Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Waamu wanafanya makosa ya kibinadamu Simba ikicheza tu,hongereni Mikia kwa bahati hiyoKwakweli hadi inaboa sio kwa mbeleko hizi aiseee kweli mpira wa bongo utachelewa sana kuendelea ndo mana marefa wa tanzania hawachezeshi michuano mikubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Waamu wanafanya makosa ya kibinadamu Simba ikicheza tu,hongereni Mikia kwa bahati hiyo
Nyie si mnaletaga TV kwenye press? Au unajisahaulisha baada ya kuvuta ugoro?Hakuna timu inayolazimishwa kushiriki ligi ya Tanzania Malalamiko fc Kama mnaumia hamisheni timu yenu mkashiriki ligi ya msumbiji.
Mpira wa kazi wapi wakati kibendera alikuwa mstari mmoja kabisa na Boko,labda kama Ana macho mabovuNdio maana wazungu wameweka VAR.
Unadhani kama mpira una kasi si unaweza kuwanyima watu goli kwa hisia tu kuwa ilikuwa offside kumbe lah
Sasa kama ni offside kweli ni bahati ya aliyepata goli.
Kumaliza ubishi iletwe VAR
Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa .....pesaaaa.....pesandio sabuni ya rohoooooo!!!!....mwenye pesaaaa.....mwenye pesaaaa....mwenyepesa sio mwenzioooo
Yanga bwana wanalalamikaaaa weeee na nyinyi si mfunge hayo magoli ya offside ....ngedele nyie mnatuchosha ..kila siku tukishinda tumebebwa .[emoji2959]
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliponyimwa goli halali mechi iliyopita mlikaa kimyaaaKwakweli hadi inaboa sio kwa mbeleko hizi aiseee kweli mpira wa bongo utachelewa sana kuendelea ndo mana marefa wa tanzania hawachezeshi michuano mikubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Aibu...aibu...aibu...aibu!Mechi mmebebwa,Yanga (Penalty na Mchimbi hakuwa offiside),Mwadui ,Namungo na leo polisi.Mnasajili kwa hela kubwa,mnalipa mishahara mikubwa lkn bado mechi mnanunua.
Hawana ngekewa na waamuzi je watashindaje?Yanga bwana wanalalamikaaaa weeee na nyinyi si mfunge hayo magoli ya offside ....ngedele nyie mnatuchosha ..kila siku tukishinda tumebebwa .[emoji2959]
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri mkienda kule kamechi ka1 tu nje!Yanga bwana wanalalamikaaaa weeee na nyinyi si mfunge hayo magoli ya offside ....ngedele nyie mnatuchosha ..kila siku tukishinda tumebebwa .[emoji2959]
Sent using Jamii Forums mobile app
mpira wa Tanzania ni kama chama(siasa) cha ccm, tubebwe tusibebwe mwisho wa siku simba anachukua ubigwa
Mashabiki wa Simba ni wakuda yaani wao ilimradi ushindi tu ukiwaambia ukweli unawauma, ukweli mnabebwa hadi mnakera
Sent using Jamii Forums mobile app