Pre GE2025 Kwa huu utitiri wa miradi aliyomwaga Rais Samia mkoa wa Mwanza, angekuwa anatokea kanda ya Ziwa wapinzani wangesema anapendelea kwao

Pre GE2025 Kwa huu utitiri wa miradi aliyomwaga Rais Samia mkoa wa Mwanza, angekuwa anatokea kanda ya Ziwa wapinzani wangesema anapendelea kwao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwanza Mko nyuma sana,hapa mshukuruni mama ameamua kuwahwshumisha
Mwanza iko mbele sana nyuma ya dar kabla hata ya huyo mama yako, Kikwete alikuja mwanza 2012 akashangaa jinsi jiji lilivyoshamali na kukua maradufu, yeye mwenyewe akatamka ianzishwe manispaa ya ilemela na 2013 yeye mwenyewe akaizindua. Mwanza inajibeba yenyewe.
 
Mwanza iko mbele sana nyuma ya dar kabla hata ya huyo mama yako, Kikwete alikuja mwanza 2012 akashangaa jinsi jiji lilivyoshamali na kukua maradufu, yeye mwenyewe akatamka ianzishwe manispaa ya ilemela na 2013 yeye mwenyewe akaizindua. Mwanza inajibeba yenyewe.
Acha kuleta vichekesho vya kipuuzi basi.

Mwanza imepigwa na Dodoma na Arusha ,,umbele wa Mwanza ni idadi ya watu tuu.
 
Acha kuleta vichekesho vya kipuuzi basi.

Mwanza imepigwa na Dodoma na Arusha ,,umbele wa Mwanza ni idadi ya watu tuu.
Ipatikane manispaa nyingine ndani ya arusha na dodoma ndo kwa mbaaali watafikia maendelea ya mwanza ya miaka 13 iliyopita na wakati huo mwanza jiji itakuwa na manispaa nne, kwa hiyo mnatwanga maji kwenye kinu😂😂😂
 
Ipatikane manispaa nyingine ndani ya arusha na dodoma ndo kwa mbaaali watafikia maendelea ya mwanza ya miaka 13 iliyopita na wakati huo mwanza jiji itakuwa na manispaa nne, kwa hiyo mnatwanga maji kwenye kinu😂😂😂
Mwanza Ina maendeleo gani Sasa kuzidi Majiji hayo wakati pamoja na Manispaa hizo 2 zilizojaa maskini hamuwezi hata kufikia Mapato ya Dom na Arusha
 
Mwanza Ina maendeleo gani Sasa kuzidi Majiji hayo wakati pamoja na Manispaa hizo 2 zilizojaa maskini hamuwezi hata kufikia Mapato ya Dom na Arusha
wewe komaa na umaskini wako + utapia mlo, sema nakufaa usisema tunakufaa 😂😂😂
Mwanza jiji haina makodi ya kausha ndo maana jiji na wakazi wake linapaa tu na GDP ya Mwanza inazilambisha mchanga hiyo miji inayokusanya mapato kwa kodi za kausha damu.
 
Mapicha picha mnaweza, subiri miradi yenyewe iishe muone, mje na mipicha hii tulinganishe.

Tungemsifu tu, kama angeruhusu uchaguzi huru.

Haya maigizo mengine yeyote anaweza kwa pesa za walipa kodi.
 
Mkoa wa Mwanza ni Kati ya Mikoa ambayo Rais Samia amewapendelea sana Kwa kuimiminia miradi lukuki tena ya mabilioni Kwa mabilioni.

Miradi hiyo imegawanyika katika mafungu Makuu 3 ambayo ni

a)Miradi ya Urithi kutoka awamu ya 5,iliyokamilika na inayoendelea.

b)Miradi Mipya iliyoanza awamu ya 6 iliyokamilika na inayoendelea.

c)Na miradi ambayo Iko Mbioni kuanza wakati wowote .

Ifuatavyo ni miradi ambayo inatekelezwa na Rais Samia Mkoani Mwanza Kwa Kila kundi.

(a)MIRADI MIPYA
1.Ujenzi wa Barabara za Lami Mitaani mradi wa TACTIC Mwanza CC na Ilemela MC km 32 eg Buhongwa-Igoma

2.Ujenzi wa Soko La Kirumba na Soko la Samaki Mkuyuni Bilioni 25.

3.Upanuzi wa Kampasi ya TIA Usagara-Mwanza ,Bilioni 8

4.Ujenzi wa Soko Kuu la Jiji la Mwanza

5.Ujenzi wa Hospitali ya Jiji gorofa 6

6.Ujenzi wa Majengo Mapya ya Gorofa Chuo Cha Ufundi na Maendeleo Misungwi.

