Kwa idadi ya wana-Simba waliopo Yanga, msishangae siku Yanga ikapigwa goli 12

Kwa idadi ya wana-Simba waliopo Yanga, msishangae siku Yanga ikapigwa goli 12

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Yanga washukuru sana kuwa Simba ni wastaarabu.

Ukiangalia idadi na nafasi nyeti walizopo watu wa Simba ndani ya Yanga, kuanzia mwekezaji/mdhamini, baadhi ya wachezaji waliokuwa na mizizi ndani ya Simba hadi wasemaji, usishangae siku moja tukaamua tuipe Yanga aibu ya karne na hakuna wa kutuzuia.

Tumeanza kwa kuchakachua kwanza rangi zao ila kwa kuwa wamelewa asali wala hawajashtuka. Ngoja tuendelee kuwaaminisha mambo yako shwari na timu iko mikono salama, halafu boom, tunaweka rekodi mpya!

Namalizia kwa kunukuhu maneno ya msemaji wao wakati anamtambulisha Mshery "Mmesajili golikipa au Imam wa Msikiti?". Zingatia alisema MMESAJILI badala ya TUMESAJILI.
 
Hii ilikuwa miaka ya nyuma
 

Attachments

  • IMG_1297.jpeg
    IMG_1297.jpeg
    93.2 KB · Views: 3
Yanga washukuru sana kuwa Simba ni wastaarabu.

Ukiangalia idadi na nafasi nyeti walizopo watu wa Simba ndani ya Yanga, kuanzia mwekezaji/mdhamini, baadhi ya wachezaji waliokuwa na mizizi ndani ya Simba hadi wasemaji, usishangae siku moja tukaamua tuipe Yanga aibu ya karne na hakuna wa kutuzuia.

Tumeanza kwa kuchakachua kwanza rangi zao ila kwa kuwa wamelewa asali wala hawajashtuka. Ngoja tuendelee kuwaaminisha mambo yako shwari na timu iko mikono salama, halafu boom, tunaweka rekodi mpya!

Namalizia kwa kunukuhu maneno ya msemaji wao wakati anamtambulisha Mshery "Mmesajili golikipa au Imam wa Msikiti?". Zingatia alisema MMESAJILI badala ya TUMESAJILI.
2e10a044474ada1e311eaa0f70f561c1.png
 
Yanga washukuru sana kuwa Simba ni wastaarabu.

Ukiangalia idadi na nafasi nyeti walizopo watu wa Simba ndani ya Yanga, kuanzia mwekezaji/mdhamini, baadhi ya wachezaji waliokuwa na mizizi ndani ya Simba hadi wasemaji, usishangae siku moja tukaamua tuipe Yanga aibu ya karne na hakuna wa kutuzuia.

Tumeanza kwa kuchakachua kwanza rangi zao ila kwa kuwa wamelewa asali wala hawajashtuka. Ngoja tuendelee kuwaaminisha mambo yako shwari na timu iko mikono salama, halafu boom, tunaweka rekodi mpya!

Namalizia kwa kunukuhu maneno ya msemaji wao wakati anamtambulisha Mshery "Mmesajili golikipa au Imam wa Msikiti?". Zingatia alisema MMESAJILI badala ya TUMESAJILI.
Mau.ivu yanaendelea hauna namba kumi msimu,watu wakiziba pembeni ndio basi.
 
Naona refa leo mlimpa hela ndefu ilitakiwa iwe goli nne.
 
Back
Top Bottom