Pre GE2025 Kwa huu utitiri wa miradi aliyomwaga Rais Samia mkoa wa Mwanza, angekuwa anatokea kanda ya Ziwa wapinzani wangesema anapendelea kwao

Pre GE2025 Kwa huu utitiri wa miradi aliyomwaga Rais Samia mkoa wa Mwanza, angekuwa anatokea kanda ya Ziwa wapinzani wangesema anapendelea kwao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ungekuwa na akili na kiwango stahiki ningechukua muda kukuonyesha zilipo. Lakini kupoteza muda na taahira kama wewe, muda huo haupo.
Akili ulizonazo wewe ni zipi? Mbona naona unaandika pumba Toka awali? Onyesha hizo akili zako.
 
Umekopi kwny irani ya ccm ukatuletea kama ilivyo.

15.mradi wa hungumalwa_Magu haupo..hamna chochote kinaendelea
Wewe acha ujinga,kwamba umesafiri Mwanzo mwisho wa Barabara ukakuta hakuna kinachoendelea wakati Serikali imeisha engage Mkandarasi?

Pili hakuna nilipokopi ndio maana Huwa naweka na ushahidi.

Mwisho uwe unaelewa neno ujenzi Kwa awamu 👇👇
Screenshot_20241018-064827.jpg
Screenshot_20241018-064858.jpg
Screenshot_20241018-064727.jpg
 
Mkoa wa Mwanza ni Kati ya Mikoa ambayo Rais Samia amewapendelea sana Kwa kuimiminia miradi lukuki tena ya mabilioni Kwa mabilioni.

Miradi hiyo imegawanyika katika mafungu Makuu 3 ambayo ni

a)Miradi ya Urithi kutoka awamu ya 5,iliyokamilika na inayoendelea.

b)Miradi Mipya iliyoanza awamu ya 6 iliyokamilika na inayoendelea.

c)Na miradi ambayo Iko Mbioni kuanza wakati wowote .

Ifuatavyo ni miradi ambayo inatekelezwa na Rais Samia Mkoani Mwanza Kwa Kila kundi.

(a)MIRADI MIPYA
1.Ujenzi wa Barabara za Lami Mitaani mradi wa TACTIC Mwanza CC na Ilemela MC km 32 eg Buhongwa-Igoma

2.Ujenzi wa Soko La Kirumba na Soko la Samaki Mkuyuni Bilioni 25.

3.Upanuzi wa Kampasi ya TIA Usagara-Mwanza ,Bilioni 8

4.Ujenzi wa Soko Kuu la Jiji la Mwanza

5.Ujenzi wa Hospitali ya Jiji gorofa 6

6.Ujenzi wa Majengo Mapya ya Gorofa Chuo Cha Ufundi na Maendeleo Misungwi.

7.Ujenzi wa Jengo jipya la Mwanza Airport na kukarabati wa uwanja kuwa wa Kimataifa

8.Ujenzi wa Jengo la Kitega Uchumi la TBA Ghana Kota gorofa 7

10.Ujenzi wa Tawi la Chuo Kikuu Cha Ardhi Mwanza (Sengerema)

11.Ujenzi wa Barabara za Mitaani chini ya TARURA eg Kisesa-Bujora,kiyungi road nk

12.Ujenzi wa Vyumba vya madarasa na shule Mpya zikiwemo za gorofa eg Kisenga ,Igudija nk katika Wilaya zote.

13.Ujenzi wa Vituo vya Afya, Hospital za Wilaya na ununuzi wa vifaa tiba Wilaya zote za Mwanza.

14.Mradi wa Maji Ukiriguru-Sumve Wilayani Misungwi Bilioni 32.

15.Ujenzi wa Barabara ya Hungumalwa-Ngudu-Magu km 71

16.Ujenzi wa Hospitali Mpya ya Rufaa Ukerewe

17.Upanuzi wa Bandari za Mwanza South sanjali na ujenzi wa vivuko vipya.

18.Ujenzi wa Chuo Cha Michezo Malya (Malya Sports Complex and Training Centre).Zaidi ya Bilioni 40.

19.Ujenzi wa Barabara ya Mabuki-Jojiro-Ngudu

20.Ujenzi wa Barabara ya Mwanza Airport -Kayenze-Nyanguge

21.Ujenzi wa Barabara ya Nansio-Rugezi

22.Ujenzi wa Barabara ya Mwanangwa-Misasi-Salawe-Solwa-Kahama km 150.