7.Ujenzi wa Jengo jipya la Mwanza Airport na kukarabati wa uwanja kuwa wa Kimataifa

8.Ujenzi wa Jengo la Kitega Uchumi la TBA Ghana Kota gorofa 7

10.Ujenzi wa Tawi la Chuo Kikuu Cha Ardhi Mwanza (Sengerema)

11.Ujenzi wa Barabara za Mitaani chini ya TARURA eg Kisesa-Bujora,kiyungi road nk

12.Ujenzi wa Vyumba vya madarasa na shule Mpya zikiwemo za gorofa eg Kisenga ,Igudija nk katika Wilaya zote.

13.Ujenzi wa Vituo vya Afya, Hospital za Wilaya na ununuzi wa vifaa tiba Wilaya zote za Mwanza.

14.Mradi wa Maji Ukiriguru-Sumve Wilayani Misungwi Bilioni 32.

15.Ujenzi wa Barabara ya Hungumalwa-Ngudu-Magu km 71

16.Ujenzi wa Hospitali Mpya ya Rufaa Ukerewe

17.Upanuzi wa Bandari za Mwanza South sanjali na ujenzi wa vivuko vipya.

18.Ujenzi wa Chuo Cha Michezo Malya (Malya Sports Complex and Training Centre).Zaidi ya Bilioni 40.

19.Ujenzi wa Barabara ya Mabuki-Jojiro-Ngudu

20.Ujenzi wa Barabara ya Mwanza Airport -Kayenze-Nyanguge

21.Ujenzi wa Barabara ya Nansio-Rugezi

22.Ujenzi wa Barabara ya Mwanangwa-Misasi-Salawe-Solwa-Kahama km 150.

23.Ujenzi wa Barabara ya Bukokwa-Nyakalilo

24.Ujenzi wa Barabara ya Ilalila-Shibula

25.Ujenzi wa Barabara ya Sengerema -Nyehunge km 54.4 (Bilioni 73).

26.Ujenzi wa Daraja Kubwa la Simiyu lenye mita 150 pamoja na Barabara Unganishi.

27.Ujenzi wa Daraja Kubwa la Sukuma lenye urefu wa mita 70 na barabara Unganishi km 4.

media="media="instagram:C89677rNdfd"]
View: https://www.instagram.com/p/C89677rNdfd/?igsh=ZTdkNml4YTQwa2V0[/URL]

View: https://youtu.be/Aq7AGgVXaxQ?si=fb9L7WED3YEdNVdb

(b)Miradi ya Urithi
1.Ujenzi wa daraja la JPM
2.Ujenzi wa Sgr ya Mwanza-Isaka
3.Ukamilishaji wa Stendi za
Nyegezi na Nyamhongolo
4.Ukamilishaji wa mradi wa Maji Butimba
5.Ukamilishaji wa Jengo la OPD Sekou Toure gorofa 6
6.Ukarabati wa Meli kubwa ya MV Mwanza Hapa kazi tuu.
7.Ukamilishaji wa Chuo Cha Ufundi na Teknolojia DIT Mwanza Campus
8.Ukamiloshji wa Tawi la Chuo Cha Mipango Vijijini Mwanza Centre

View: https://youtu.be/n97F4rAuoPs?si=tmTMNkcjX_nX7z3r

(c)Miradi ambayo Iko Mbioni kuanza ni

-Upanuzi wa Barabara ya njia 4 kutoka Mwanza CBD Hadi JPM bridge (lot 1 km 25),CBD-Usagara Jnct km 25.
-Ujenzi wa mgodi mkubwa wa Madini ya Dhahabu Nyanzaga
-Upanuzi wa Barabara kuu ya Musoma kuwa njia 4
-Upanuzi wa Barabara kuwa njia 4 kutoka Usagara-Shinyanga Border
-Kamanga-Katunguru-Sengerema km 3.
-Upanuzi kuwa njia 4 wa Barabara ya Mwanza-Nyanguge km 35.
-Mwanza Airport-Igombe-Kayenze-Nyanguge km 46
-Mkuyuni-Mahina-Nyakato km 10
-Nyakato(VETA)-Buswelu-Mhonze km 18.
View attachment 3127876

My Take
Hiyo ni Baadhi tuu ya miradi iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa na Samia huko Mwanza.

Kiufupi Samia ameiheshimisha Mwanza kushinda Shujaa waliyedai Anapendelea Kwao.

Kazi Iendelee.CC Nyanduzy , @feke b kidume
[URL unfurl="true" media=

View attachment 3128482View attachment 3128483View attachment 3128484View attachment 3128485View attachment 3128486

Chawa ni kura za wasukuma hata Nyerere wanasema katoma Mwanza
 
Mapicha picha manweza, subiri miradi yenyewe iishe muone, mje na mipicha hii tulinganishe.

