[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umeshakula wali kwa shemeji yako umepata nguvu ya kufitinisha
Huyu jamaa hakukosea.Mwanzoni nilifikiri Luc Eymael kuwaita Manyani ni uonevu. Kumbe alikuwa sahihi. Nyie kila kitu ni kubweka tu hata kwa jambo usilolijua.
Haya ebu twambie kisa cha Nabi kuja Yanga ni nini kama siyo kufuruhushwa na El merehk baada ya kipigo cha goli 4 , 1 Dar na sare ya 0, 0 katoum dhidi ya simba klabu bingwa Afrika.
Nachukua picha hii😂😂Huyu jamaa hakukosea.View attachment 2275941
Umekuja Kumpongeza mbwa mwenzako akibweka bweka kama alivyowaita luc eymaeldemigod nakubali sana nyuzi zako inabidi mods wakupe tuzo ya heshima kwa kutambua mchango wako Ktk jukwaa la michezo kwa kutoa madini ya uhakika.
Kongole sana mkuu kwa uchambuzi uliotukuka..
Huyu jamaa ni kichwa sana nyie hamjui tu Jf inatakiwa itambue mchango wa mtu kama huyu maana nyuzi zake huwa anafanya uchambuzi wa hali ya juu tena ngoja nimfollow kabisa .Umekuja Kumpongeza mbwa mwenzako akibweka bweka kama alivyowaita luc eymael
Acha ramli chonganishiZoran Manojlović
View attachment 2275832
Ndio jina la Kocha Mpya Wa Simba SC, Yes Baada ya Kumaliza Kupitia File lake Nimegundua kuwa Msimu Ujao unaenda kuwa msimu mwingine mzuri kwa WanaJangwani.
Kutokana na Rekodi zake Huyu Babi Bado hajafikia hata nusu ya Mafanikio ya Kocha Nasreddine Nabi.
View attachment 2275836
Huyu mzee Zoran Manojlović hajawahi kumaliza msimu mmoja kwenye klabu moja.
Mara nyingi amekuwa akifukuzwa au kuomba kuondoka mwenye pale anapoona Majinyamezidi Unga.
View attachment 2275841
Belouizad CR walimfukuza kwa sababu licha ya kuisaidia klabu kutwaa Kombe, Klabu ilikuwa ikicheza mpira kama MajiMaji FC.
Huko Al Tai nako wakamfukuza kutokana alinusurika kuishusha daraja hiyo klabu.
“He was employed 6 times in a a space of 4 years”
Mmeamua kucheza kamali katika hili watani zangu. Ndio maana mlikuwa mnavizia Mkataba wa NABI uishe ili mumlaghai.
Alipowajibu kuwa halamaliza kilichompeleka Yanga ndio mkaamua liwalo na liwe ngoja tujaribu na huyu.
Tumuongeze kweny ile list ya watu wawili wenye akili hapo utopoloni au tumuacheHuyu jamaa ni kichwa sana nyie hamjui tu Jf inatakiwa itambue mchango wa mtu kama huyu maana nyuzi zake huwa anafanya uchambuzi wa hali ya juu tena ngoja nimfollow kabisa .
Wewe jamaa ni mshamba na limbukeni sana,Una ushabiki wa kipumbavu sanaZoran Manojlović
View attachment 2275832
Ndio jina la Kocha Mpya Wa Simba SC, Yes Baada ya Kumaliza Kupitia File lake Nimegundua kuwa Msimu Ujao unaenda kuwa msimu mwingine mzuri kwa WanaJangwani.
Kutokana na Rekodi zake Huyu Babi Bado hajafikia hata nusu ya Mafanikio ya Kocha Nasreddine Nabi.
View attachment 2275836
Huyu mzee Zoran Manojlović hajawahi kumaliza msimu mmoja kwenye klabu moja.
Mara nyingi amekuwa akifukuzwa au kuomba kuondoka mwenye pale anapoona Majinyamezidi Unga.
View attachment 2275841
Belouizad CR walimfukuza kwa sababu licha ya kuisaidia klabu kutwaa Kombe, Klabu ilikuwa ikicheza mpira kama MajiMaji FC.
Huko Al Tai nako wakamfukuza kutokana alinusurika kuishusha daraja hiyo klabu.
“He was employed 6 times in a a space of 4 years”
Mmeamua kucheza kamali katika hili watani zangu. Ndio maana mlikuwa mnavizia Mkataba wa NABI uishe ili mumlaghai.
Alipowajibu kuwa halamaliza kilichompeleka Yanga ndio mkaamua liwalo na liwe ngoja tujaribu na huyu.