Kwa jirani kunaungua!!!!!

Kwa jirani kunaungua!!!!!

Hapa mnahangaika na utopolo.

Kumbuka wapenzi wa utopolo wapo kwenye maumivu makubwa sana.Hawana lolote la kuwapa furaha zaidi ya kuiombea Simba mabaya.

Walikomaa sana na matokeo ya covid kutoka Simba hospital Laboratory.Ndivyo wamedanganywa kwamba Simba ina kitengo cha maabara kwa ajili ya kupima Corona.
Mikia mkae mkijua manji anarudi
 
Kuna uhusiano mzuri Sana wa ujinga na kushabikia yanga, akili zao waga wanazijua wenyewe Tu, Corona sio ukimwi kwamba ukipimwa ukawa nao basi ndo inakuwa forever, hao jamaa wanahangaika Tu bure Ila wanapaswa kukubali kuwa washatolewa, wamefungwa na kila team kwenye group na nguvu wamewekeza Kwa Simba wakiamini wanawamudu na hawana mbavu za kuishtaki Al AHLY wala Vita maana ni kubwa Sana

Issue ya Corona inajulikana unaweza kupima leo ukakutwa nayo na ukapima jumapil ukawa hauna kwahiyo CAF hawawezi ata kujisumbua na hayo majibu Yao, Kwanza referee nae alikutwa na Corona hivo ni assurance kwamba hao jamaa nao pia walikuwa na Corona, na kibaya zaidi CAF ndio wanasimamia upimwaji wa Corona, UTOPOLO kabla hujaonesha ujinga wako fikilia Kwanza basi ata kidogo, mnafanya washabiki wa yanga wenye akili timamu waonekane nao ni hamnazo

Umemaliza kila kitu, ujinga wa utopolo ni zaidi ya ushabiki wa mpira. Wanasafari ndefu sana, Namungo wamesha waacha mbali sana .
 
Hii issue ya Covid CAF waiangalie upya Al ahil walipo kua Congo wachezaji watano walikutwa na covid, wao wana dai walikua negative hii kitu inataka kutumika kama plan B nje ya uwanja

Kwa hiyo mechi zote alizopoteza ni corona ? Poor
 
Kwa hiyo mechi zote alizopoteza ni corona ? Poor
Soma uelewe logic yangu ni kwamba kuna team zina tumia hii kitu kama kichaka cha kudhoofisha team zingine una kumbuka Plateu, Platinum walikutwa na covid hao El Marekh ,Namungo nao kesi yao huko Angora, El marekh pia waliwatoa team ya Ghana kwa hio hio mambo ya Covid ifike mda CAF wawe makini hasa hizi round mbili za mwisho
 
Yaani kafungwa Vita nyumbani kwake, kafungwa Alhly hapa, hao wasudan wana maajabu gani mpaka wafanyiwe figisu figisu za kusingiziwa ili wachezaji wao wasicheze..?

Utopolo hiyo mimba ya gsm haizaliki nawaambia..
 
Yaani kafungwa Vita nyumbani kwake, kafungwa Alhly hapa, hao wasudan wana maajabu gani mpaka wafanyiwe figisu figisu za kusingiziwa ili wachezaji wao wasicheze..?

Utopolo hiyo mimba ya gsm haizaliki nawaambia..
Mpira haupo hivyo jamaa yangu kila mechi ina matokeo yake ukisema hivyo basi Simba isinge draw na Prison
 
Back
Top Bottom