23.Ujenzi wa Barabara ya Bukokwa-Nyakalilo

24.Ujenzi wa Barabara ya Ilalila-Shibula

25.Ujenzi wa Barabara ya Sengerema -Nyehunge km 54.4 (Bilioni 73).

26.Ujenzi wa Daraja Kubwa la Simiyu lenye mita 150 pamoja na Barabara Unganishi.

27.Ujenzi wa Daraja Kubwa la Sukuma lenye urefu wa mita 70 na barabara Unganishi km 4.

media="media="instagram:C89677rNdfd"]
View: https://www.instagram.com/p/C89677rNdfd/?igsh=ZTdkNml4YTQwa2V0[/URL]

View: https://youtu.be/Aq7AGgVXaxQ?si=fb9L7WED3YEdNVdb

(b)Miradi ya Urithi
1.Ujenzi wa daraja la JPM
2.Ujenzi wa Sgr ya Mwanza-Isaka
3.Ukamilishaji wa Stendi za
Nyegezi na Nyamhongolo
4.Ukamilishaji wa mradi wa Maji Butimba
5.Ukamilishaji wa Jengo la OPD Sekou Toure gorofa 6
6.Ukarabati wa Meli kubwa ya MV Mwanza Hapa kazi tuu.
7.Ukamilishaji wa Chuo Cha Ufundi na Teknolojia DIT Mwanza Campus
8.Ukamiloshji wa Tawi la Chuo Cha Mipango Vijijini Mwanza Centre

View: https://youtu.be/n97F4rAuoPs?si=tmTMNkcjX_nX7z3r

(c)Miradi ambayo Iko Mbioni kuanza ni

-Upanuzi wa Barabara ya njia 4 kutoka Mwanza CBD Hadi JPM bridge (lot 1 km 25),CBD-Usagara Jnct km 25.
-Ujenzi wa mgodi mkubwa wa Madini ya Dhahabu Nyanzaga
-Upanuzi wa Barabara kuu ya Musoma kuwa njia 4
-Upanuzi wa Barabara kuwa njia 4 kutoka Usagara-Shinyanga Border
-Kamanga-Katunguru-Sengerema km 3.
-Upanuzi kuwa njia 4 wa Barabara ya Mwanza-Nyanguge km 35.
-Mwanza Airport-Igombe-Kayenze-Nyanguge km 46
-Mkuyuni-Mahina-Nyakato km 10
-Nyakato(VETA)-Buswelu-Mhonze km 18.
View attachment 3127876

My Take
Hiyo ni Baadhi tuu ya miradi iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa na Samia huko Mwanza.

Kiufupi Samia ameiheshimisha Mwanza kushinda Shujaa waliyedai Anapendelea Kwao.

Kazi Iendelee.CC Nyanduzy

View: https://x.com/CharlieBihemo/status/1846480060984816083?t=OQdqPNWFk5jZ_tD8Yx_ZnA&s=19

Huko Moshi kuna kipande cha barabara km 8 tu wananchi wanaomba kiwekwe lami tangu 1970s lakini wapi. Kweli CCM wana maeneo yao ya kuendeleza.
 
Huko Moshi kuna kipande cha barabara km 8 tu wananchi wanaomba kiwekwe lami tangu 1970s lakini wapi. Kweli CCM wana maeneo yao ya kuendeleza.
Nchi Ina mahitaji makubwa ya Barabara kuu na za muhimu kuliko hicho kipande Cha km 8.
 
Mkoa wa Mwanza ni Kati ya Mikoa ambayo Rais Samia amewapendelea sana Kwa kuimiminia miradi lukuki tena ya mabilioni Kwa mabilioni.

Miradi hiyo imegawanyika katika mafungu Makuu 3 ambayo ni

a)Miradi ya Urithi kutoka awamu ya 5,iliyokamilika na inayoendelea.

b)Miradi Mipya iliyoanza awamu ya 6 iliyokamilika na inayoendelea.

c)Na miradi ambayo Iko Mbioni kuanza wakati wowote .

Ifuatavyo ni miradi ambayo inatekelezwa na Rais Samia Mkoani Mwanza Kwa Kila kundi.

(a)MIRADI MIPYA
1.Ujenzi wa Barabara za Lami Mitaani mradi wa TACTIC Mwanza CC na Ilemela MC km 32 eg Buhongwa-Igoma

2.Ujenzi wa Soko La Kirumba na Soko la Samaki Mkuyuni Bilioni 25.

