HUNIJUI SIKUJUI
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 1,335
- 1,554
Huwezi kuelewa ila ni malalamiko ya el Mereikh yakibebwa na mashabiki wa upotolo, simba haihusiki na upimaji coronamimi sijaelewa kwani ni simba ndo iliwapima hao wachezaje??
hata mimi nashangaa, naamni kuna jopo maalum la wataalam kusimamia haya, na inawezekana wengine wanatoka cafHuwezi kuelewa ila ni malalamiko ya el Mereikh yakibebwa na mashabiki wa upotolo, simba haihusiki na upimaji corona
Caf walishapata changamoto kwenye michuano iliyopita hivyo waliweka utaratibu ili hayo makosa yasijirudie, hivi wasudan na wamisri wapi wana timu kali? Hoja yao haina nguvuhata mimi nashangaa, naamni kuna jopo maalum la wataalam kusimamia haya, na inawezekana wengine wanatoka caf
Huwezi kuelewa ila ni malalamiko ya el Mereikh yakibebwa na mashabiki wa upotolo, simba haihusiki na upimaji corona
Hivi Simba ndio waliokuwa wanapima na kutoa majibu ya COVID19 ya wachezaji wa Al Mereikh? Yaani zengwe wasifanyiwe Al Ahly mabingwa halafu wafanyiwe utopolo Al Mereikh![emoji22][emoji22]View attachment 1730267View attachment 1730269
Kumfanyia ubaya/fitina mtu ambaye unategemea kwenda kwakeCaf walishapata changamoto kwenye michuano iliyopita hivyo waliweka utaratibu ili hayo makosa yasijirudie, hivi wasudan na wamisri wapi wana timu kali? Hoja yao haina nguvu
Yule bongenyanya mataputapu yamemuathiri ubongo,anajiropokea tuHii Yanga kuanzia viongozi mpaka mashabiki wamekuwa hawatumii akili zao kabisa linapokuja suala la Simba. Kuna siku Mwakalabela aliulizwa anazungumziaje mafanikio ya Simba katika hatua ya makundi,akajibu hajapata hizo habari kama Simba ipo hatua ya makundi
Unaumia ukiwa Kidimbwi gani dada mkubwa?Simba inahusika na hizi hujuma wala hamuwezi kuzikwepa,na hii strategy mmeiga kutoka Namungo. Sasa kama mnashindwa kucheza mpira naona mwisho wenye fedhea unakuja.
Ngoja tuwahujumu na nyinyi mkae kimyaSimba inahusika na hizi hujuma wala hamuwezi kuzikwepa,na hii strategy mmeiga kutoka Namungo. Sasa kama mnashindwa kucheza mpira naona mwisho wenye fedhea unakuja.
unateseka ukiwa wapi, we hangaika na kidimbwi fcDuh! Kumbe walifanya figisu mpaka kwa Refa[emoji23][emoji42]View attachment 1733508
Anza kufufua nyuzi mlizokuwa mkiongea kabla ya Simba kucheza na As vita na al haily kwanzaMuda utaongea! ntaufufua huu Uzi[emoji23]
Ila simba kama kweli wamefanya hivyo basi hawakuwaza mbali kwa team ile mbovu ndo waifanyie fitna waiache al ahly sio kweli hilo naamini
Uko sahihi kwa maoni, ila nafikiri hata CAF hawezi kuhukumu bila kufanya uchunguzi. Hao El Merick kwao tu walikua na Wachezaji ambao walikua na korona, afu kuna tetesi kua hawakuwalipia Wachezaji wao wote gharama za vipimo ndio maana hawakupewa majibu yoteCAF ina uongozi mpya, unaweza kuchukua hatua malalamiko ya timu na kuziweka matatani timu zinazolalamikiwa, suala la simba limevuma mno , na tena al merekh waliweka kabisa kwenye officially page yao, kuna image mbaya wanaitengenezea simba kimataifa, hata ushindi wake utaonekana wa mbinu za nje ya uwanja, na ujue ili kundi al ahly anafanya kila mbinu awe wa kwanza waikwepe mamelodi quater final!
Haya UtopoloSimba inahusika na hizi hujuma wala hamuwezi kuzikwepa,na hii strategy mmeiga kutoka Namungo. Sasa kama mnashindwa kucheza mpira naona mwisho wenye fedhea unakuja.
Kwani aliyechezesha nani? Hizo account utopolo mnajitengenezea afu mnajitekenya wenyewe kisa mnachekaDuh! Kumbe walifanya figisu mpaka kwa Refa[emoji23][emoji42]View attachment 1733508