Kwa huyu Kocha mpya Simba SC mmepigwa tena, mjiandae kisaikolojia kukosa mataji msimu ujao

Kwa huyu Kocha mpya Simba SC mmepigwa tena, mjiandae kisaikolojia kukosa mataji msimu ujao

Japokua PM sio mkweli Sana ninaaza kuelewa kwann alilalamika nchini wachambuzi niwengi Sana wasoka
 
kocha mpya wa simba ni hatari nasikia anaweza kupangakikosi bila kipa na akashinda,atafanya kibu denis awe kama messi,boko boko kama lewandowski na mhilu kuwa kama mane[emoji16][emoji16]
 
Mwanzoni nilifikiri Luc Eymael kuwaita Manyani ni uonevu. Kumbe alikuwa sahihi. Nyie kila kitu ni kubweka tu hata kwa jambo usilolijua.

Haya ebu twambie kisa cha Nabi kuja Yanga ni nini kama siyo kufuruhushwa na El merehk baada ya kipigo cha goli 4 , 1 Dar na sare ya 0, 0 katoum dhidi ya simba klabu bingwa Afrika.
 
Mwanzoni nilifikiri Luc Eymael kuwaita Manyani ni uonevu. Kumbe alikuwa sahihi. Nyie kila kitu ni kubweka tu hata kwa jambo usilolijua.

Haya ebu twambie kisa cha Nabi kuja Yanga ni nini kama siyo kufuruhushwa na El merehk baada ya kipigo cha goli 4 , 1 Dar na sare ya 0, 0 katoum dhidi ya simba klabu bingwa Afrika.
Huyu jamaa hakukosea.
IMG_20220628_224029.jpg
 
Makoloz yamekuja kuvamia uzi na kutoa mapovu kwa kasi ya ajabu.
 
demigod nakubali sana nyuzi zako inabidi mods wakupe tuzo ya heshima kwa kutambua mchango wako Ktk jukwaa la michezo kwa kutoa madini ya uhakika.

Kongole sana mkuu kwa uchambuzi uliotukuka..
 
demigod nakubali sana nyuzi zako inabidi mods wakupe tuzo ya heshima kwa kutambua mchango wako Ktk jukwaa la michezo kwa kutoa madini ya uhakika.

Kongole sana mkuu kwa uchambuzi uliotukuka..
Umekuja Kumpongeza mbwa mwenzako akibweka bweka kama alivyowaita luc eymael
 
Umekuja Kumpongeza mbwa mwenzako akibweka bweka kama alivyowaita luc eymael
Huyu jamaa ni kichwa sana nyie hamjui tu Jf inatakiwa itambue mchango wa mtu kama huyu maana nyuzi zake huwa anafanya uchambuzi wa hali ya juu tena ngoja nimfollow kabisa .
 
Zoran Manojlović

View attachment 2275832

Ndio jina la Kocha Mpya Wa Simba SC, Yes Baada ya Kumaliza Kupitia File lake Nimegundua kuwa Msimu Ujao unaenda kuwa msimu mwingine mzuri kwa WanaJangwani.

Kutokana na Rekodi zake Huyu Babi Bado hajafikia hata nusu ya Mafanikio ya Kocha Nasreddine Nabi.

View attachment 2275836

Huyu mzee Zoran Manojlović hajawahi kumaliza msimu mmoja kwenye klabu moja.

Mara nyingi amekuwa akifukuzwa au kuomba kuondoka mwenye pale anapoona Majinyamezidi Unga.

View attachment 2275841
Belouizad CR walimfukuza kwa sababu licha ya kuisaidia klabu kutwaa Kombe, Klabu ilikuwa ikicheza mpira kama MajiMaji FC.

Huko Al Tai nako wakamfukuza kutokana alinusurika kuishusha daraja hiyo klabu.

“He was employed 6 times in a a space of 4 years”

Mmeamua kucheza kamali katika hili watani zangu. Ndio maana mlikuwa mnavizia Mkataba wa NABI uishe ili mumlaghai.

Alipowajibu kuwa halamaliza kilichompeleka Yanga ndio mkaamua liwalo na liwe ngoja tujaribu na huyu.
Acha ramli chonganishi
 
Huyu jamaa ni kichwa sana nyie hamjui tu Jf inatakiwa itambue mchango wa mtu kama huyu maana nyuzi zake huwa anafanya uchambuzi wa hali ya juu tena ngoja nimfollow kabisa .
Tumuongeze kweny ile list ya watu wawili wenye akili hapo utopoloni au tumuache
Ngoja nikukumbushe luc alivyosema
"“"""Baadhi ya kauli hizo za Kocha Luc Eymael amesikika akitoa kauli za kuwashutumu Mashabiki kwamba hawana elimu, watu kwenye nchi hii ni wapumbavu, mashabiki hawajui mpira kazi yao ni kupiga kelele kama nyani na bata, Viongozi wa Klabu ni sifuri""""
 
Zoran Manojlović

View attachment 2275832

Ndio jina la Kocha Mpya Wa Simba SC, Yes Baada ya Kumaliza Kupitia File lake Nimegundua kuwa Msimu Ujao unaenda kuwa msimu mwingine mzuri kwa WanaJangwani.

Kutokana na Rekodi zake Huyu Babi Bado hajafikia hata nusu ya Mafanikio ya Kocha Nasreddine Nabi.

View attachment 2275836

Huyu mzee Zoran Manojlović hajawahi kumaliza msimu mmoja kwenye klabu moja.

Mara nyingi amekuwa akifukuzwa au kuomba kuondoka mwenye pale anapoona Majinyamezidi Unga.

View attachment 2275841
Belouizad CR walimfukuza kwa sababu licha ya kuisaidia klabu kutwaa Kombe, Klabu ilikuwa ikicheza mpira kama MajiMaji FC.

Huko Al Tai nako wakamfukuza kutokana alinusurika kuishusha daraja hiyo klabu.

“He was employed 6 times in a a space of 4 years”

Mmeamua kucheza kamali katika hili watani zangu. Ndio maana mlikuwa mnavizia Mkataba wa NABI uishe ili mumlaghai.

Alipowajibu kuwa halamaliza kilichompeleka Yanga ndio mkaamua liwalo na liwe ngoja tujaribu na huyu.
Wewe jamaa ni mshamba na limbukeni sana,Una ushabiki wa kipumbavu sana
 
Back
Top Bottom