Kwa huu wimbo wa Halelluja wa Diamondi tutegemee Seduce ya Alikiba kuendelea kuwa wimbo unaopendwa sana

Wanaume tumebakia wachache sana....hizi chuki zote za nn....madhara ya kushikwa takoooo na wanaume haya
 
Tafiti mpya ya twaweza inasema asilimia kubwa ya watanzania ni wachawi.mmoja wapo wewe.
 
Wachawi utawajua tu..yan unataka watu wote wawe maskin km ww??
 
Diamond sio level za bongo yule alishatoka cku nying...we endlea kumwaga sukar baharin kuipoteza chumvi..
 
Usijali nitamfikishia dukuduku lako
 
Tukubali tukatae, Alikiba anajua kuimba kuliko Diamond, Seduce me kaimba Alikiba pekee yake lakini angalia balaa lake, huyu Diamond katoa kollabo/featuring mbili lakini sijaona cha maana.
So mwaaaaaa
 
Yani wabongo wengine sijui ni wakolomije yani akili zao kama za kuazimwa mond level nyingine kabisa huwez mfananisha na kiba..

Pesa anayoipata mond kupitia mziki ni sababu kubwa jamaa yuko vizur huyo kiba toka nimfahamu sijawahi sikia kama ana majengo mkali, gari ya kafahali, hata biashara nina walakin...
 
Mwanaume anajiita Kipusa, sisi kipusa ni kitu cha kukumbatiwa.
 
MCHAGA NA MUZIKI WAPI NA WAPI? NENDA KANYE HUKO...
 
[emoji106]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…