Kwa Jinsi Rais Magufuli alivyotangaza mambo ambayo Mkapa alifanya naona kila kitu cha maana leo yeye ndio alianzisha

Kwa Jinsi Rais Magufuli alivyotangaza mambo ambayo Mkapa alifanya naona kila kitu cha maana leo yeye ndio alianzisha

Ukimpima Magufuli kwenye mizani sawa ambayo tumempimia Nyerere Mwinyi Mkapa na Kikwete itakuwa sio sawa tusubiri Magufuli amalize yake kumi ndo tuje tumpime pia kuna kipindi inabidi ufanye Jambo kulingana na nyakati husika sa hii one man show huenda inamsaidia sana kuliko ile ya kuacha system ifanye kila kitu kipindi cha Kikwete labda ndo mana JK alichelewa kufika kabla hajafika but BWM ni Bora mno kwa aliyoyafanya.
Siku njema huonekana asubuhi mkuu.kama mtu anatekeleza budget zake kwa wastani wa asilimia 40 kwa mwaka Kuna nini hapo
 
Mkuu magufuli anafanya propoganda tu hana lolote,Mkapa aliamini katika mifumo,huyu magu anaamini katika one man show,kikwete alijenga barabara nyingi na kuacha mifumo ifanye kazi zake,huyu magufuli yeye Kila kitu anataka afanye yeye
Wewe unajulikana una hasira na chuki kali sana kwa Magu, sasa hapa unamlinganishaje Magufuli aliekaa miaka 5 na hao waliokaa miaka 10?

Kwanini usisubiri Magu nae amalize 10 kisha ndio ufanye ukinganisho?

Wakati mwingine uanweza kuwa uanamchukia mtu mpaka ukaonekana mjinga sana.
 
Pamoja na mengi aliyoyafanya Late BW Mkapa hakuna kisokotolo chochote kilichodhubutu kutamka kuongezea muda wa madaraka lakini kuna huyu mwingine anakwenda kama nini sifa kibao hakuna afanyacho zaidi ya kudhalilisha watu na kutaka waishi kama mashetani. anavyoishi nyumbani kwake ndivyo anavyotaka wengine waishi shame on him!

Leo hii anataka aongezewe muda kwa kisingizio hakuna anaeweza kufanya kama yeye my foot
 
Kwenye siasa zetu za ndani inaweza kubalika kuongelea vitu kwa perspective za kitanzania katika majukwaa.

Hila unapofundisha historia wanafunzi chuoni au unapohutubia international audience a story needs to be balanced.

Yes Mkapa amezunguka sana kwenye diplomatic circles za dunia na amefanya mengi kwa Tanzania. Lakini kusema ni umahiri wake wa diplomasia ndio uliifanya nchi ifutiwe deni la dollar billion 3 kati ya billion 7 zilizokuwa zinadaiwa hata hao wageni watatushangaa because historically dunia nzima inajua nini kilikuwa kinaendelea ulimwenguni katika sakata la debt crisis kulikuwa na kama 500 billlion dollars ambazo azilipiki kutokana ha hali ya kiuchumia za nchi maskini kwa ivyo sio Tanzania pekee ilinufaika bali nchi nyingi maskini.

To cut the story short nchi tajiri ambazo zilikopesha nchi maskini ziliamua kufuta asilimia kubwa ya madeni yake baada ya kuona wengi hawana uwezo wa kulipa kutokana na kuporomoka kiuchumi.

Madeni ya banks zao ndio yakabakia wao walikataa kufuta wadai waliobaki kupitia ‘Paris Club’ wakaja na mambo ya restructuring kupunguza ugumu wa ulipaji na mapendekezo mengine ya kiuchumi ya kufuatwa, etc.

Of course raisi wa muda huo atakuwa anawakilisha katika majadiliano namna sahihi ya kukubali hizo condition kwa mazingira ya nchi yake. Ila kusema Mkapa ndio alikuwa architect wa kila kitu hadi kufutiwa deni huko sasa ni kupotosha history kwa watanzania.
 
Watakwambia SGR,STEGOLAZ,TANZANITE BRIJI,VIWANDA,UCHUMI WA KATI TUMEFIKA MAPEMA,NIDHAMU KAZINI.
SGR - bado kazi mbichi
Stiegler's Gorge - asubuhi
Viwanda - vipya viko wapi?
Uchumi wa kati - JK & Mkapa ndiyo wamechangia pakubwa
Nidhamu kazini - hii ni sawa ni kusifia ATM card yako mwenyewe!
 
