Unajua UDOM, Mwendokasi Dar, Shule za Kata, Hospitali ya Mloganzila, Daraja la Malagarasi, Daraja la Kigamboni, Umeme Kinyerezi 2, Hospitali ya Benjamin william Mkapa iliyojengwa chuo kikuu cha UDOM, Mtandao wa barabara nchi nzima, Jakaya Kikwete Health Institute, uwanja wa Ndege terminal 3, Mradi wa Gesi Mtwara hadi Dar, Mradi wa Maji Ruvu Juu hadi Dar kupitia Bunju, Vivuko kedekede, Ukarabati viwanja vya ndege, Kuongeza udahili wanafunzi wa vyuo vikuu, Daraja la Kilombero, Ajira za kumwaga, Demokrasia pana na mengine mengi tu
Hapo unaona JK hakufanya kitu?