi wangu alikuwa mkristo na nilitamani kubadilisha dini ili nimuoe ila kwa kisa hiki Naona Bora mapema kabisa kupiga chini mana ana jeuri na kiburi na ni mtu anauwezo mkubwa wa kukupanda kichwani na kukupa hasira.
Kwamba mshkaji alibadili dini?
 
Dini inahusiana nn sasa mwarabu na mzungu nso walizileta hiyo ni barabara tu ya kukufikisha .....
 
Yule alifunga ndoa ya kikristo hakuna kuachana ,
angepoteza mali zake kweny talaka ...Kikubwa zaidi nasikia jamaa ndiye aliyeanza uzinz na ulevi mpaka kurudi usiku wa manane.

Funzo kubwa : mwanamke akilipiza lazima usande.
HAPO PIA KUNA SABAB ILIYOMFANYA AWE MZINZ NA MLEV
 
Back
Top Bottom