Tungemsifu tu, kama angeruhusu uchaguzi huru.

Haya maigizo mengine yeyote anaweza kwa pesa za walipa kodi.
Sio tuu picha Bali video za hatua za utekelezaji lazima kuonesha waleambao wako mbali ni maeneo hayo bila kusubiria Hadi miradi iishe,tutajuaje progress?
 
Jikite kwenye hoja,muwe mnatumia akili nyie Machadema na muwenasoma alama za nyakati,watawadhalilisha sana


Chawa Mimi sio chadema nenda kaangalie profile yangu toka 2006. Mama anatamaliza muda wake na kusahaulika kama mtangulizi wake na familia yake itatajirika kwa miradi na mikataba ya siri nyie mtabaki na uchawa wenu na kulalama hali ngumu ya maisha

Kama una akili mshaurini katiba mpya na mifumo bora bila hivyo itakula kwenu. Fikirieni watu na sio uchawa kila wakati
 
wewe komaa na umaskini wako + utapia mlo, sema nakufaa usisema tunakufaa 😂😂😂
Mwanza jiji haina makodi ya kausha ndo maana jiji na wakazi wake linapaa tu na GDP ya Mwanza inazilambisha mchanga hiyo miji inayokusanya mapato kwa kodi za kausha damu.
Watu hawali GDP,Barabara hazijengwi Kwa GDP.

Mwanza Bado sana Kwa Dom na Arusha.
 
Chawa Mimi sio chadema nenda kaangalie profile yangu toka 2006. Mama anatamaliza muda wake na kusahaulika kama mtangulizi wake na familia yake itatajirika kwa miradi na mikataba ya siri nyie mtabaki na uchawa wenu na kulalama hali ngumu ya maisha

Kama una akili mshaurini katiba mpya na mifumo bora bila hivyo itakula kwenu. Fikirieni watu na sio uchawa kila wakati
Ili mtu uweze kuishi inahitaji uwe na Bilioni ngapi? 🤣🤣🤣🤣

Si ajabu mnakufa mapema sana kushinda watu maskini wa Vijijini Kwa sababu mnakula GMO.

Mimi sitaweza sababu awamu ya SSH.
 
Sio tuu picha Bali video za hatua za utekelezaji lazima kuonesha waleambao wako mbali ni maeneo hayo bila kusubiria Hadi miradi iishe,tutajuaje progress?
Hahaha sisi wa kanda ya ziwa tunafahamu Bila Magufuli hata mbegu za pamba wangepeleka Zanzibar. Kura zetu labda mzinunue, hatupigii kura raia wa kigeni.
 
Watu hawali GDP,Barabara hazijengwi Kwa GDP.

Mwanza Bado sana Kwa Dom na Arusha.
wala watu hawali ushuru na tozo kausha damu za halmashauri, barabara hazijengwi na viushuru vya kuwakamua wauza bamia wa sokoni.

Dom na Arusha watoto wadogo sana kwa Mwanza, Hata kwa kuchangia pato la taifa wanalambishwa mchanga vibaya mno na Mwanza, wanachangia kiduchu sana, yaani kwa kifupi hawana msaada kwa taifa.
 
Mtoa punguza ushabiki, mwanza imetelekezwa na serikali miradi unayosema ya shule, maji, afya, hiyo ni universal na pia ni kwa levels za grammar schools, lakini shule za tertiary education, mwanza hakuna, vitu vinavyoleta watu wengi na fedha mwanza hakuna ( Utalii) sanane ile tumeachiwa na wazungu , Hadi Leo Haina promotion yeyote, miji ya milimani hiyo ingekuwa arranged na kuwa decorated kufanya mji kuwa wa kitalii , mwanza ingependeza Sana na kuvuta watu wengi mnooooooo, na biashara zingetembea,kwa hiyo majivuno yako ni Bure miradi hiyo IPO kil mahali,nifikiru Kuna miradi unique Sana mmeleta
 
Natamani siku moja mje na mpango wa kubomoa nyumba zote za milimani halafu zijengwe kwa ramani ya umbo la samaki zote, halafu kumbi zote na guest house zijengwe kw umbo la meli,kweli tungesema ,Hakika MWANZA WAMEPENDELEWA na serikali awamu ya 6.
Lakini Sasa vinavyofanyika na Kama ni kweli lakini,ni vya kawaida (universal),vilitakiwa kuwepo,Bali tukanyimwa tuuuuuuuu,miaka mingi sana
 
Back
Top Bottom