Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Unakuta joto kama hili hapa jijini Dar es Salaam
Ila kuna watu wamekumbatiana mda huu wa usiku
Are serious...
Ila kuna watu wamekumbatiana mda huu wa usiku
Are serious...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu wewe jamaa..Dawa ya moto ni moto.
Siwezi kuwa sawa na ww mbuzi 😂Alafu wewe jamaa..
Kuna mwenzako kule anasema mimi na wewe ni ID moja...
Yaani wewe, mimi na pascal mayele sijui et wote ni wamoja
Kuna Ac mkuuUnakuta joto kama hili hapa jijini dasalamu...
Ila kuna watu wamekumbatiana mda huu wa usiku
Are serious...
Daaaah sawa kwahyo wewe na pascal mayele ndo sawa sio 😁😁😁😁😁😁Siwezi kuwa sawa na ww mbuzi 😂
Hata huyo nae akae pembeniDaaaah sawa kwahyo wewe na pascal mayele ndo sawa sio 😁😁😁😁😁😁
Mi huwa nainjoi napofananishwa na wataalam kama nyie naona safi dadek
Kuna Ac WAPi baba morgan acha zako wewe...Kuna Ac mkuu
Kwamba wewe una akili sana kuliko pascal mayeleHata huyo nae akae pembeni
Tulia si Kila mtu yupo kwenye nyumba ya kupanga hata kama ya kupanga basi Kila kitu unajitegemeaKuna Ac WAPi baba morgan acha zako wewe...
Kutwa mnagombana likija suala la kuchangishana ruku 😁😁😁😁
Pascal mayele 😂Alafu wewe jamaa..
Kuna mwenzako kule anasema mimi na wewe ni ID moja...
Yaani wewe, mimi na pascal mayele sijui et wote ni wamoja
😁😁😁😁😁 Safii kabisa...Tulia si Kila mtu yupo kwenye nyumba ya kupanga hata kama ya kupanga basi Kila kitu unajitegemea
Mkuu jina lake nimekosea au...🙌🙌🙌Pascal mayele 😂
Mkuu na joto hili unasema mambo ya kuchokana..Mkishachokana ndio mnaanza kusikia ile hali ya kukerekwa kwa kunatiana natiana.
Sio kwenye masuala ya katiMkuu na joto hili unasema mambo ya kuchokana..
Hata kama hili joto hata hiz genye zinaisha
Mkuu kwa joto hili sijui unapataje mda wakuwaza hayo mambo aiseee...Sio kwenye masuala ya kati