Kwa jibu hili la Mpenzi wa Ray Kigosi Mrembo Chuchu Hans, Wanawake mkizidi kudharauliwa mtalaumu?

Naangalia Vipindi vyote Mkuu kikiwemo hiki cha SHILAWADU na wala sioni aibu au ubaya kusema kuwa nakiangalia.
Mkuu unajishusha sana hivi vitu ukiangalia piga kimya sasa na wewe naye mambo ya umbeya wa shirawadu mambo ya kikekike unaleta humu
 
Kipindi cha wanawake na mashoga icho

Kwahiyo kumbe Sisi Wote tunaoangalia hiki Kipindi ambacho pia huwa kinaibua mambo tena ya muhimu kama siyo ya msingi ni Wanawake na Mashoga? Kwahiyo kumbe hata ambao kwa mara ya Kwanza leo kupitia SHILAWADU tumeweza kumjua ' Mvumbuzi ' wa Madini ya Tanzanite Mzee Jumanne Ngoma aliyeyagundua mwaka 1966 ni Wanawake na Mashoga? Naionea mno Sekta ya Elimu ya Tanzania kwani imezalisha ' mabomu ' mengi sana ya Kifikra nchini Tanzania. Halafu kibaya zaidi kama siyo cha Kusikitisha Mtu anakiponda Kipindi cha SHILAWADU kwa ' Hoja ' nyepesi kabisa kama si mfu halafu hata hajishtukii
 
Na ndiyo kasema hivyo mme alianza kuoa huko ndipo naye akaanzisha maisha yake, wanaume nao wanajua kupika majungu jamani mnaweza jikukuta mke na mme mnasutwa tena kwakufungwa kanga na vigoma kabisa [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Ilikutokea nn
 
Weka na picha zao tuwaone basi niwajue pia..
Na kumbe hayo yote yametokea kwa huyo mwanamke.. duh
Tuambie na akajibu kwambwembe kama mshindi fulani kwa kuhojiwa?
 
Kwani katika Katiba ya Tanzania kuna mahala popote pamesema au pamemkataza Rais asiwe anaangalia Vipindi fulani katika Runinga? I never knew You're also this STUPID!
Ukituliza mawenge na mihemko utanielewa, fwatilia majibu niliyompa aliyeandika hiyo post utaelewa nna maanisha nini, sawa?
 
Umeandika aina gani ya Easy?

Kwani kama unajijua hujui vizuri Kiingereza kwanini unang'ang'ania kutaka kukitumia ili labda utuonyeshe kuwa nawe umesoma?

Hivi ulitakiwa uandike neno Easy au neno sahihi Essay?
 
Unajidanganya. Umeomba maoni na watu wametoa maoni yao. Sasa wewe unajitangazia ushindi pasipokuwa na mashindano. Unatisha kwa aina hiyo ya IQ uliyonayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…