Nilikuja kuanzisha uzi kama huu. Mara nakuta umeuweka hapa tayari! Mungu wetu ni mkubwa na mwema. Leo ukweli umejulikana. Watoto wa siku hizi waliaminishwa na walamba viatu (ikiwemo TBC) kuwa kila kitu kimefanyika awamu ya 5! Uongo mtupu. Marais wengine wana mchango wao pia. Tuache sifa za uongo jamani. Tuombe kura bila ya kupanda kwenye mabega ya wengine. Siyo ustaarabu kabisa.

Lakini ukisikiliza tofauti ya indicators za uchumi kabla na baada ya 1995 utajiuliza Mzee Mwinyi alikuwa analipeleka wapi taifa. Na hata hivyo kuna watu walitaka aongezewe vipindi vya kutawala. Bahati nzuri Nyerere alikuwa hai akawatalia.
Kwa Hali alioicha Mwinyi kila MTU anaona NCHI haikuwa salama kichumi lakini kwa waliokuwepo kipindi hicho waliona Mwinyi kawavusha kulingana na Hali waliyokuwanayo kabla yake lakini Ukija ukapima utaona Mwinyi alikuwa anatengeneza shimo la kufukia watanzania wake na Mkapa kaja kuwaokoa na kuanza kulifukia lile shimo Ila ajabu nyingine makosa yaleyale yakarudi Tena kwa Kikwete sasa huyu wasasa tusubiri yake kumi yaishe aachie ofisi tukakague ofisi tujue katuachaje?
 
Kama ni hivyo msitwambie kuwa amefanya mengi katika miaka 5 kuliko marais wote. Danganyeni watoto wadogo. Sisi ambao tumekuwepo awamu zote hizi, tunaujua ukweli. Kama Magufuli anamzidi Rais, basi ni Mwinyi tu. Tena hiyo ni upande wa miundombinu tu. Kwa upande wa demokrasia, Mwinyi pia anamzidi japo wakati wa Mwinyi kilikuwa chama kimoja.
Wewe unajulikana una hasira na chuki kali sana kwa Magu, sasa hapa unamlinganishaje Magufuli aliekaa miaka 5 na hao waliokaa miaka 10?

Kwanini usisubiri Magu nae amalize 10 kisha ndio ufanye ukinganisho?

Wakati mwingine uanweza kuwa uanamchukia mtu mpaka ukaonekana mjinga sana.
 
Kwa Hali alioicha Mwinyi kila MTU anaona NCHI haikuwa salama kichumi lakini kwa waliokuwepo kipindi hicho waliona Mwinyi kawavusha kulingana na Hali waliyokuwanayo kabla yake lakini Ukija ukapima utaona Mwinyi alikuwa anatengeneza shimo la kufukia watanzania wake na Mkapa kaja kuwaokoa na kuanza kulifukia lile shimo Ila ajabu nyingine makosa yaleyale yakarudi Tena kwa Kikwete sasa huyu wasasa tusubiri yake kumi yaishe aachie ofisi tukakague ofisi tujue katuachaje?

Labda mnaona aibu kumsema Mwalimu, lakini uchumi wa nchi hii ulikuwa umekufa kabisa mwaka 1985

Hivi wewe una habari kuwa mwaka 1985 Mwinyi alichukua nchi uchumi ukiwa unakua kwa NEGATIVE rate (Ulikuwa ukikua kwa -3%).

Hujui kuwa Mwinyi Kachukua hii nchi wakati tukifuata Uchumi wa Kijamaa ambao ulishafeli duniani, na Mwinyi kwa ujasiri akaamua kufanya reforms kwa kuanzisha soko huria!

Hujui kuwa TRA ilianzishwa kisheria na Mwinyi mwaka 1995 kabla ya mkapa kufanya Staffing mwaka 1996

Hujui ni Mwinyi ndiye aliyerudisha vyama vingi?

Hujui Barabara kwa mfano ya Dar Arusha ilijengwa kwa lami kipindi cha Mwinyi?

Ukiwa huna maono unaweza kumlaumu Mwinyi, lakini wakati Mwinyi anachukua nchi hii ilikuwa ni almost failed state, watu ni masikini choka mbaya!
 
