Kwa jinsi nilivoshuhudia party ya uchi ndani ya The Baraque Club, Jijini Geneva usiku wa jana Siamini kama wazungu wako sawasawa

Kwa jinsi nilivoshuhudia party ya uchi ndani ya The Baraque Club, Jijini Geneva usiku wa jana Siamini kama wazungu wako sawasawa

Mkuu Dina, baharia Ndizmshale yeye 'alibetua stuli' akamaliza kazi yake.

Kitanzi kikabaki mikononi mwa Team Roho Mbaya kuwapaka mkorogo wa 'upupu' mixer 'pilipili mbuzi' wakora wote waliotuchomesha mahindi ya Jeneva.

"Mrongo na Mlozi ni watu wa kuchoma"... alisikika mswizi mmoja wa Keko Magurumbasi.

BTW... Huko Canada mnapiga nyungu pia sanjari na lokudawuni?

-Kaveli-


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],huku Canada mambo shwari aiseee hatujifukizi na watu wanaenda club kama kawaidaa sio geneva tu hata Canada pia [emoji40][emoji6]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mara ya kwanza kabisa tangu nakuwa mtu mzima najikuta nakojoa nikiwa nimekaa bila kugusana na uchi wa mwanamke, sio memba wa CHAPUTA ila sperm zilipita huku akili ikiwa imestuck na misuli ya uume ikiwa imesimama zaidi ya mshale ukiwa kwenye mwendo.

Usiku wa jana ni moja ya matukio ambayo sitakaa niyasahau.., mmoja kati ya rafiki zangu wa wenyeji wangu hapa nchini aliniambia twende Club mida ya usiku na mida ilipofika jamaa akawasha gari tayari kwa safari ya Mtoko mpaka katikati ya mji wa Geneva hapa Kuna club tatu zote zimepangana,. Kuna Bypass Club, Five night Club na tuliyoingia sisi The Baraque Club...balaa likaanza tulipokuwa tunaingia.

Ile jamaa analipia kuchukua tiketi ili tuingie akanifata, akaniambia kwa party iliyoko humu ndani leo kabla hatujaingia ni lazma tupimwe afya (HIV) na Corona then tunaingia bila nguo 😀

Tukapima, jamaa akavua, na Mimi nilivua nikabaki na bukuta na tisheti nikaruhusiwa kuingia...Sasa mle ndani watu wote ni uchi yaani mijamaa inabambiana inatiana madole na mkuyenge live🙁🙂

Mademu waliokuwa mle asilimia kubwa walikuwa ni wakali sana yaani warembo haswa kinachofanyika Sasa kiliniacha mkuyenge wangu umesimama na kujimwagia bao bila kupenda, mijitu inapigana miti huku inarekodiwa😛 Hawa jamaa nimewainulia mkono.

Mimi ilibidi niwe mpole maana nchi za watu hizi ilibidi ninunue wine halafu nikae kwenye sofa niwe mpenzi mtazamaji, but next time lazma niende kufanya balaa langu😀😀jana nimepata maujuzi tu na kuondoa uoga kuhusu hii ngozi.
Pole! Hiyo inaitwa "cultural shock". Nadhani kila jamii ya watu kuna hicho kitu (kitu ambacho watu wa utamaduni mwingine wataona siyo sawa au si jambo la kawaida). Kila jamii ya watu ina mambo ambayo jamii nyingine inaona si sawa au si jambo la kawaida.
 
Pole! Hiyo inaitwa "cultural shock". Nadhani kila jamii ya watu kuna hicho kitu (kitu ambacho watu wa utamaduni mwingine wataona siyo sawa au si jambo la kawaida). Kila jamii ya watu ina mambo ambayo jamii nyingine inaona si sawa au si jambo la kawaida.

Mkuu, soma Uzi wote kwanza kabla ya kukoment. Ushaokotwa!

Huyo jamaa ni full chai bila andazi.

-Kaveli-
 
Mkuu, soma Uzi wote kwanza kabla ya kukoment. Ushaokotwa!

Huyo jamaa ni full chai bila andazi.

-Kaveli-
Poa. Nimekupata. Lakini mimi nimechangia hasa ile sehemu aliyosema "siamini kama wazungu wako sawasawa". Maana yake, hata watu wa tamaduni nyingine wakija huku kwetu na baadaye ukiwasikia wakisimlia wanasema "kuna mambo si sawa sawa." Sasa hayo mengine ya kuwa kuwa "full chai bila andazi" ni juu yake.
 
