Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,273
Au fisi kala fisi mkuu!Uzuri sasa mumebakia wenyewe sasa uaneni kabisa, hii kitaalamu tunaita mbwa kala mbwa kudadadeqView attachment 1669289
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hana elimu,elimu gani?Tabasamu hana elimu, kwani kashindwa kuelewa kuwa maamuzi yote yaliyochuliwa na mkurugenzi yalipitishwa na vikao halali vya madiwani, mkuu wa wilaya ya sengerema katoa ufafanuzi wa hali ya juu, kuwa kika kitu kiliamuliwa kwa kuzingatia sheria
CCM ni kubwa kuliko DEDs!Uchaguzi mkuu 2025 ni vita Kati ya CCM na DEDs.
Hahahaaaa...... hayo ndio madhara ya kutosoma shule ya Chekechea ulipokuwa mtoto!
Hapo ni kweli.Maana yake huwa wanafuata maelekezo ya CCM.Reference uchaguzi mkuu 2020.CCM ni kubwa kuliko DEDs!
Hata kama akipata rafiki,naye atakuwa shetani tu.Shetani hana rafiki , waulize wasafi
1984 hapakuwepo shule ya " vidudu"?Enzi zetu hatukuwa na chekekea,1984? Nipe maana ya kumchongea kutoka kwenye kamusi yetu ya kiswahili.
Ruangwa?CAG akague. Halimashauri zifuatazo Kuna ufisadi mkubwa umefanyiwa na DED waliokuwepo wachunguzwe.1. Kilosa 2. Chunya 3. Nyangwale 4. Biharamulo 5. Moshi mjini 6. Simanjiro 7. Ikungi 8. Kahama 9. Nzera au geita vijijini 10. Ruangwa 11. Jiji la tanga 12. Kisarawe 13. Handeni 14. Karatu. 15. Kigoma ujiji 16. Meru 17. Rorya 18. Nzega mjini na vijiji.
Pia wamechaka chua fedha nyingi za uchaguzi mkuu 2020.
Halmashauri zimekuwa mchwa kwa kula fedha za serikali
Kibajaji na Sugu wanatoka kanda ya ziwa?!
Hujui kiswahili Kumbe,nipe jina la kamusi uliyotumia.1984 hapakuwepo shule ya " vidudu"?
Kuchongea ni kumsemelea mtu kwa muhusika kuhusu uovu anaouficha!
Sugu ni Chadema!Wabunge wengi zaidi wa CCM ni std 7.
Waziri wa Tamisemi mh Jaffo alikuwa ziarani wilayani Sengerema ndipo mbunge wa jimbo hilo mh Tabasamu akamchongea mkurugenzi Magesa kwa matumizi mabaya ya ardhi pamoja na fedha za wafadhili.
Jafo amelikabidhi suala hilo Takukuru.
chanzo: Clouds tv
My take; Kama wabunge wa CCM walipendelewa na wakurugenzi wakati wa uchaguzi kwanini Tabasamu amgeuke Magessa!
Maendeleo hayana vyama.
Nani shetani?Shetani hana rafiki, acha waoneshane makali.
Umesoma mathematical probability?Sugu ni Chadema!
Wewe Cheka tuKwi....kwi...kwi...!