Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
🐸
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa simba kosa lao ni nini....kwamba walihonga?Caf wenyewe
sina interest zozoteSubiri wapelelezi, grounds za rushwa zinajulikana, hata kama unajifanya unatetea but deep inside, unajua kuna uhun Simba walifanya[emoji23]
Utopolo wacheni maneno ya ngomani,hivi ni Simba ndiyo waliwapima hao wachezaji?Watakomaa.
Msijali mkifukuzwa bado mna nafasi kukata rufaa kule CAS, sisi tutawachangia mkate rufaa.MALCOM LUMUMBA njooo huku utushauri
Aisee!Msijali mkifukuzwa bado mna nafasi kukata rufaa kule CAS, sisi tutawachangia mkate rufaa.
Hakika tutafanya hivyo,...Aisee!
Mikia mkae mkijua manji anarudiHapa mnahangaika na utopolo.
Kumbuka wapenzi wa utopolo wapo kwenye maumivu makubwa sana.Hawana lolote la kuwapa furaha zaidi ya kuiombea Simba mabaya.
Walikomaa sana na matokeo ya covid kutoka Simba hospital Laboratory.Ndivyo wamedanganywa kwamba Simba ina kitengo cha maabara kwa ajili ya kupima Corona.
Kuna uhusiano mzuri Sana wa ujinga na kushabikia yanga, akili zao waga wanazijua wenyewe Tu, Corona sio ukimwi kwamba ukipimwa ukawa nao basi ndo inakuwa forever, hao jamaa wanahangaika Tu bure Ila wanapaswa kukubali kuwa washatolewa, wamefungwa na kila team kwenye group na nguvu wamewekeza Kwa Simba wakiamini wanawamudu na hawana mbavu za kuishtaki Al AHLY wala Vita maana ni kubwa Sana
Issue ya Corona inajulikana unaweza kupima leo ukakutwa nayo na ukapima jumapil ukawa hauna kwahiyo CAF hawawezi ata kujisumbua na hayo majibu Yao, Kwanza referee nae alikutwa na Corona hivo ni assurance kwamba hao jamaa nao pia walikuwa na Corona, na kibaya zaidi CAF ndio wanasimamia upimwaji wa Corona, UTOPOLO kabla hujaonesha ujinga wako fikilia Kwanza basi ata kidogo, mnafanya washabiki wa yanga wenye akili timamu waonekane nao ni hamnazo
Hii issue ya Covid CAF waiangalie upya Al ahil walipo kua Congo wachezaji watano walikutwa na covid, wao wana dai walikua negative hii kitu inataka kutumika kama plan B nje ya uwanja
Soma uelewe logic yangu ni kwamba kuna team zina tumia hii kitu kama kichaka cha kudhoofisha team zingine una kumbuka Plateu, Platinum walikutwa na covid hao El Marekh ,Namungo nao kesi yao huko Angora, El marekh pia waliwatoa team ya Ghana kwa hio hio mambo ya Covid ifike mda CAF wawe makini hasa hizi round mbili za mwishoKwa hiyo mechi zote alizopoteza ni corona ? Poor
Mkuu Africa hii kitu inataka kutumika kama mtaji kwann team wenyeji hua hazina kesi ya CovidWatu ni wapumbavu hawawezi hata ku reason wanakuwa emotional_ driven. Ishu ya kupima corona simba hawahusiki wanaopima corona ni maafisa wa CAF, So naona hao Al Merekk wanatafta pa kujiliwazia.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mpira haupo hivyo jamaa yangu kila mechi ina matokeo yake ukisema hivyo basi Simba isinge draw na PrisonYaani kafungwa Vita nyumbani kwake, kafungwa Alhly hapa, hao wasudan wana maajabu gani mpaka wafanyiwe figisu figisu za kusingiziwa ili wachezaji wao wasicheze..?
Utopolo hiyo mimba ya gsm haizaliki nawaambia..
Fitna[emoji22][emoji22]View attachment 1730267View attachment 1730269
Tatizo huo mwiko huko nyumaMikia mkae mkijua manji anarudi