Kwa Jean Baleke Mmelamba Garasa Jingine Watani zangu

Kwa Jean Baleke Mmelamba Garasa Jingine Watani zangu

Bigirimana ni former player wa newcastle

Hersi hakuwambia?
Najua kacheza newcastle kabla hata sijamjua hersi wala gsm.. ila sijajua watu walikua wanaichukuliaje newcastle kabla ya birigmana ndo maana nikaomba unielezee kuhusu ilo kwa ufupi
 
Makambo ndo hamkutaka hata kumpa sekandi chansi kabisa kumpima kwenye mapinduzi cup

Leo hii usiku naskia tayati mshampa mkono wa kwaheri na giza lote hili afu Dar kuna wingu kubwa mda wowote mvua inashuka mnataka aende wapi?
Aende kwa bwana wao ihefu
 
Eti ni kweli kuwa National team dogo alikuwa na magoli mengi kumzidi Mayele?
Mkuu na wewe jaribu ku google unavyoweza kama utapata majibu ya kitu kama hicho share nasi humu. Binafsi nime google sijapata hiyo takwimu. Kuna mtu nimemsikia humu akisema aliwahi kuwa top scorer wa ligi ya Congo hilo nimejaribu kutafuta kwenye kila source sijapata. Embu anayejua atuwekee hizo source au hizo takwimu za top scorer
 
Mkuu na wewe jaribu ku google unavyoweza kama utapata majibu ya kitu kama hicho share nasi humu. Binafsi nime google sijapata hiyo takwimu. Kuna mtu nimemsikia humu akisema aliwahi kuwa top scorer wa ligi ya Congo hilo nimejaribu kutafuta kwenye kila source sijapata. Embu anayejua atuwekee hizo source au hizo takwimu za top scorer
Nimetoa hapa kwa mujibu kwa afsa wenu
Usinipopoe mimi tafadhali
 

Attachments

  • 35D4F990-8501-4FF9-83FE-9FC763206A5D.jpeg
    35D4F990-8501-4FF9-83FE-9FC763206A5D.jpeg
    27.5 KB · Views: 6
changaule hii ni trustable source kwako au tuipuuze?
Huyo alishaweka picha ya Luis Miquisone kwenye page yake na kuaminisha kuwa ni swala la muda tu. Binafsi katika watu ambao huwa nampuuza ni huyu mtu. Takwimu za mchezaji sio siri kiasi kwamba mtu ukasachi ukose
 
Kila mtu mbaya mzur n yupi
NjiIa ya kuingilia na isitumike kutokea
 
Kama kawaida yenu.... Mnapenda Okota lose balls. Hamna kitu kwa huyo mchezaji. Nimekaa hapa.

Mtakuja niambia. Huyo patupu kabisa. Hakuna mfungaji hapo. Labda mumuache Bocco. Mnahangaika sana.
Kwanini Simba wanafanya mambo ya hovyo mbona Kenya Uganda kuna wachezaji wazuri tu, kwanini wasimuchie kocha alete wachezaji kuliko kumuokotea na kumletea, timu ikifanya vibaya lawama kwa kocha na wanamfukuza kumbe tatizo la wao viongozi
 
Namba za JEAN BALEKE zinatisha[emoji1316][emoji1316] amefunga mfululizo kwenye mechi tano (5) za mashindano yote [Ligi Kuu, Kombe la Shirikisho la TFF na Ligi ya Mabingwa Afrika].

Katika hizo mechi tano (5) amefunga jumla ya magoli 11 ikiwa ni hat-trick mbili, magoli mawili (brace) kwenye mechi moja mara mbili na goli moja kwenye mchezo mmoja!

[emoji460]️[emoji460]️ vs Ihefu [NBC PL]
[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️ vs Ihefu SC [ASFC]
[emoji460]️ vs Raja AC [CAF CL]
[emoji460]️[emoji460]️ vs Horoya AC [CAF CL]
[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️ vs Mtibwa Sigar [NBC PL]
 
Back
Top Bottom