OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ila CCM mnatisha kwa wizi. Kituko ni kwamba hawa wezi watetezi wake mpo imaraTusubiri Maamuzi ya bunge
Betina hana uwezo wa kuisulubu serikali!Tusubiri Maamuzi ya bunge
Watoto pendwa wa Mama Kizimkazi na Godfather wao wa Msoga!
View: https://youtu.be/8e1UBU81_gc?si=2Q1GQkjkwy7vREo7
Nisiwachoshe.....
Uliibuliwa uozo wa kutisha na Lissu kuhusu ufisadi wa sukari. Uozo huo umejengewa hoja bungeni na Mpina. Bashe amepiga pesa kubwa, Lissu anasema Bashe ameshirikiana na Abdul kuuza vibali kimagumashi.
Kabla ya upigaji wa sukari kulikuwa na mradi hewa wa BBT. Mradi umeshindwa.
Najiuliza Bashe bado anafanya nini wizarani mpaka leo bado hajajiuzuru. Au ndio kusema alipata maelekezo toka juu?
Inashangaza mpaka sasa bado hajafunguliwa kesi ya uhujumu uchumi, matumizi mabaya ya madaraka na ufisadi wa kutisha
Kwa mara ya kwanza tangu Uhuru,Bunge limepata Spika chawa wa Rais!!Betina hana uwezo wa kuisulubu serikali!
Karibu jukwaani mtetezi wa majiziMtu akileta habari alete na ushahidi!
Watanzania tusiwe watu wakubeba taarifa/ umbea kama zilivyo ziwe za wasanii, wanasiasa au hata huku kwenye jamii zetu
Uzushi upo! Watu wanajua kupika habari hadi mhusika unabaki mdomo wazi...
Ukileta habari leta na ushahidi,
Uzushi ni mtamu kama hujapikiwa wewe..!🤸
Bunge lenye Spika chawa wa Rais!!Tusubiri Maamuzi ya bunge
Tatizo halitatuliwi na akili zile zile zilizoleta tatizo
View: https://youtu.be/8e1UBU81_gc?si=2Q1GQkjkwy7vREo7
Nisiwachoshe.....
Uliibuliwa uozo wa kutisha na Lissu kuhusu ufisadi wa sukari. Uozo huo umejengewa hoja bungeni na Mpina. Bashe amepiga pesa kubwa, Lissu anasema Bashe ameshirikiana na Abdul kuuza vibali kimagumashi.
Kabla ya upigaji wa sukari kulikuwa na mradi hewa wa BBT. Mradi umeshindwa.
Najiuliza Bashe bado anafanya nini wizarani mpaka leo bado hajajiuzuru. Au ndio kusema alipata maelekezo toka juu?
Inashangaza mpaka sasa bado hajafunguliwa kesi ya uhujumu uchumi, matumizi mabaya ya madaraka na ufisadi wa kutisha
Haahahaaa....umenikumbusha enzi za MaguWameajili watu wa kuwatetea mitandaoni kaliba ya kina mwashambwa nk nk
Sasa hivi ndio fungulia mbwaKila mtu ale kwa urefu wa kamba yake. Awamu hii ukiwa serikalini ukafa maskini basi ujue huna akili kabisa
Mpina nadhani ushahidi wake unajitosheleza sanaMtu akileta habari alete na ushahidi!
Watanzania tusiwe watu wakubeba taarifa/ umbea kama zilivyo ziwe za wasanii, wanasiasa au hata huku kwenye jamii zetu
Uzushi upo! Watu wanajua kupika habari hadi mhusika unabaki mdomo wazi...
Ukileta habari leta na ushahidi,
Uzushi ni mtamu kama hujapikiwa wewe..!🤸
Jamaa kama msomi hupaswi kuwa na hizo mindset za kimasikini, hivi shule uliyonayo ulienda kusoma vitu gani? Nakushauri futa hii comment jamaaKila mtu ale kwa urefu wa kamba yake. Awamu hii ukiwa serikalini ukafa maskini basi ujue huna akili kabisa