ntemintale
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 952
- 1,874
Ukiona mtu anakimbilia kwenye Ku rate akili ya mtu basi ujue ni shida yake mwenyewe, kwa sababu mtu huongea lile linalomsibu. Halafu kugeuzwa Hallelujah = Utukufu kwa Mungu Juu kuwa nyimbo za kaisari ni dhihaka kwa Mungu.Anaebishana na ww hana akili.Koment zako tu unaonesha huna uelewa.Akili zako ziko kwenye papuchi ya mange mkuu...ila huu msumari umewachoma kotekote
Asante kwa taarifaKwa sasa ni kama anabahatisha kuimba tu
Wasimamizi wake nao inaonekana hawamshauri kwa lolote kuhusu nyimbo anazotoa
Wote tumeshuhudia akitoa nyimbo kama i miss you, Fire,eneka,na zilipendwa lakini bado zilishindwa kufanya vizuri
Sasa tunaona juzi kaja na halelujah na inaonekana lengo la huu wimbo ni kuizima seduce me ya kiba ambao unapendwa kote Afrika na duniani kiujumla
Wimbo ungekuwa mzuri sana kama angemtumia mogani vizuri katika huo wimbo badala yake ameimba nae kama anavyoimba na kina rich, rayvany, na hamonize
Na tutegemee kama kiba hajatoa ngoma kama ilivyo kawaida yake huu wimbo hautafikisha views milioni tano kama ilivyotokea kwa eneka,fire,na i miss you
Yaani umeimba Kiingereza ili mtu ajue umeimba Kiingereza tu lakini wimbo unatoka masikioni haraka huwezi kuusikiliza mara tatu
Upo sahihi. Nimeusikiliza kwa makini sijaona kitu cha uushinda seduce me. Kusema kuwa huu wimbo umevinja record ya kuwa na viewers wengi kwa muda mfupi kulinganisha na seduce me ni kwa sababu watu wengi wako interested ni wimbo gani huo atautoa ambao utauzidi seduce me. Mm ni mmoja wapo niliouview ili kuona ni wimbo gani huo but nikaona ni wa kawaida sana ambao ni itapita wiki moja tu air mbili hautasikika tena na seduce me itaendelea ku trend.Kwa sasa ni kama anabahatisha kuimba tu
Wasimamizi wake nao inaonekana hawamshauri kwa lolote kuhusu nyimbo anazotoa
Wote tumeshuhudia akitoa nyimbo kama i miss you, Fire,eneka,na zilipendwa lakini bado zilishindwa kufanya vizuri
Sasa tunaona juzi kaja na halelujah na inaonekana lengo la huu wimbo ni kuizima seduce me ya kiba ambao unapendwa kote Afrika na duniani kiujumla
Wimbo ungekuwa mzuri sana kama angemtumia mogani vizuri katika huo wimbo badala yake ameimba nae kama anavyoimba na kina rich, rayvany, na hamonize
Na tutegemee kama kiba hajatoa ngoma kama ilivyo kawaida yake huu wimbo hautafikisha views milioni tano kama ilivyotokea kwa eneka,fire,na i miss you
Yaani umeimba Kiingereza ili mtu ajue umeimba Kiingereza tu lakini wimbo unatoka masikioni haraka huwezi kuusikiliza mara tatu
Kwa sasa ni kama anabahatisha kuimba tu
Wasimamizi wake nao inaonekana hawamshauri kwa lolote kuhusu nyimbo anazotoa
Wote tumeshuhudia akitoa nyimbo kama i miss you, Fire,eneka,na zilipendwa lakini bado zilishindwa kufanya vizuri
Sasa tunaona juzi kaja na halelujah na inaonekana lengo la huu wimbo ni kuizima seduce me ya kiba ambao unapendwa kote Afrika na duniani kiujumla
Wimbo ungekuwa mzuri sana kama angemtumia mogani vizuri katika huo wimbo badala yake ameimba nae kama anavyoimba na kina rich, rayvany, na hamonize
Na tutegemee kama kiba hajatoa ngoma kama ilivyo kawaida yake huu wimbo hautafikisha views milioni tano kama ilivyotokea kwa eneka,fire,na i miss you
Yaani umeimba Kiingereza ili mtu ajue umeimba Kiingereza tu lakini wimbo unatoka masikioni haraka huwezi kuusikiliza mara tatu
Mfuasi wa mange kimambiUnajua tofauti ya YouTube kawaida na VEVO? kaangalie Mastaa Wa kweli wako wapi Na ma underground wako wapi. Domo kakomaa YouTube kawaida kwa sababu kule unanunua views.
HahahaKakojoleshane na Mange huko
Maskini mange ana haribu nguvi kazi ya taifa.Unajua tofauti ya YouTube kawaida na VEVO? kaangalie Mastaa Wa kweli wako wapi Na ma underground wako wapi. Domo kakomaa YouTube kawaida kwa sababu kule unanunua views.
Upo sahihi. Nimeusikiliza kwa makini sijaona kitu cha uushinda seduce me. Mm ni mmoja wapo niliouview ili kuona ni wimbo gani huo but nikaona ni wa kawaida sana ambao ni itapita wiki moja tu air mbili hautasikika tena na seduce me itaendelea ku trend.
Duu kweli we mgeni mitaa hii.Mie mgeni mitaa hii, kwani Seduce Me na Zilipendwa ipi inatrend kwa sasa?niliusikia kwa kasi Seduce Me kwa kama wiki mbili kisha ukatulia.
Ni kweli mkubwa, labda sababu ya ugeni wangu!Duu kweli we mgeni mitaa hii.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hawataki kukubali ukweli tatizo watakwambia "haters" sasa na wao kwa alikiba tuwaitejeTukubali tukatae, Alikiba anajua kuimba kuliko Diamond, Seduce me kaimba Alikiba pekee yake lakini angalia balaa lake, huyu Diamond katoa kollabo/featuring mbili lakini sijaona cha maana.
Na mtaani zilipendwa inakimbiza vbaya hadi vjijin ndanndani ukoNi kweli mkubwa, labda sababu ya ugeni wangu!
Alikiba - Seduce Me (Official Music Video)
AlikibaVEVO 6,286,465 views
DIAMOND PLATNUMZ, HARMONIZE, RICH MAVOKO, RAYVANNY - ZILIPENDWA (OFFICIAL VIDEO)
Diamond Platnumz 6,720,928 views
Ingekuwa kwenye siasa basi tungesema momentum ya Seduce Me iliishaisha ndani ya wiki mbili.
Ndo kilichom coast domo[emoji23] [emoji23]Mitaa ipi hiyo unayoongelea? Au wewe unadhani mitaa unayoishi ndio Dunia nzima? Mwambieni huyo domo alionesha Udhaifu mkubwa Sana kutoa linyimbo siku Kiba katoa Seduce me.