Huu uzi nimechekaaa sanaa jamani nyie watu vibokoo Phoenix


Sent using Jamii Forums mobile app

'Mswizi hewa' katumbuliwa bila ganzi. 😂😂😂

Parabora kanyolewa para na wakuda kwa style ya sakayonsa. Yaani kama ni kuku, amenyonyolewa kwa ushirikiano ulotukuka!

Yule mjuba maisha yake yote lazima atahifadhi kichwani mwake kumbukizi la kudumu kuhusu unoko wa wanajumuiya wa Jamiiforum.

Arudi sasa Facebook akaendelee kucheza cha-ndimu, sio hapa jf.

Jamiiforum ni korido la wajuaji. Ukijamba, wao wanakunya mubashara!

-Kaveli-
 
Hahahaa mkuu umenikumbusha harakati za mkulima Ontario kuwaokota watu humu na mboyoyo zake za 'kudownload money'.

-Kaveli-
Yule mjomba alikodi trekta kwa Siku 30 na akapata faida ya Tsh.30mil,hapo ndipo nikajua kweli kilimo cha watsap hua kipo.
 
Club zenu huko Canada hua mnapimwa HIV kabla ya kuingia kama wanavyofanya huku kwetu Geneva?

Wanakupima kila kitu hadi magonjwa ya zinaa,corona na ukitoka wanakupima tenaa sema pichahazoruhusiwi simu huwa tunaacha kwa mlinzi.
 
wanakupima kila kitu hadi magonjwa ya zinaa,corona na ukitoka wanakupima tenaa sema pichahazoruhusiwi simu huwa tunaacha kwa mlinzi

Dada Dina, naomba mwaliko nami nije kula paja tamu za totoz nyeupe. Nitashusha bonge la sredi kumrusha roho Para.
😂😂😂😂

-Kaveli-
 
Aaaah! weee acha hizo Mkuu! utachezaje Muziki mguu kati umesimama? hapo umebeba mizigo mitatu;

Mkuyenge una kauzito fulani hivi

Mawazo ya genye! na ulegevu! papuchi za kulingishia zinalegeza sana mwili!

Step na style ya mziki

unaweza cheza kitofauti kabisa ukibeba haya matatu! wewe sasa ndo utakuwa burudani kwa watazamaji!
 
But za kiafrica zinasisimua zaidi huko swaziland reed dance, na Kingdom of lesotho, wa south wazuriii!
 
Kwa mara ya kwanza kabisa tangu nakuwa mtu mzima najikuta nakojoa nikiwa nimekaa bila kugusana na uchi wa mwanamke, sio memba wa CHAPUTA ila sperm zilipita huku akili ikiwa imestuck na misuli ya uume ikiwa imesimama zaidi ya mshale ukiwa kwenye mwendo.

Usiku wa jana ni moja ya matukio ambayo sitakaa niyasahau.., mmoja kati ya rafiki zangu wa wenyeji wangu hapa nchini aliniambia twende Club mida ya usiku na mida ilipofika jamaa akawasha gari tayari kwa safari ya Mtoko mpaka katikati ya mji wa Geneva hapa Kuna club tatu zote zimepangana,. Kuna Bypass Club, Five night Club na tuliyoingia sisi The Baraque Club...balaa likaanza tulipokuwa tunaingia.

Ile jamaa analipia kuchukua tiketi ili tuingie akanifata, akaniambia kwa party iliyoko humu ndani leo kabla hatujaingia ni lazma tupimwe afya (HIV) na Corona then tunaingia bila nguo 😀

Tukapima, jamaa akavua, na Mimi nilivua nikabaki na bukuta na tisheti nikaruhusiwa kuingia...Sasa mle ndani watu wote ni uchi yaani mijamaa inabambiana inatiana madole na mkuyenge live🙁🙂

Mademu waliokuwa mle asilimia kubwa walikuwa ni wakali sana yaani warembo haswa kinachofanyika Sasa kiliniacha mkuyenge wangu umesimama na kujimwagia bao bila kupenda, mijitu inapigana miti huku inarekodiwa😛 Hawa jamaa nimewainulia mkono.

Mimi ilibidi niwe mpole maana nchi za watu hizi ilibidi ninunue wine halafu nikae kwenye sofa niwe mpenzi mtazamaji, but next time lazma niende kufanya balaa langu😀😀jana nimepata maujuzi tu na kuondoa uoga kuhusu hii ngozi.
Ndio maana majanga hayaishi dunia hii. Wakati wengine tuko bize kupoza hasira ya Mungu kwa sala na ibada, wengine wako bize kuwasha hasira ya Mungu!!!!
 
Back
Top Bottom