Kuichukia Simba hakutoiinua yanga, amkeni sasa mpeni mtu awajengee timu yenu....Mbumbumbu uelewa wao ni mdogo, angalia kama hapa povu kama lote kwa Yanga badala ya kupambana na El Merreikh waliowashitaki CAF[emoji42]
Hivi zile kesi zinazopelekwa Fifa za madai ya wachezaji wenu siyo kashifa au hazichafui brand.Hamjui kuwa hiyo ni kashfa kubwa, inachafua brand na kufanya muangaliwe kwa jicho la 3!
Mnatrend yan![emoji42]Kuichukia Simba hakutoiinua yanga, amkeni sasa mpeni mtu awajengee timu yenu....
Mambo ya anafaidika nini achananeni nayo, hizo ni pesa zake msimpangie saana jinsi ya kufaidika mradi tu hatajimilikisha club.
Sasa Manji na MO unawalinganishaje, au ndo unajaribu kulazimisha makalio yako kutafuna Muwa?Mikia mkae mkijua manji anarudi
Kwa sababu Utopolo ndiyo mnashabikia huo upuuzi wa Waarabu koko. Utopolo mtabaki kushabikia wageni tu kwani mimeshajikatia tamaa ya ubingwa, mtateseka sana.Mbumbumbu uelewa wao ni mdogo, angalia kama hapa povu kama lote kwa Yanga badala ya kupambana na El Merreikh waliowashitaki CAF[emoji42]
.Hivi zile kesi zinazopelekwa Fifa za madai ya wachezaji wenu siyo kashifa au hazichafui brand.
Eymael apewe phd
Halafu wanajiita timu ya wananchi kumbe bado wana ndoto ya MANJISasa Manji na MO unawalinganishaje, au ndo unajaribu kulazimisha makalio yako kutafuna Muwa?
Timu za kiafrica kulalamika ni kawaida... CAF nadhan wanalijuasimba wawe makini mechi ijayo na vita, vita wakilalamika kufanyiwa hujuma zozote simba watakuwa matatani sana
Hata sisi tulipata draw nao lakini tulilalamika,kule Nigeria tulilalamika lakini wapi matokeo hola ,huez amini hata game na Vita tulishinda ila tuliacha wachezaji 6 sababu ya corona na kulalamika lakini hali ilibaki kua vilevile nahisi vita walikosea target kwamba mkude ana Corona kumbe sie tushaamia kwa Lwangasimba wawe makini mechi ijayo na vita, vita wakilalamika kufanyiwa hujuma zozote simba watakuwa matatani sana
CAF ina uongozi mpya, unaweza kuchukua hatua malalamiko ya timu na kuziweka matatani timu zinazolalamikiwa, suala la simba limevuma mno , na tena al merekh waliweka kabisa kwenye officially page yao, kuna image mbaya wanaitengenezea simba kimataifa, hata ushindi wake utaonekana wa mbinu za nje ya uwanja, na ujue ili kundi al ahly anafanya kila mbinu awe wa kwanza waikwepe mamelodi quater final!Hata sisi tulipata draw nao lakini tulilalamika,kule Nigeria tulilalamika lakini wapi matokeo hola ,huez amini hata game na Vita tulishinda ila tuliacha wachezaji 6 sababu ya corona na kulalamika lakini hali ilibaki kua vilevile nahisi vita walikosea target kwamba mkude ana Corona kumbe sie tushaamia kwa Lwanga
CAF ina uongozi mpya, unaweza kuchukua hatua malalamiko ya timu na kuziweka matatani timu zinazolalamikiwa, suala la simba limevuma mno , na tena al merekh waliweka kabisa kwenye officially page yao, kuna image mbaya wanaitengenezea simba kimataifa, hata ushindi wake utaonekana wa mbinu za nje ya uwanja, na ujue ili kundi al ahly anafanya kila mbinu awe wa kwanza waikwepe mamelodi quater final!
Malalamiko yao hayana nguvu kwani mechi ya kwanza na Simba tena kwao wachezaji wao watano walikutwa na Corona lakini hakuna hata mmoja wa Simba alikutwa na Corona.CAF ina uongozi mpya, unaweza kuchukua hatua malalamiko ya timu na kuziweka matatani timu zinazolalamikiwa, suala la simba limevuma mno , na tena al merekh waliweka kabisa kwenye officially page yao, kuna image mbaya wanaitengenezea simba kimataifa, hata ushindi wake utaonekana wa mbinu za nje ya uwanja, na ujue ili kundi al ahly anafanya kila mbinu awe wa kwanza waikwepe mamelodi quater final!
Aj sooura hawakuwahi kuwalalamikia Simba, as vita walipotoshwa na utopolo ndio maana malalamiko yao hayakupewa nguvuHawa El Merreikh wanalipa sababu hata sisi malalamiko yao tuliyaweka official hadi kwenye page zetu na wakati huo CAF wana medical department yao inayojihusisha na upimaji wa covid
Hata simba kupitia msemaji wake tulikubali kua Merreikh walitufanyia fair sana nyumban kwao hivyo hatuna haja ya kuwafanyia figisu, naona ni kama wametufanyia kile tulichowafanyia baada ya game tuliyo draw kwao
Merreikh ni timu pekee iliyofanya usajili mkubwa kwenye kundi letu bila kuzingatia mahitaji ya benchi la Ufundi wachezaji wapya zaidi ya 15 na hata wakiwa wanacheza huoni wanatumia mfumo gani au huoni wanachokifanya uwanjani yani wapowapo tu
Malalamiko pekee ya kuiharibia Simba labda ya As Vita na Saoura ya misimu miwili ilopita ya mwaka huu ni ya kawaida