Kwa huu mshahara, take home ni shingapi?

Kwani mangi na Sinza pazuri wanatofatiana bei au?
Jaribu kwenda kwa mangi na laki 2, asubuhi hesabu zitakuwa ni UMETUMIA shilingi ngapi.
Lakini ukienda kitambaa cheupe hesabu zitakuwa ni UMEBAKIWA na shilingi ngapi.

Tena kibaya zaidi hela zenyewe zinakuwa za kutafuta. Mara buku 2 uikute kwenye mfuko wa shati, 5000 mfuko wa suruali wa nyuma. Misimbazi kama mitatu ndio unaikuta kwenye waleti.
Unapiga hesabu ulivyotumia lakini hazienei.

Hii hali kuna watu wameipitia leo, niamini mimi.
 
Yani unalipwa 1.5M kwa kufanya kazi mwezi mzima? Mshahara mdogo sana huo waambie waongeze ufike angalau 2M kama hawawezi achana nao ukatafute kazi sehemu nyingine
 
Hamna anunue tu Kreti kadhaa au pombe kadhaa atie kwenye fridge ndani ajaze hata fridge tatu kubwa haizidi 500k..
Atakunywa mwezi mzima
 
Bado bima ya Afya hapo
 
Hello wajuvi nimepewa offer huko private sector naomba mnisaidie calculation ya takehome kwa huu mshahara: 1,549,000/=.

Nadaiwa HESLB.
Hapo kwa Makato ya PAYE(Kodi) &hifadhi ya, jamii,utaondoka na 1000,000/=na, vichenji kadhaa,
Hongera Sana,
Kwa, kuanzia, sio,haba! I used to get two times this, 15yrs ago, na, niliona mdogo, this life!
 
Hapo kwa Makato ya PAYE(Kodi) &hifadhi ya, jamii,utaondoka na 1000,000/=na, vichenji kadhaa,
Hongera Sana,
Kwa, kuanzia, sio,haba! I used to get two times this, 15yrs ago, na, niliona mdogo, this life!
Saivi utakuwa mbali sana hata 6 times sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…