chama konokono
Senior Member
- Apr 27, 2023
- 103
- 226
Japo najua tutafuzu na kuwaondosha hawa Power Dinamos, ila sioni chetu huko group stage.
Tunacheza hovyo sana, yaani ni kama vile timu ya ndondo.
Endapo tukikutana na timu Bora basi kupigwa hamsa itakuwa ni jambo la kawaida sana.
Simba nguvu moja[emoji123]
#Robertinho Out#
Tunacheza hovyo sana, yaani ni kama vile timu ya ndondo.
Endapo tukikutana na timu Bora basi kupigwa hamsa itakuwa ni jambo la kawaida sana.
Simba nguvu moja[emoji123]
#Robertinho Out#