MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Tafadhali Mamlaka husika chukueni Tahadhari haraka kwani tayari Kirusi hatari na Kipya cha Corona kilichopo nchini India kimeanza Kusambaa Kwetu barani Afrika.
Mpaka sasa Kirusi hiko kimefika nchi za Nigeria, Algeria, Congo Brazaville, Kenya, Uganda, Morocco na Afrika Kusini kwa mujibu wa Kipindi kizuri cha Nipashe cha Radio One asubuhi ya leo.
Kuna Mtu (nimemsahau) alitudanganya kuwa Tanzania tupo salama na tusiogope huku akisema Corona haipo Tanzania hivyo namuomba Rais Samia nae asitudanganye na ikiwezeka hatua Kali za Kudhibiti zianze Kuchukuliwa sasa.
Yaani kiwe Kenya na Uganda (kwa Majirani zetu) halafu Tanzania kisiwepo? Kikiwa hakipo najitolea Kuogelea Baharini kutoka Dar es Salaam hadi Zanzibar.
Mpaka sasa Kirusi hiko kimefika nchi za Nigeria, Algeria, Congo Brazaville, Kenya, Uganda, Morocco na Afrika Kusini kwa mujibu wa Kipindi kizuri cha Nipashe cha Radio One asubuhi ya leo.
Kuna Mtu (nimemsahau) alitudanganya kuwa Tanzania tupo salama na tusiogope huku akisema Corona haipo Tanzania hivyo namuomba Rais Samia nae asitudanganye na ikiwezeka hatua Kali za Kudhibiti zianze Kuchukuliwa sasa.
Yaani kiwe Kenya na Uganda (kwa Majirani zetu) halafu Tanzania kisiwepo? Kikiwa hakipo najitolea Kuogelea Baharini kutoka Dar es Salaam hadi Zanzibar.