Kwa jinsi Simba wanavyobebwa nashauri wapewe kombe

Kwa jinsi Simba wanavyobebwa nashauri wapewe kombe

,Nikajua video uliyoleta ina sahihisha utata uliopo kuwa lile ni goli au sio goli. Kumbe ni video ile ile ya replay tu hakuna jipya. Hapa inahitajika video inayo clear doubt, yaani ioneshe position ya mpira ulipo kisha uchorwe mstari unaougawa goli (goal line) ili tuweze kuona kama mpira ulivuka mstari au lah!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna haja maana kipa anaonekana anavyo roll mpira nje
 
Hakuna haja maana kipa anaonekana anavyo roll mpira nje
Tuchoree mstari ukionesha mpira umevuka mstari wa goal line. Kipa anaweza kuwa ndani ya goal lakini mpira usiwe umevuka goal line. Ndio maana wenzetu hawaangalii kipa yuko wapi au anafanya nini bali wanachora mstari kuonesha position ya mpira kama umevuka goal line au lah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom