FUTURE PLAN
Senior Member
- Jun 11, 2023
- 186
- 212
Uliambiwa hili jengo lipo Mwanza? Hili jengo lipo Kisumu Kenya bwana choice
Mambo madogo madogo hayo, hakuna jipya,Sexer Najua roho inakuuma sana ila ndio hivyo tena Samia is doing wonderful job π₯π₯ππ
View: https://www.instagram.com/p/DEJg4PLvnr7/?img_index=1&igsh=MXF6enR4cDZ1bzFmNA==View attachment 3187466
Ukiacha kwamba hujui hata ku post mengi ukiyoongea hapo ni aibu tupu.Mambo madogo madogo hayo, hakuna jipya,
Soma hiyooo, najua utazimia ila ukizinduka kunywa maji ya baridi.
kuna aibu zaidi ya kujisifia na michoroπππ, Mradi wa Meli ya MV Mwanza bekee wenye thamani ya 89bn ni zaidi ya vimiradi vyenu vyooote ndani ya MwanzaUkiacha kwamba hujui hata ku post mengi ukiyoongea hapo ni aibu tupu.
Pia mada ni Mwanza unaweka mambo ya Nchi ,nikikuwekea ya Samia ya Nchi si utakimbia jukwaa ikiwa tuu ya Mwanza ni makubwa hivyo?
Unamuaibisha marehemu hawezi kushindana na Samia Kwa Sasa sawa wewe msukule wake?
Mwanza ya Samia ni π₯π₯, kazi inaendelea hapo Sekou Toure π π
View attachment 3187921View attachment 3187923View attachment 3187924
Hata uwe na mradi mmja wa Trilioni 20 ila kama haugusi maisha ya watu Kwa mahitaji yake ni pambo.kuna aibu zaidi ya kujisifia na michoroπππ, Mradi wa Meli ya MV Mwanza bekee wenye thamani ya 89bn ni zaidi ya vimiradi vyenu vyooote ndani ya Mwanza
Na itaendelea kuwa pigo kubwa sana kwa ChoiceVariableHII MIRADI YOTE TAJWA IKIKAMILIKA MWANZA ITAENDELEA KUWA JIJI MOJA TAMU SANA
yaani akili yako haijui meli inapandwa na watu na inabeba mizigo ya watu!! π€£π€£Hata uwe na mradi mmja wa Trilioni 20 ila kama haugusi maisha ya watu Kwa mahitaji yake ni pambo.
Meli anaijenga nani? ππ
Mwisho hakuna michoro nenda site kazi inaendelea.
Utamuaibisha huyo marehemu wako tukibadili mada maana unapolingia vituo vya Afya 400 Kwa miaka 5 nitakuonesha vituo vya Afya zaidi ya 600 Kwa miaka 4.
Kwa Sasa hakuna meli,mizigo na watu hawasafiri? ππyaani akili yako haijui meli inapandwa na watu na inabeba mizigo ya watu!! π€£π€£
Mikoa ya mafukara kama Mwanza haiwezi kuwa pigo kwa Nyanda za Juu Kusini Wala kwangu.Na itaendelea kuwa pigo kubwa sana kwa ChoiceVariable
Naona hizo funza za makete siku hizi zinakula hadi ubongo ππ, hivi kumbe huo mchoro unaojisifia nao hapa umeshazinduliwa!π na watu wwnatibiwa humohumo kwenye mchoroπ€£π€£π€£π€£π€£π€£Kwa Sasa hakuna meli,mizigo na watu hawasafiri? ππ
Tufanye ni kweli,hiyo meli inaundwa na Serikali ya Rais gani? Au ilishazinduliwa na Mwendazake inatumika huko? ππ
Mikoa ya kusiniππππ, mikoa tengwaπππ, mikoa iliyosahaulikaππ,Mikoa ya mafukara kama Mwanza haiwezi kuwa pigo kwa Nyanda za Juu Kusini Wala kwangu.
Mwanza ni Mkoa wa mafukara Mikoa 11 Yenye Nyumba Duni Tanzania: Zimejengwa na Kuezekwa kwa Udongo, Miti, Mabanzi na Nyasi. Imo Mikoa Maarufu ya Arusha, Kagera na Mwanza
Mwanza na Kanda ya Ziwa ni Mikoa ya mafukara usitupigie keleleMikoa ya kusiniππππ, mikoa tengwaπππ, mikoa iliyosahaulikaππ,
Watanzania hawapendi shida kabisa, kwenye ajira za afya waliambiwa waombe kila mtu mkoa wanaotaka kufanyia kazi, watanzania wanavyopenda raha wote wakaomba dar, Mwanza na Dodoma πππ hawataki kabisa kusikia tabu na shida za mavumbini kusiniπ€£π€£π€£