Kwa idadi ya watu wazito na matajiri wanaolitaka jimbo la Kawe kupitia CCM mwaka 2025, Bishop Gwajima anza kutuaga sasa wana Kawe

Tunajua aliyekutuma uandike huu ujumbe Sema kakupa pesa kidogo sana ungemwambia akuongezee sio haki kabisa
Lini mtawapeleka wale watu wa kawe japan korea usa au bado mko kwenye process za visa
Both za uvuvi vepe nayooo ziko njiani bado [emoji1]

Ova
 
Kawe wameamua Kwa kauli moja kwenda na Mheshimiwa Dr Askofu Mkuu Rashidi
 
Akuage wewe kama nani?
 
Tutakuwa tumempoteza mtu mwerevu sana Bungeni
Acha Unafiki na Uchawa wa Kipumbavu angekuwa Mwerevu Jimbo la Kawe lingekuwa nyuma Kimaendeleo huku kila Kukicha tu likiwa na Migogoro ya Ardhi ambayo huyu unayemuita Mwerevu kashindwa kuitatua huku Jimbo likiwa na Miundombinu mibovu? Nasisitiza tena acha Unafiki na Uchawa tafadhali sawa?
 
arudi kuhudumia kanisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lilikuwa nyuma kwa mzuzu mmoja kwa miaka 15 gwajima amepambana kwa miaka 4 sasa kawe inaeleweka. Mitano tena akamilishe ahadi zake.
 
CCM kwenye Kura za maoni kinachomata NI pesa tu.

Gwajima kama anahitaji kushinda kweli Kura za maoni atashinda tu atachota pesa za mazezeta wake za sadaka atagawa Kwa wajumbe na watampigia Kura.

Usijisahaurishe Gwajima ameshinda Kwa Kura nyingi kuwa Mjumbe wa Nec kupitia kapu la Taifa ambako ni kugumu Sana.

CCM na rushwa ni kama uji na mgonjwa.

Hukumu ya Gwajima ipo Kwa wananchi, nyinyi peaneni rushwa CCM halafu msimamisheni Gwajima ndio mgombea wenu halafu ndio mtajuwa hamjui, vile vichinjio vya tume ya uchaguzi watu wamevihifadhi tu ndani.
 
Nitamuunga mkono! Gwajima hadi leo Kashindwa kujenga barabara kutoka Nyaishozi kwenda Nyamachabezi kila mvua ikinyesha haipitiki!
Na huyo mjusi wa macho kumchuzi ndo akipita bas atawa tengenezea barabarw? Kumbe huijui siasa ya Bongo lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…