mkuu mimi anaenikera ni mbowe, namwona kama mpumbavu hivi, yani sabaya ndo wakumsumbua kweli?
hivi kama hawataki kuchukua hatua kwanini basi watumtulize mazima huyo dogo?
SasaBasiiii nilidhan tafsiri yake ni mwisho kulalamika, its either wakae kimya au twende kwa option ya umma...... No more