leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,340
- 1,748
Sasa upuuzi upo wapi? Umeuliza nimeanza kumfuatilia lini? Nimekujibu tangu akiitwa Vicent Kigosi kwamana tangu haja apply hilo la Ray... Mkuu una panic kwa jambo la kipuuzi tu? Yani upuuzi tu as u said!!!!Usitafute na Wewe ' nikakudharau ' tafadhali sawa? Nimekuambia kuwa uko sahihi kuwa anaitwa hilo jina na usidhani labda nilikuwa sijui bali nimetumia jina lake la Ray ambalo ndilo ' Brand Name ' yake kwa Mashabiki na Watanzania wengi wa ndani na nje ya mipaka. Napenda sana Watu wenye kuelewa haraka na siyo tu kutaka kubishana ' Kipuuzi ' sawa?
Information gani unaipata kwenye icho kipindi sister?
Thanks....Foolish.
Huwezi badili nachokiamini, na ukweli ni kwamba wewe bwege 'Gentafucking' umepoteza ushawishi katika watu waliokua na heshima humu JF ,kama mimi ni wakwanza kusema hili basi wapo watakaofuata maana umekua mtusi na mtu mwenye dharau sasa dawa yako kukudharau zaidi maana hautakuwa wa maana zaidi ya kutusi watu na kudharau.. Utajikuta mchangiaji tu acha dharau boss kupewa heshima haimaanishi umewazidi watu kielimu au kimaarifa.Ningeshangaa kama uzi wangu huu usingepata comment ya Kipumbavu kama hivi iliyotoka kwa Mpumbavu wa Kiwango ambacho nakiamini ni cha Kimataifa.
Duh! Kwaiyo rais alivyoandika frustration hakuwa makini na ni mpumbavu?
Anko mbona kipovu tenaa..
Huwezi badili nachokiamini, na ukweli ni kwamba wewe bwege 'Gentafucking' umepoteza ushawishi katika watu waliokua na heshima humu JF ,kama mimi ni wakwanza kusema hili basi wapo watakaofuata maana umekua mtusi na mtu mwenye dharau sasa dawa yako kukudharau zaidi maana hautakuwa wa maana zaidi ya kutusi watu na kudharau.. Utajikuta mchangiaji tu acha dharau boss kupewa heshima haimaanishi umewazidi watu kielimu au kimaarifa.
Mbona hujajibu nilicho kuuliza sister?
Aliyeandika frustration kule Twitter ni mpumbavu?
wewe hakuna nafasi ya kuchukuliwa hapaNgoja niwahi nafasi ya mtu
Mwanaume anaomkojoza mwanamke kujisifia kuwa ana nyota Kali ni ushoga wa kiwango cha bombadier
wewe ndio umekurupuka kutokana na hisia zako binafsi, umesahau kuwa hakuna binadamu mkamilifu hivyo yeye kuzalishwa isiwe sababu yakujipeleka ndani akat mambo ya msingi kama dini bado hayajakaa sawa, embu jaribu kutengeneza facts hata maana umeandika upupu tu afu unajikuta GreatThinkerDada zangu mtanisamehe sana ila niwaambieni tu kuwa ni matendo yenu ndiyo yanatufanya Sisi Wanaume hasa Mimi GENTAMYCINE nizidi ' Kuwapuuza ' hasa kutokana na wengi wenu kuwa na uwezo mdogo wa Kuchanganua mambo, Kufikiri na Kujieleza ili ' Great Thinkers ' tunaowatizana tuone kuwa nanyi ' Vichwani ' mwenu mpo vizuri.
Kupitia Kipindi cha SHILAWADU kinachoendelea hewani sasa huyu Mwanadada Mpenzi wa Msanii wa Maigizo Ray Kigosi aitwae Chuchu Hans ametegwa swali dogo tu kuwa labda ni kwanini hadi hivi sasa haishi pamoja na Ray Kigosi na jibu lake alilotoa ndilo limenifanya nije na kuwaambia Wanawake kuwa bado wana safari ndefu katika kuweza kutumia vyema IQ's zao vinginevyo tutaendelea ' Kuwapuuza ' hadi Kiama kitakapokuja.
Huku akijua kabisa kuwa kwanza ameshatenda ' dhambi ' kubwa ya Kuzaa nje ya Ndoa na Ray Kigosi huku hapo hapo tena akiwa ' amemsaliti ' Mume wake wa Ndoa kabisa aishiye nchini Australia kwa sasa Mwanadada huyu Chuchu Hans alijibu kwamba hawezi kuishi pamoja na Ray Kigosi kwakuwa bado hajafuata Sheria za Dini ili awe nae na pia bado hawajakubaliana katika Dini kwamba ni nani kati yao amfuate mwenzake Kiimani kwani wote wawili ni Dini tofauti Chuchu akiwa ni Muislamu na Ray ni Mkristo.
Nawaombeni kuwaulizeni Members wa JamiiForums ambao nawakubali 100% kuwa wengi wenu ni Great Thinkers tena mliotukuka kabisa hivi hii ' Kauli ' ya ' Kipuuzi ' ya huyu Mwanadada Chuchu Hans alitakiwa aitoe akiwa bado hajazaa na Ray huku wakijua kabisa kuwa ' wanazini ' ili kumtumikia vyema Mwenyezi Mungu au hivi alivyoitoa sasa baada ya Kuzaa na Ray ndiyo yupo sahihi?
