RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Kama mill 13 per month.Mtu mwenye PAYE ya 3M+ analipwa shingapi basic?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mill 13 per month.Mtu mwenye PAYE ya 3M+ analipwa shingapi basic?
Nna 1 ya 6 mkuu
Chukua 1,549000+500000 halafu gawanya kwa mbiliJana 1,549,000
Leo 500,000+
Hata tunachezewa akili tu.
Sikufanya civicsKweli Hiyo Kazi Unayofanya Inabidi Ufukuzwe I ya 6 Ya Nchi Gani Hiyo?
Hongera sanaUmeanza na mshahara mkubwa sana, wenzio tumeanza na 750,000/-
Niliwah lipa kama miaka 3 baadaye wakawa hawanipati,waliponipata nikakuta deni ni 1007000.Nikalipa miezi kan5 hv deni likaishaUmelipa kwa miaka mingap
Ingia Kwa web yao au wafuate ofisini.Au Kwa muhasibu wa kazini kwako anayekukata anayoHivi ukitaka kujua limebak kiasi gan unacheki wap?
Kweli huyo ni mpumbavu na hiyo kazi atafukuzwa.Ni noma, anahonga hadi gari...akienda bar anakuwa na washkaji zake hata 6 na analipia Kila ki2 na ni mzee wa viwanja Kila siku
Wasomi wako hapa. Japo maths haikuwa hobby yangu,lakini kwa swali alilouliza na jibu ulilompa,ingelikuwa mimi,ningesema sijui.Ingia kwenye website ya TRA angalia utakatwa PAYE ya kiasi Gani
Hata hivyo utakatwa pia Bima ya Afya pamoja na hiyo Bodi ya Mikopo bila kusahau NSSF ya 10% hivi
Roughly unaweza kurudi home na shilingi 930,000 hivi
Mwanzoni alitaja kiasi hicho nilichomjibu ila baadaye naona aliamua ku-edit kiasi cha mshahara wakeWasomi wako hapa. Japo maths haikuwa hobby yangu,lakini kwa swali alilouliza na jibu ulilompa,ingelikuwa mimi,ningesema sijui.
Nilimjibu sahihi kabla yeye muuliza swali kuedit kiasi cha Gross Salary yakeMshahara 582,000 halafu unamwambia atarudi na 930,000 home? Vp shehe?
Kwa hiyo,hata yeye hajui mshahala aliopewa? Duh! Waajili wengine mbona wapo matatani sasa na wao! Kwa mtindo huu! Basi hata kumjibu mmekoseaMwanzoni alitaja kiasi hicho nilichomjibu ila baadaye naona aliamua ku-edit kiasi cha mshahara wake
Angalia kuna mtu alimkoti akiwa hajafanya editing yeyote
Hizo zilikuwa ni hesabu za kawaida
Kwa Taaluma niliyonayo ilinilazimu kusoma Somo la Hesabu kuanzia Class I hadi Chuo Kikuu hivyo nisingeweza kukosa swali la Kutoa na Kujumlisha
ShkamooIngia kwenye website ya TRA angalia utakatwa PAYE ya kiasi Gani
Hata hivyo utakatwa pia Bima ya Afya pamoja na hiyo Bodi ya Mikopo bila kusahau NSSF ya 10% hivi
Roughly unaweza kurudi home na shilingi 930,000 hivi
Bhangiiii vijana wetuu hawaaMshahara 582,000 halafu unamwambia atarudi na 930,000 home? Vp shehe?
Huenda aliamua kuedit baada ya kuona maswali ya wadau humu kuhusu ni ajira Gani aliyopata hadi kuanza kulipwa Gross salary ya 1.58M wakati wenzao wengi wanaanza na mishahara ya Chini ya hapo Kwa first appointmentKwa hiyo,hata yeye hajui mshahala aliopewa? Duh! Waajili wengine mbona wapo matatani sasa na wao! Kwa mtindo huu! Basi hata kumjibu mmekosea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]watu tunaanza na kujitolea yeye analipwa mamilion...Huenda aliamua kuedit baada ya kuona maswali ya wadau humu kuhusu ni ajira Gani aliyopata hadi kuanza kulipwa Gross salary ya 1.58M wakati wenzao wengi wanaanza na mishahara ya Chini ya hapo Kwa first appointment
Hilo suala ndiyo lilifanya aamue kuedit andiko lake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]watu tunaanza na kujitolea yeye analipwa mamilion...