Kwa huyu Mwanamke naamini Shetani anaona wivu kishenzi

Alafu mtu kama huyu unaweza kuta yupo ofisi ya Raisi,,,atcl,,,au tra!!!Hii nchi ina watu wakushangaza mnoo!!!
 
Ma ree hawaishagi huku duniani asee!
 
Nmeishia kusoma pale umempa kad ya mshahara.kiufupi hii ni chai ya tupu yan bila majan wala sukari halafu ni ya baridi
 
Miaka 3 ulikuwa wachukua degree ya procurement au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…