Hivi ili uonekane kuwa upo makini na unajua unachokifanya hadi Watu wasiwe na mashaka na uwezo wako wa Kufikiri kwa mfano ukishajua kwamba katika ' Kichaka ' fulani kuna Nyoka wakali mno tena wenye Sumu kubwa unapashwa uchukue tahadhari nao kabla hawajakuuma au unatakiwa ungojee Kwanza wakukong'oli / wakuume kisha udhurike ndipo sasa uwe nao makini pamoja na hicho Kichaka?
Dada zangu mnaniangusha sana hebu jitahidini mno kutumia IQ's zenu vyema ili tusiwadharau.
Nawasilisha.
Katika Research Principles Chuchu Hans anaweza pia akatumika kama Sample mojawapo ya Wanawake wa Kizazi hiki na kumuweka au kumtumia Yeye kamwe haimaniishi kwamba Wanawake wote 100% mnafanana nae japo anawakilisha wengi wenu. Kitaaluma nilichokiwasilisha hapo nipo nacho sahihi kabisa. Sikujua kama na Wewe unaweza ukawa na aina hii ya ' udhaifu ' wa kujua Kutafakari vizuri kama Great Thinker. Umeniangusha mno!
[emoji3] [emoji3] [emoji3][emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] hamna mkuu daa mie wangu kwanza kumsimlia mambo yasio muhusu anakwambia huna ya kwako chukua laptop sikiliza hata mziki, niliwahi kuta mkaka anasutwa na wadada, nikamuita wewe vipi ndiyo kumtoa pale kisa alisema yasio muhusu
Chukueni elimu hata kutoka kwenye mdomo wa mbwaGreat Thinker anaangalia shilawadu, napata mashaka kidogo..
Ebu acha kufatilia maisha ya watu.Kuwa naangalia Kipindi pendwa cha SHIRIKA LA WAMBEA DUNIANI au SHILAWADU. Je sijui una swali tena lingine Mkuu!
Ana akili fupi sana...Dada zangu mtanisamehe sana ila niwaambieni tu kuwa ni matendo yenu ndiyo yanatufanya Sisi Wanaume hasa Mimi GENTAMYCINE nizidi ' Kuwapuuza ' hasa kutokana na wengi wenu kuwa na uwezo mdogo wa Kuchanganua mambo, Kufikiri na Kujieleza ili ' Great Thinkers ' tunaowatizana tuone kuwa nanyi ' Vichwani ' mwenu mpo vizuri.
Kupitia Kipindi cha SHILAWADU kinachoendelea hewani sasa huyu Mwanadada Mpenzi wa Msanii wa Maigizo Ray Kigosi aitwae Chuchu Hans ametegwa swali dogo tu kuwa labda ni kwanini hadi hivi sasa haishi pamoja na Ray Kigosi na jibu lake alilotoa ndilo limenifanya nije na kuwaambia Wanawake kuwa bado wana safari ndefu katika kuweza kutumia vyema IQ's zao vinginevyo tutaendelea ' Kuwapuuza ' hadi Kiama kitakapokuja.
Huku akijua kabisa kuwa kwanza ameshatenda ' dhambi ' kubwa ya Kuzaa nje ya Ndoa na Ray Kigosi huku hapo hapo tena akiwa ' amemsaliti ' Mume wake wa Ndoa kabisa aishiye nchini Australia kwa sasa Mwanadada huyu Chuchu Hans alijibu kwamba hawezi kuishi pamoja na Ray Kigosi kwakuwa bado hajafuata Sheria za Dini ili awe nae na pia bado hawajakubaliana katika Dini kwamba ni nani kati yao amfuate mwenzake Kiimani kwani wote wawili ni Dini tofauti Chuchu akiwa ni Muislamu na Ray ni Mkristo.
Nawaombeni kuwaulizeni Members wa JamiiForums ambao nawakubali 100% kuwa wengi wenu ni Great Thinkers tena mliotukuka kabisa hivi hii ' Kauli ' ya ' Kipuuzi ' ya huyu Mwanadada Chuchu Hans alitakiwa aitoe akiwa bado hajazaa na Ray huku wakijua kabisa kuwa ' wanazini ' ili kumtumikia vyema Mwenyezi Mungu au hivi alivyoitoa sasa baada ya Kuzaa na Ray ndiyo yupo sahihi?
Hivi ili uonekane kuwa upo makini na unajua unachokifanya hadi Watu wasiwe na mashaka na uwezo wako wa Kufikiri kwa mfano ukishajua kwamba katika ' Kichaka ' fulani kuna Nyoka wakali mno tena wenye Sumu kubwa unapashwa uchukue tahadhari nao kabla hawajakuuma au unatakiwa ungojee Kwanza wakukong'oli / wakuume kisha udhurike ndipo sasa uwe nao makini pamoja na hicho Kichaka?
Dada zangu mnaniangusha sana hebu jitahidini mno kutumia IQ's zenu vyema ili tusiwadharau.
Nawasilisha.