3.Upanuzi wa Kampasi ya TIA Usagara-Mwanza ,Bilioni 8

4.Ujenzi wa Soko Kuu la Jiji la Mwanza

5.Ujenzi wa Hospitali ya Jiji gorofa 6

6.Ujenzi wa Majengo Mapya ya Gorofa Chuo Cha Ufundi na Maendeleo Misungwi.

7.Ujenzi wa Jengo jipya la Mwanza Airport na kukarabati wa uwanja kuwa wa Kimataifa

8.Ujenzi wa Jengo la Kitega Uchumi la TBA Ghana Kota gorofa 7

10.Ujenzi wa Tawi la Chuo Kikuu Cha Ardhi Mwanza (Sengerema)

11.Ujenzi wa Barabara za Mitaani chini ya TARURA eg Kisesa-Bujora,kiyungi road nk

12.Ujenzi wa Vyumba vya madarasa na shule Mpya zikiwemo za gorofa eg Kisenga ,Igudija nk katika Wilaya zote.

13.Ujenzi wa Vituo vya Afya, Hospital za Wilaya na ununuzi wa vifaa tiba Wilaya zote za Mwanza.

14.Mradi wa Maji Ukiriguru-Sumve Wilayani Misungwi Bilioni 32.

15.Ujenzi wa Barabara ya Hungumalwa-Ngudu-Magu km 71

16.Ujenzi wa Hospitali Mpya ya Rufaa Ukerewe

17.Upanuzi wa Bandari za Mwanza South sanjali na ujenzi wa vivuko vipya.

18.Ujenzi wa Chuo Cha Michezo Malya (Malya Sports Complex and Training Centre).Zaidi ya Bilioni 40.

19.Ujenzi wa Barabara ya Mabuki-Jojiro-Ngudu

20.Ujenzi wa Barabara ya Mwanza Airport -Kayenze-Nyanguge

21.Ujenzi wa Barabara ya Nansio-Rugezi

22.Ujenzi wa Barabara ya Mwanangwa-Misasi-Salawe-Solwa-Kahama km 150.

23.Ujenzi wa Barabara ya Bukokwa-Nyakalilo

24.Ujenzi wa Barabara ya Ilalila-Shibula

25.Ujenzi wa Barabara ya Sengerema -Nyehunge km 54.4 (Bilioni 73).

26.Ujenzi wa Daraja Kubwa la Simiyu lenye mita 150 pamoja na Barabara Unganishi.

27.Ujenzi wa Daraja Kubwa la Sukuma lenye urefu wa mita 70 na barabara Unganishi km 4.

media="media="instagram:C89677rNdfd"]
View: https://www.instagram.com/p/C89677rNdfd/?igsh=ZTdkNml4YTQwa2V0[/URL]

View: https://youtu.be/Aq7AGgVXaxQ?si=fb9L7WED3YEdNVdb

(b)Miradi ya Urithi
1.Ujenzi wa daraja la JPM
2.Ujenzi wa Sgr ya Mwanza-Isaka
3.Ukamilishaji wa Stendi za
Nyegezi na Nyamhongolo
4.Ukamilishaji wa mradi wa Maji Butimba
5.Ukamilishaji wa Jengo la OPD Sekou Toure gorofa 6
6.Ukarabati wa Meli kubwa ya MV Mwanza Hapa kazi tuu.
7.Ukamilishaji wa Chuo Cha Ufundi na Teknolojia DIT Mwanza Campus
8.Ukamiloshji wa Tawi la Chuo Cha Mipango Vijijini Mwanza Centre

View: https://youtu.be/n97F4rAuoPs?si=tmTMNkcjX_nX7z3r

(c)Miradi ambayo Iko Mbioni kuanza ni

-Upanuzi wa Barabara ya njia 4 kutoka Mwanza CBD Hadi JPM bridge (lot 1 km 25),CBD-Usagara Jnct km 25.
-Ujenzi wa mgodi mkubwa wa Madini ya Dhahabu Nyanzaga
-Upanuzi wa Barabara kuu ya Musoma kuwa njia 4
-Upanuzi wa Barabara kuwa njia 4 kutoka Usagara-Shinyanga Border
-Kamanga-Katunguru-Sengerema km 3.
-Upanuzi kuwa njia 4 wa Barabara ya Mwanza-Nyanguge km 35.
-Mwanza Airport-Igombe-Kayenze-Nyanguge km 46
-Mkuyuni-Mahina-Nyakato km 10
-Nyakato(VETA)-Buswelu-Mhonze km 18.
View attachment 3127876

My Take
Hiyo ni Baadhi tuu ya miradi iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa na Samia huko Mwanza.

