Kwa jinsi Simba wanavyobebwa nashauri wapewe kombe

Waamuzi wetu wanashida sehemu haiwezekani makosa yaleyale kila siku,
lakini haya makosa yako upande 1 tu mbona hawakosei kwa timu pinzani inapocheza nao
 
Cc. Penison
 
Tutabeba ubingwa huku Yanga wakibaki na mechi tatu mkononi, ambazo hata wakishinda wanabaki nafasi ya tano, [emoji23]

Waendelee kuwa na viporo,

Msimu uliopita tuliambiwa tunaandaliwa ubingwa kwa kuwa na mechi za viporo[emoji23]

Leo viporo wanavyo wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilichukua dakika ngapi bocco kupewa pasi?
Unaona kabisa bocco anatoka nyuma na mabeki wanamtegea kumkaba ili iwe offside unataka refa afanye nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ingelikuwa hivyo basi kusingekuwa na sheria ya offside. Kwasababu offside maanake mchezaji yupo peke yake (amezidi mbele) wakati mpira wa assist unapigwa kwake (hakuna aliyemkaba). Sasa kama lazima mchezaji wa timu pinzani akabwe je kwanini kuwe na sheria ya offside?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesoma user name ya uliyemquote?
 
Boko hakuwa peke yake angalia vizuri.alikuwa na mabeki 3 wa polisi .
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hali hii tushakata tamaa mtani. Peweni tu kombe lenu mulihifadhi.
Msikate tamaaa

Hahaha pambaneni hata kwa kuandika barua fifa

Nakumbuka kipindi kile sisi mpaka barua FIFA za ubingwa wenu Wa mezani tulikuwa tunazifikisha.


Ila mnyama mkali Jamal malinzi ulikuwa anazipangua tu.


Mi sioni simba ikibebwa sema referee wetu hawana ubora. Angalia penat hata azam aliyopewa zidi ya lipuli ilikuwa nyepesi sana. Kwaiyo ni tatizo la mfumo tu nalo liona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…