Achana nae huyooh, anadhan huo uhuru anaopata leo ulitokana na juhudi za nan? Mpuuze tyuuuhAisee!!
Unasema Nyerere hakuacha nae hakuacha alama kubwa???
Nikusaidie tu hata JK amecha mambo mengi mazuri na makubwa. Ingia makataba na mitandaoni utaona.
Nyerere hana mfano wa hao wote, yeye tunaweza kujaza kabati la vitabu tukiandika mazuri na makubwa aliyofanya Nyerere na yangali hai hadi sasa.
Pengine sasa hivi wewe au ukoo wenu msingemiliki ardhi na wengi wetu hapa wasingesoma bila Nyerere.
Kifupi kila unachokiona hapa Tanzania katika msingi wake kina mkono wa Nyerere.
Kununua ndege nayo ni achievement? Mungu atusaidieAchievement ya JPM ni kununua ndege as of now , vingine vyote ni JK
Kumuongeza Magu hata mwaka mmoja ni usaliti kwa nchi yetu na ukiukwaji mkubwa wa haki zetu wenyewe naza watoto wetuTumuongezee miaka 10 ayafikie
We jamaa sijui una kipaji cha chuki nadhani unaishi pangoni pia.Huyu hata akimaliza miaka 30 hakuna Cha maana anachoweza kufanya,vitu hufanywa kwa mipango na si maguvu,
Mkapa alikuwa siyo mpendwa sifa kama huyuNimesikiliza mambo ambayo Rais Magufuli anayasema kuhusu Mkapa binafsi naona Mkapa ni shujaa mkubwa mno wa Taifa hili maana alianzisha mambo muhimu mno mpaka sasa na sisi ambao wengi hatujui tulijua hayo yalianzishwa na Mwl. Nyerere au Mzee Mwinyi kumbe ni Mkapa, pia naona yale maubabe aliyokuwa anayafanya kumbe ilkua ni kwa nia njema kabisa.
Angalia jinsi alivyokuwa ana coordinate uchumi pia naskia alivyoingia madarakani hakuna CHAKULA kiliongezeka bei, binafsi sijui aliemfata madarakani Mzee Kikwete pamoja na kusafiri sana sijui makubwa ya maana aliyoyafanya hapa nchini ni nini hapo ndo napopata akili ya kuwa Rais Magufuli kumbe ameanzia pale alipoishia Mkapa.
Sasa naamini kwa maneno aliyoongea ya sifa tele kwa Mkapa akipita uchaguzi huu tutegemee wananchi kutokuwa na PESA mifukoni hasa wale wasiokuwa na ajira rasmi au shughuli rasmi ya kuingiza kipato na badala yake lazima apige Miradi mikubwa zaidi itakayoacha alama KUBWA kuwa hii iliasisiwa au kufanywa na Magufuli.
Mkuu Mimi ninaakili zangu I can see,I can analyse things,sipelekwi pelekwi kwa propoganda uchwara Kama unavyopelekeshwa wewe.We jamaa sijui una kipaji cha chuki nadhani unaishi pangoni pia.
Mkuu we acha tu ukiyaandika hapa ni mlolongo lakini nina uhakika ukienda kila wilaya kwa sasa lazima uone kitu tofauti kabisa na itabidi tuanze kuvitaja kwa makundi maana kimoja kimoja itakuwani matumizi mabaya ya rasilimali muda.Ni mengi sana lakini kama kweli wewe uoni ya nini nisumbuke kukutajia. Kumbuka huyu ana miaka mitano amejenga Barabara za viwango kuliko kipindi kingine chote, amehamisha serikali, amejenga Ubungo interchange,amejenge Tazara flay-over, daraja la Salender refu kuliko yote africa mashariki na kati kwa baharini, daraja kwa busisi refu kuliko yote kwenye maziwa africa, Bwawa la nyerere ameanzisha Tarura nk nk.
