Uchaguzi 2020 Kwa janja hii ya CCM kutumia ugeni wa kitaifa kuomba kura NEC semeni jambo

Uchaguzi 2020 Kwa janja hii ya CCM kutumia ugeni wa kitaifa kuomba kura NEC semeni jambo

Swali ni Je, Leo jpm alikuwa na ratiba ya kampeni Kibamba?

Kama hakuwa na ratiba hiyo then why ameomba kura akiwa kwenye Eneo ambalo kiratiba za nec hakupaswa kuwa hapo?
Hakuomba kura bali alisema wana Kibamba wampigie kura mgombea wa CCM, hii ni tofauti na kuomba kura, kwani hakuwauliza wangapi watampigia kura mwana CCM pale! Bali alikuwa akiwakumbusha wajibu wao come 28/10/2020.
 
Hiki nini tena?! Yaani Rais wa nchi aache kufanya na kutimiza majukumu na kazi zake za Kitaifa kwa sababu ya kampeni za uchaguzi!? Kweli, are you guys serious!? Juzi kaja Rais wa Uganda mbona hamkusema hili, au kwa vile hili linafanyikia hapa Dar-es-Salaam? Sielewi unataka NEC waseme nini, kwani sheria, kanuni na taratibu zinazuia hili!? Jibu ni HAPANA. Huyu ni Rais wa JMT hadi hapo atakapoapishwa Rais mwingine.
Kwanini kawanadi wagombea ubunge na udiwani wkt alikua kwenye kofia ya uraisi na sio chama?
 
Uwe unasoma na kuelewa hoja sio unakurupuka tu!

Ratiba ya JPM kwa maswala ya kampen ni kuanzia tarehe tisa

Na Leo kwa ratiba za nec mgombea urais wa ccm Hana ratiba Kibamba

Imekuwaje yy Leo kwenye Eneo la Kibamba anafanya kampen?

Hiyo ndio hoja
Mapoyoyo hao huwa hawasomi wakaelewa.yaani hawataki kushirikisha ubongo wao kabisa.
 
Uwe unasoma na kuelewa hoja sio unakurupuka tu!

Ratiba ya JPM kwa maswala ya kampen ni kuanzia tarehe tisa

Na Leo kwa ratiba za nec mgombea urais wa ccm Hana ratiba Kibamba

Imekuwaje yy Leo kwenye Eneo la Kibamba anafanya kampen?

Hiyo ndio hoja
Amefanya kampeni gani au unataka kufanya ligi pasipo mechi! Hakufanya kampeni pale, labda unataka kuilazimisha iwe hivyo humu JF!? Nani mwenye ratiba Kibamba - Mbunge wa CCM au Mbunge wa nini aua nani!?
 
Kwanini kawanadi wagombea ubunge na udiwani wkt alikua kwenye kofia ya uraisi na sio chama?
Kawanadi kwa vile ni kipindi cha KAMPEINI za Uchaguzi Mkuu. Mbona aklisemea Ikulu hampagawi, leo kalisemea Kibamba mmepagawa, KULIKONI KIBAMBA!?
 
Swali ni Je, Leo jpm alikuwa na ratiba ya kampeni Kibamba?

Kama hakuwa na ratiba hiyo then why ameomba kura akiwa kwenye Eneo ambalo kiratiba za nec hakupaswa kuwa hapo?
Kwa hiyo amefanya mkutano wa kampeni?
 
Umesahau Kama Magufuli bado ni Rais wa nchi, anatakiwa kutekeleza majukumu Kama Rais wa nchi lakin Kama mgombea wa chama Cha mapinduzi.. hilo pia linaitaji wewe kwenda darasani kupambanua.
 
Swali ni Je, Leo jpm alikuwa na ratiba ya kampeni Kibamba?

Kama hakuwa na ratiba hiyo then why ameomba kura akiwa kwenye Eneo ambalo kiratiba za nec hakupaswa kuwa hapo?
Huyo ni rais,amiri jeshi mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama na pia kumbuka ni mgombea na mwenyekiti wa chama tawala.

Cha kujilaumu jilaumu ulivyosusia hadi ikiwapelekea kutoka bungeni kwenye mchakato wa katiba mpya. Katiba ya sasa ndio imemfanya kufanya vyote kwa pamoja.
 
Mkuu ukiweka ushabiki wa kivyama pembeni kisha ukafikiri kwa makini basi utagundua kuwa tunae Kiongozi aliyepungukiwa Hekima na Busara.

Haya yote ni kuwadhalilisha wale aliowateua hasa Viongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi. Kwakuwa tu ni yeye aliyewateua.

Haya anayoyafanya hivi sasa yangeweza kufanyika kabla au baada ya Uchaguzi.
Ila kumbuka huyo bado ni rais, Amir jeshi wa vyombo vya ulinzi na usalama, mwenyekiti wa chama tawala na mgombea pia.

Kwa hapo alipo anatengua na kuteua hata kama ni mgombea.

Tatizo mlikimbia mchakato wa katiba mpya pale bungeni. Kwaiyo chochote unachokiona kinam favour na katiba tulio nayo mkuu.
 
Huyo ni rais,amiri jeshi mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama na pia kumbuka ni mgombea na mwenyekiti wa chama tawala.

Cha kujilaumu jilaumu ulivyosusia hadi ikiwapelekea kutoka bungeni kwenye mchakato wa katiba mpya. Katiba ya sasa ndio imemfanya kufanya vyote kwa pamoja.

Kaka unafeli
Mbona swali liko wazi?

Kama ni mwenyekiti basi hata Shibuda ni mwenyekiti pia

Kuwa Rais haimaanishi kuwa unaweza kuvunja sheria za tume ya uchaguzi

Kama ni hivyo then kulikuwa na haja gani ya kutoa sheria na kanuni za uchaguzi?

Wangeacha tu kila mmoja fanye anavyoona inafaa
 
Amefanya kampeni gani au unataka kufanya ligi pasipo mechi! Hakufanya kampeni pale, labda unataka kuilazimisha iwe hivyo humu JF!? Nani mwenye ratiba Kibamba - Mbunge wa CCM au Mbunge wa nini aua nani!?

Yes amefanya kampeni kwa kuwaombea kura madiwani na wabunge wake

Na kujiombea kura yy mwenyewe

Ile ni kampen
 
Kaka unafeli
Mbona swali liko wazi?

Kama ni mwenyekiti basi hata Shibuda ni mwenyekiti pia...
Ni mwenyekiti wa chama tawala,je Shibuda anaongoza ana serikali?

Pia nimejitahidi kukutajia vyeo ambavyo anavyo hadi sasa hata kama ni mgombea lakini bado ana kofia nyingine tu cha kujipima na kujisahihishe kwamba mlikosea kususia mchakato wa katiba mpya pale bungeni.
 
Back
Top Bottom