#COVID19 Kwa jinsi kirusi cha Corona cha India kinavyosambaa sasa Afrika, nikiambiwa hakijafika Tanzania nitashangaa

#COVID19 Kwa jinsi kirusi cha Corona cha India kinavyosambaa sasa Afrika, nikiambiwa hakijafika Tanzania nitashangaa

Tanzania badala ya kuwa na long-run strategies dhidi ya Corona tupo busy kudemka!😄😄😄
987654-1.jpg
 
Watakaoathirika ni wazee, wenye magonjwa na mabonge ndio maana wengine hawajali.
 
Ngoja kwanza nile Eid halaf nijue kama kipo au hakipo..

KichWa BoX
 
Msitutishe hiyo corona iko wapi?

Kila siku corona this corona that wakati si tunaishi fresh; tumejaa masokoni, tumejaa kwenye daladala nyie mmejifungia kwenye magari na barakoa lakin hakuna maajabu yoyote, wala hospital hazijajaa wala hakuna mizoga inayookotwa barabarani.
Chukua kinywaji unachotaka nitakuja kulipa
 
Msitutishe hiyo corona iko wapi?

Kila siku corona this corona that wakati si tunaishi fresh; tumejaa masokoni, tumejaa kwenye daladala nyie mmejifungia kwenye magari na barakoa lakin hakuna maajabu yoyote, wala hospital hazijajaa wala hakuna mizoga inayookotwa barabarani.
Unasubiri mpaka hospitali zijae?,itakua too late
 
Hivi kile kirusi kipya kilichogundulika kwa watanzania waliokua wanasafiri huko Afrika ya kati kiliishia wapi?
 
Swala la corona chukua tahadhari wew binafsi sisi wengine tumechagua kuishi nayo.
 
Kenya na Tanzania ni nchi tofauti moja ni ya 'kibeberu' na ingine ni ya kibongo.
 
Unasubiri mpaka hospitali zijae?,itakua too late
Hakuna cha too late wala too early, corona ni ugonjwa wa kwenye media ,period.


Tangu mwaka jana ,tulipewa miez miwili na WHO kwamba tutaokota mizoga barabarani ...vipi huko kwenu mshaanza kuiokota?!

Kila siku mara kirusi cha uingerera sijui brazil, naona cha south africa kimepoa saivi ni cha India kipo sokoni ...baada ya miez 2 au 3 utaskia cha Somalia ,upuuzi tu.
 
Tafadhali Mamlaka husika chukueni Tahadhari haraka kwani tayari Kirusi hatari na Kipya cha Corona kilichopo nchini India kimeanza Kusambaa Kwetu barani Afrika.

Mpaka sasa Kirusi hiko kimefika nchi za Nigeria, Algeria, Congo Brazaville, Kenya, Uganda, Morocco na Afrika Kusini kwa mujibu wa Kipindi kizuri cha Nipashe cha Radio One asubuhi ya leo.

Kuna Mtu (nimemsahau) alitudanganya kuwa Tanzania tupo salama na tusiogope huku akisema Corona haipo Tanzania hivyo namuomba Rais Samia nae asitudanganye na ikiwezeka hatua Kali za Kudhibiti zianze Kuchukuliwa sasa.

Yaani kiwe Kenya na Uganda (kwa Majirani zetu) halafu Tanzania kisiwepo? Kikiwa hakipo najitolea Kuogelea Baharini kutoka Dar es Salaam hadi Zanzibar.
Hakuna Kirusi kipya cha corona. Corona ni yule yule, kama anaua India basi anaua popote duniani. Hajaanzia India.

Nani alikwambia Tanzania hakuna hicho kirusi? mpaka mbuzi wanacho, mpaka mapapai yanacho. kwa kauli za Rais aliyetangulia mbele ya haki.


Vipi leo kiwe "cha India"? Kwanini isiwe cha Tanzania kimeenda India? Tusiwe wavivu kufikiri na kuandika kiubaguzi.

Kirusi hakichagui huyu wa nchi ipi au wa kabila ipi, kikikuvaa kimekuvaa, au upone au ufe.


Tafuta chanzo cha hicho Kirusi ndio useme Kirusi cha...
 
Back
Top Bottom