GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Acha uhafidhina wa kuangalia vipindi vya kimama mama
Na ndiyo kasema hivyo mme alianza kuoa huko ndipo naye akaanzisha maisha yake, wanaume nao wanajua kupika majungu jamani mnaweza jikukuta mke na mme mnasutwa tena kwakufungwa kanga na vigoma kabisa [emoji39] [emoji39] [emoji39]Kwanza hujamuelewa chuchu hakumsaliti mumew ila mumewe ndiye aliyemsaliti kaenda Australia kisha akoa mke wa din nyingine
Jibu murua
Sinaga tabia ya kuogopa hata angekuwa ni yesu ningemchana tuNdugu kumbuka hiki ni kipindi pendwa cha yule MTU mwenye vichwa vitatu pale feli wanamuita konyagi, balimi,bingwa, mataptap,nk..
Punguza kisebengo mkuu itakutokea puani next timeThirudii, nithamee.
[emoji16][emoji16][emoji16]Kwa iyo mkeo akitaka kuangalia ma-Aljazeera, CNN BBC, utang'ang'ania remote!?
Huyu ni chuchu Hans mwenyewe bila chengaSinaga tabia ya kuogopa hata angekuwa ni yesu ningemchana tu
Nimemuhurumia sana kwa hii post yakeHivi naye huyu huwa ni mmoja wa watu wa kuwategemea kutoa hoja zenye mashiko? Sijaona. Kama ni mwanamke basi ni wanawake wale daraja la mwisho kichwani. Kama ni mwanaume?????????????? Kuna tatizo kubwa kuliko mnaliliona. Mpuuze tu. Watu kama hawa huwa hawako sawa.
Kutaja viungo vya uzazi vya binadamu ndiyo matusi ya nguoni menyewe hayo.
Mod mko wapi mnipigie ban huyu! Viswahili vya mwendokasi mbona vingi sana tu? Umeshindwa kuvitumia hadi uje kututukana bila soni hapa?
Na watu bila haya wana'like'kuunga mkono mitusi! Jf mnaipeleka chaka.
Me zamani ilikuwa mtu jinsia tofauti akinitusi, huyo 'kaenda'.Punguza kisebengo mkuu itakutokea puani next time
Punguza kisebengo mkuu itakutokea puani next time
Hakuna mahali amesema aliamua kuzaa na Ray ili waoane au alikuwa anatafuta mtoto kwa ray wakati alipokubali kufanya tendo la ndoa. Hivyo waachwe wahandle hiyo situation kama wanavyoona inafaa. Usihukumu.
Hivi ina maana wanawake wote tunakuwa tunapimwa kupitia wanawake ambao hata jamii haiwatambui kuwa na mchango wowote wa maana ?
Such an insult.