Mkuu magufuli anafanya propoganda tu hana lolote,Mkapa aliamini katika mifumo,huyu magu anaamini katika one man show,kikwete alijenga barabara nyingi na kuacha mifumo ifanye kazi zake,huyu magufuli yeye Kila kitu anataka afanye yeye

usimchukie mtu kiasi cha kutoona mazuri yoyote anayofanya utaitwa mchawi bure.
 
Kuna mtu nilimsikia akisema awamu zote zilizopita hazikufanya kitu. Na watetezi wake wanajinadi mambo anayoyafanya sasa hayajawahi fanywa hapo kabla.

Vituko show.
 
Wakati wa Myinyi, mfumuko wa bei ulilazimisha kuletwa kwa noti za 5000. kama hiyo haikutosha, zikaletwa za 10,000 ili watu wasitembee na magunia ya noti!
Kwa Hali alioicha Mwinyi kila MTU anaona NCHI haikuwa salama kichumi lakini kwa waliokuwepo kipindi hicho waliona Mwinyi kawavusha kulingana na Hali waliyokuwanayo kabla yake lakini Ukija ukapima utaona Mwinyi alikuwa anatengeneza shimo la kufukia watanzania wake na Mkapa kaja kuwaokoa na kuanza kulifukia lile shimo Ila ajabu nyingine makosa yaleyale yakarudi Tena kwa Kikwete sasa huyu wasasa tusubiri yake kumi yaishe aachie ofisi tukakague ofisi tujue katuachaje?
 
Wewe unajulikana una hasira na chuki kali sana kwa Magu, sasa hapa unamlinganishaje Magufuli aliekaa miaka 5 na hao waliokaa miaka 10?

Kwanini usisubiri Magu nae amalize 10 kisha ndio ufanye ukinganisho?

Wakati mwingine uanweza kuwa uanamchukia mtu mpaka ukaonekana mjinga sana.
Huyu hata akimaliza miaka 30 hakuna Cha maana anachoweza kufanya,vitu hufanywa kwa mipango na si maguvu,
 
Asante kwa kunisahihisha. Nimeangalia BOT wanasema ya 5,000 iliingizwa 1995 na ya 10,000 iliingizwa 1997. Lakini all in all, ilikuwa ni runway inflation ya kipindi cha Mwinyi (>20%) iliyosababisha.
Noti ya 5000 na 10000 ni kipindi cha BWM
Ndiyo mara ya kwanza rais aliyeko madarakani alikataa kuweka picha yake kwenye fedha
 
Labda mnaona aibu kumsema Mwalimu, lakini uchumi wa nchi hii ulikuwa umekufa kabisa mwaka 1985

Hivi wewe una habari kuwa mwaka 1985 Mwinyi alichukua nchi uchumi ukiwa unakua kwa NEGATIVE rate (Ulikuwa ukikua kwa -3).

Hujui kuwa Mwinyi Kachukua hii nchi wakati tukifuata Uchumi wa Kijamaa ambao ulishafeli duniani, na Mwinyi kwa ujasiri akaamua kufanya reforms kwa kuanzisha soko huria!

Hujui kuwa TRA ilianzishwa kisheria na Mwinyi mwaka 1995 kabla ya mkapa kufanya Staffing mwaka 1996

Hujui ni Mwinyi ndiye aliyerudisha vyama vingi?

Hujui Barabara kwa mfano ya Dar Arusha ilijengwa kwa lami kipindi cha Mwinyi?

Ukiwa huna maono unaweza kumlaumu Mwinyi, lakini wakati Mwinyi anachukua nchi hii ilikuwa ni almost failed state, watu ni masikini choka mbaya!
Kwangu Mimi mwinyi was my best president
 
nimegundua humu watu wanabishana ukristo na waislamu lakini yote kwa yote ukiwa unajiamini haina ya haja usifiwe
 
Mkuu nioneshe hayo mazuri ambayo Mimi nimeshindwa kuyaona

Ni mengi sana lakini kama kweli wewe uoni ya nini nisumbuke kukutajia. Kumbuka huyu ana miaka mitano amejenga Barabara za viwango kuliko kipindi kingine chote, amehamisha serikali, amejenga Ubungo interchange,amejenge Tazara flay-over, daraja la Salender refu kuliko yote africa mashariki na kati kwa baharini, daraja kwa busisi refu kuliko yote kwenye maziwa africa, Bwawa la nyerere ameanzisha Tarura nk nk.
 
Back
Top Bottom