Kiufupi Samia ameiheshimisha Mwanza kushinda Shujaa waliyedai Anapendelea Kwao.

Kazi Iendelee.CC Nyanduzy

View: https://x.com/CharlieBihemo/status/1846480060984816083?t=OQdqPNWFk5jZ_tD8Yx_ZnA&s=19

Msafara wa Mangula wazomewa Mwanza
 
Mimi niko Mwanza ila tukiachana na Daraja la JPM ambalo awamu ya sita inalimalizia sioni kitu chochote kipya.

Vyote ulivyotaja vilianzishwa na kutekelezwa na serikali zilizotangulia, Samia ametutenga sana wananchi wa Mwanza.
 
Wee CHAWA unajitahidi kufanya kazi uliyotumwa kisayansi zaidi, maana unaweka na vielelezo kabisa, ingawa vingi ni vya mchongo!!

Angalau malipo wanayokupa unayatendea haki.

Umewazidi wale machawa wachovu wa maneno matupu ya uongo akina Tlaatlaah Lucas Mwashambwa, nk
Sure huyu ana afadhali mara kadhaa kuliko hao, mara nyingi mawasilisho yakr yanakuwa na uhalisia na wakati mwingine anakuwa neutral na wakati mwingine anakosoa.
Ila bado ananbaki na sifa yake ya msingi.
 
Mtoa mada, naomba useme ni awamu gani miradi ilikauka kutokupelekwa huko Mwanza?
Tokea 2021 kila mwaka hizohizo miradi zimekuwa zikiongelewa kila wakati Samia akitembelea mwanza.
Nafikiiri na pia nakushauri ebu leta miradi mipya ndiyo yazungumzwe yaani hadi barabara za mitaani pia unazisema kama miradi maana sana.
Kuna watanzania wanasikitisha sana,,,hawa ndo wanaoshangilia hadi matundu ya vyoo
 
Mimi niko Mwanza ila tukiachana na Daraja la JPM ambalo awamu ya sita inalimalizia sioni kitu chochote kipya.

Vyote ulivyotaja vilianzishwa na kutekelezwa na serikali zilizotangulia, Samia ametutenga sana wananchi wa Mwanza.
Sitaki vingi nitajie kimoja tuu ambacho kilianzishwa na kutekelezwa na Serikali zilizopita.

Watu kama nyie msiotumia akili Huwa nawapenda sana,nitajie hicho kimoja.
 
Kuna watanzania wanasikitisha sana,,,hawa ndo wanaoshangilia hadi matundu ya vyoo
Wewe Kwa akili Yako ulitaka washangilie nini ikiwa matundu ya vyoo hayakuwepo na Sasa yamejengwa?

Nimemjibu huyo mwenzio asiyetumia akili kwamba ajue kutofautisha 2 na 3 .Kama wengine walifanya 2 ,this time ni 3
 
Sure huyu ana afadhali mara kadhaa kuliko hao, mara nyingi mawasilisho yakr yanakuwa na uhalisia na wakati mwingine anakuwa neutral na wakati mwingine anakosoa.
Ila bado ananbaki na sifa yake ya msingi.
Siko hapa Kufanya propaganda au kuwa neutral sijui blaa blaa gani Bali kuonesha kile Serikali ya mama imefanya maana Huwa mnajifanyga hamuoni 😁😁

Mwisho acheni uvivu wa kufikiria na kutafuta taarifa, habari zote za nini Serikali inafanya au imepanga kufanya ziko kwenye kurasa za serikali za wazi na Kila mtu anaweza ku access.
 
Ata kama mabomba ya maji yatatoa maziwa hakuna mtu atamkumbuka labda arudishe utawala kwa wananchii kwa kuruhusu mchakato wa katiba mpya.kuliko kila siku tunaambiwa kila kitu tunapewa na raisi.
 
Ata kama mabomba ya maji yatatoa maziwa hakuna mtu atamkumbuka labda arudishe utawala kwa wananchii kwa kuruhusu mchakato wa katiba mpya.kuliko kila siku tunaambiwa kila kitu tunapewa na raisi.
Pole sana Mkuu,vumilia hii Ngoma ni Hadi 2030 na kazi inaendelea 👇👇

View: https://x.com/AnnaSarungi/status/1847171354623127995?t=EusBlg4GcvwL12ZLStyC8g&s=19

Mwisho,kazi ya Rais ni kutimiza wajibu wake Kwa Wananchi kadiri ya ilani sio swala la wewe kumbukumbuka au laa.
 
Back
Top Bottom