Mtoa hoja hauko serious. Yaani hujawahi kusikia JPM kwenye hotuba zake akiponda watangulizi wake?mimi naona kama vile vitu vyote vinafanyika kutokana na ilani ya chama,sidhani kama kuna haja ya kubishana nani kafanya zaidi, nafikiri ndivyo wanavyopokezana vijiti. wangekua wanatoka vyama tofauti hapo mabishano yana ulazima kuwepo, sidhani kama magufuli mwenyewe ashasema jk au bwm hawakuwahi fanya kitu, ila huwa anafanya kulingana na mwongozo na mapendekezo ya chama na mahitaji wa wananchi.
Ni kweli uliyosema. Ila Magufuri anaweza haya:-Nimesikiliza mambo ambayo Rais Magufuli anayasema kuhusu Mkapa binafsi naona Mkapa ni shujaa mkubwa mno wa Taifa hili maana alianzisha mambo muhimu mno mpaka sasa na sisi ambao wengi hatujui tulijua hayo yalianzishwa na Mwl. Nyerere au Mzee Mwinyi kumbe ni Mkapa, pia naona yale maubabe aliyokuwa anayafanya kumbe ilkua ni kwa nia njema kabisa.
Angalia jinsi alivyokuwa ana coordinate uchumi pia naskia alivyoingia madarakani hakuna CHAKULA kiliongezeka bei, binafsi sijui aliemfata madarakani Mzee Kikwete pamoja na kusafiri sana sijui makubwa ya maana aliyoyafanya hapa nchini ni nini hapo ndo napopata akili ya kuwa Rais Magufuli kumbe ameanzia pale alipoishia Mkapa.
Sasa naamini kwa maneno aliyoongea ya sifa tele kwa Mkapa akipita uchaguzi huu tutegemee wananchi kutokuwa na PESA mifukoni hasa wale wasiokuwa na ajira rasmi au shughuli rasmi ya kuingiza kipato na badala yake lazima apige Miradi mikubwa zaidi itakayoacha alama KUBWA kuwa hii iliasisiwa au kufanywa na Magufuli.
They have eyes but pretend not to see. According to them all good things in this country have been done by either Nyerere, Mkapa and they are going to say Magufuli. Mwinyi, Kikwete and the like seem to do nothing for them, you know why? Because they are not of their caliber.Labda mnaona aibu kumsema Mwalimu, lakini uchumi wa nchi hii ulikuwa umekufa kabisa mwaka 1985
Hivi wewe una habari kuwa mwaka 1985 Mwinyi alichukua nchi uchumi ukiwa unakua kwa NEGATIVE rate (Ulikuwa ukikua kwa -3%).
Hujui kuwa Mwinyi Kachukua hii nchi wakati tukifuata Uchumi wa Kijamaa ambao ulishafeli duniani, na Mwinyi kwa ujasiri akaamua kufanya reforms kwa kuanzisha soko huria!
Hujui kuwa TRA ilianzishwa kisheria na Mwinyi mwaka 1995 kabla ya mkapa kufanya Staffing mwaka 1996
Hujui ni Mwinyi ndiye aliyerudisha vyama vingi?
Hujui Barabara kwa mfano ya Dar Arusha ilijengwa kwa lami kipindi cha Mwinyi?
Ukiwa huna maono unaweza kumlaumu Mwinyi, lakini wakati Mwinyi anachukua nchi hii ilikuwa ni almost failed state, watu ni masikini choka mbaya!
anawambia kua hawajafanya kitu?Mtoa hoja hauko serious. Yaani hujawahi kusikia JPM kwenye hotuba zake akiponda watangulizi wake?
Wengi hatukuyajua yote haya kwa sababu alikaa mbali na makamera. Hakutaka kijisifia. Hakutaka kusifiwa au kutuuzwaMzee amefanya mambo mengi mno
Jk kafanya mengi nae pia ila leo ni siku ya MkapaNafkir JPM kaanzia alipoishia Mkapa Ila aisee Mkapa ndo kama alianzisha NCHI upya hongera kwa Mkapa ngoja tuone ya JPM na atakae mfata.