The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Nakumbuka Magufuli aliwahi kupewa maneno magumu sana baada ya ajali kuongozana kwa wingi. Unaweza usione mantiki ya uamuzi ule lakini ukweli ni kwamba kuna uhusiano mkubwa sana kati ya uongozi unaolegalega na ajali ambazo zinaondoa maisha ya watu kila siku.
Inaniuma sana kusikia karibia kila siku iendayo kwa Mungu Watanzania wenzetu wanakufa kwa ajali na wengine kupata ulemavu wa kudumu uharibifu mkubwa wa muda na mali huku mamlaka husika zikisalia mabubu.
Inaniuma sana kusikia karibia kila siku iendayo kwa Mungu Watanzania wenzetu wanakufa kwa ajali na wengine kupata ulemavu wa kudumu uharibifu mkubwa wa muda na mali huku mamlaka husika zikisalia mabubu.