Jaribu kwenda kwa mangi na laki 2, asubuhi hesabu zitakuwa ni UMETUMIA shilingi ngapi.Kwani mangi na Sinza pazuri wanatofatiana bei au?
Nakazia😃😃Yani unalipwa 1.5M kwa kufanya kazi mwezi mzima? Mshahara mdogo sana huo waambie waongeze ufike angalau 2M kama hawawezi achana nao ukatafute kazi sehemu nyingine
Kantri iz Zis is wichi Tanzaniawhich cantry is this?
Nilitaka kukupa hesabu sahihi lakini kwa jibu hili nimeona kumbe ni utani tu. Umemaliza form 4 na una mkopo wa HESLB?Ndo nmemalza form 4, matokeo yametoka Jana leo nmepata kazi
Hamna anunue tu Kreti kadhaa au pombe kadhaa atie kwenye fridge ndani ajaze hata fridge tatu kubwa haizidi 500k..Jaribu kwenda kwa mangi na laki 2, asubuhi hesabu zitakuwa ni UMETUMIA shilingi ngapi.
Lakini ukienda kitambaa cheupe hesabu zitakuwa ni UMEBAKIWA na shilingi ngapi.
Tena kibaya zaidi hela zenyewe zinakuwa za kutafuta. Mara buku 2 uikute kwenye mfuko wa shati, 5000 mfuko wa suruali wa nyuma. Misimbazi kama mitatu ndio unaikuta kwenye waleti.
Unapiga hesabu ulivyotumia lakini hazienei.
Hii hali kuna watu wameipitia leo, niamini mimi.
Sasa Machozi ya simba bila barmaid mwenye Tarcle yananyweka?Hamna anunue tu Kreti kadhaa au pombe kadhaa atie kwenye fridge ndani ajaze hata fridge tatu kubwa haizidi 500k..
Atakunywa mwezi mzima
He in ken na local beersUnakunywa pombe qari au hizi local beers??
Jumla ya deni ni kama 5M...inaweza chukua mda gani kulimaliza?
Naskia Huwa haliishi lInaongezeka, ni kweli?5,000,000/= ÷ 232,350/= =21.5
Itakuchuku miezi 22 kulipa deni la Loan board.
Acha upumbavu, umemaliza f4 na unadaiwa HESLB?Ndo nmemalza form 4, matokeo yametoka Jana leo nmepata kazi
Acha kumtisha,hapo atarudi home na take home around 1.2 plus mln
Mhhh....em tupe mchanganuoAcha kumtisha,hapo atarudi home na take home around 1.2 plus mln
Uko sahihi Kwa kuwa amesema ana Loan Board uko sawaMhhh....em tupe mchanganuo
Bado bima ya Afya hapo232,350/= loan board avg.15% of BS.
154,900/= NSSF 10% of BS.
+246,230/= PAYE: after BS - NSSF .
633,480/= Makato kwa ujumla
Pesa mkononi/benki:
1,549,000/= - 633,480/= = 915, 520/=
Take home avg: 915, 520/=
Kama hakuna nyongeza ya malupulupu mengine au makato ya chama cha wafanyakazi au mambo yahusuyo misiba.
NB: BS.=Basic salary
Ni kweli ila inategemea na kampuni, mwajiri mwingine bima ya afya iko kwenye benefits.Bado bima ya Afya hapo
Hapo kwa Makato ya PAYE(Kodi) &hifadhi ya, jamii,utaondoka na 1000,000/=na, vichenji kadhaa,Hello wajuvi nimepewa offer huko private sector naomba mnisaidie calculation ya takehome kwa huu mshahara: 1,549,000/=.
Nadaiwa HESLB.
Saivi utakuwa mbali sana hata 6 times sioHapo kwa Makato ya PAYE(Kodi) &hifadhi ya, jamii,utaondoka na 1000,000/=na, vichenji kadhaa,
Hongera Sana,
Kwa, kuanzia, sio,haba! I used to get two times this, 15yrs ago, na, niliona mdogo, this life!
Waongo Mimi nimemaliza mwaka janaNaskia Huwa haliishi lInaongezeka, ni kweli?
Waongo Mimi nimemaliza mwaka janaNaskia Huwa haliishi lInaongezeka, ni kweli?