Kwa jibu hili la Mpenzi wa Ray Kigosi Mrembo Chuchu Hans, Wanawake mkizidi kudharauliwa mtalaumu?

Nenda kasome topic ya words formation utanue uelewa wako mdogo ulionao dada angu hujui kuwa unaweza kuanzisha neno na likaingia kwenye matumizi ya lugha kwa kutohoa indirect?

Kabla ya leo kunipa haya maelekezo yako naomba unipe tena tofauti ya lile neno lako la Easy na lile sahihi la Essay. Kwahiyo kumbe hiyo Topic yako ya words formation ndiyo imekufundisha uandike neno Easy badala ya Essay? Twende Kazi!
 
Nenda kasome topic ya words formation utanue uelewa wako mdogo ulionao dada angu hujui kuwa unaweza kuanzisha neno na likaingia kwenye matumizi ya lugha kwa kutohoa indirect?

Kabla ya leo kunipa haya maelekezo yako naomba unipe tena tofauti ya lile neno lako la Easy na lile sahihi la Essay.
 
Huyo mumewe kwenda kuishi Australia na kumuacha mke TZ maana yake nini? Kama walishapigana chini basi hakuna usaliti hapo!
 
kuzini dini inaruhusu ila kuishi pamoja bila ndoa ndo inakataza??
 
Kwa iyo ukikaa bar wenzako wanaangalia mpira, mda umefika, utarudi home kuangalia au utawaomba wabadili channel waweke kipindi cha umbea!?
 
This is Insane.....!

Mi sidhani kama kuna makosa yeyote ya mtu kuangalia Shilawadu Kisa kinaongelea umbea au udaku, na mnasema hivi ni vipindi vya kina mama na dada wa kazi wakati host ni wanaume kabisa hasa kwa nn tusiangalie kisa udaku , hivyo vipindi mnavyosema tusiangalie ni upuuzi mtupu vimejaa ushenzi tuu siasa za kipuuzii na visasi yan ushenzi...., watu wengine wamerudi Home wametulia wanaangalia chanel mnazo tulazimisha kuangalia but vitu wanavyoweka ni Always kumjadili mtu mmoja tuu, u brother man tu, kurudia habar ndo zao, sasa kwa tusiangalie....

SHILAWADU na kuskiliza Leo Tena , Uhondoo ili Kupunguza stress

Nenda Uingereza uone udaku unavyofanya kazi na yale Magazeti yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…