Kwa Jean Baleke Mmelamba Garasa Jingine Watani zangu

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] nacheka kama mazuri vile.
Ila ukweli ndugu zangu wa Simba sijui mnafeli wapi sajili zenu kwa hivi karibuni zinatia kichefuchefu sana
 
Baleke mwenye Umri wa Miaka 21 alirejea TP Mazembe akitokea Klabu ya Nejmeh SC ya Lebanon alikoenda Kwa Mkopo pamoja na Chico Ushindi na Simba imeona ni Chaguo bora zaidi kwa aina ya Mshambuliaji aliyependekezwa na Kocha Robert Oliviera 'Robertinho'

-Ikumbukwe Baleke ndiye aliyekuwa Mfungaji bora wa Ligi Kuu Nchini DR Congo Msimu wa 2020/21 Kwa kumaliza na magoli 14 huku akimzidi Fiston Mayele Kwa goli Moja na pia Ndiye aliyefunga goli la Ushindi kwenye Mechi kati ya Simba na TP Mazembe kwenye Simba Day.
 
Lile goli linauma mpaka leo mzee
 
Mbele y Chama mwamba kama huyu atafunga sana
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] nacheka kama mazuri vile.
Ila ukweli ndugu zangu wa Simba sijui mnafeli wapi sajili zenu kwa hivi karibuni zinatia kichefuchefu sana
Kwani sajili za simba lazima zikufurahishe wewe mnywa wanzuki wa utopoloni au shida ni huo mwiko?
 
Scars
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…