Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba kwenye joto watu hawapaswi kuzaliana? Alafu joto unalisikia wewe unaelala pembeni ya feni ya kuhamisha, kuna watu joto dar hawajui lipoje.Mkuu kwa joto hili sijui unapataje mda wakuwaza hayo mambo aiseee...
Ukijikuta hvo jua wewe una shida 😁😁😁
Bado kwa joto hili even kiyoyozi kina scruchUmaskini wako tuu mkuu
Unaposema joto kuna watu wanaishi chin ya kiyoyozi km wapo Mt Kilimanjaro.
Iwe kwenye gari, ofisin au nyumbani hapigwi joto. Tutafute tu hela mkuu
NdioMkuu jina lake nimekosea au...🙌🙌🙌
Kinascruch? Kivipi😄Bado kwa joto hili even kiyoyozi kina scruch
..mkuu acha kutetea zmambo ya hovyo
Mkuu upo wapi ...Kwamba kwenye joto watu hawapaswi kuzaliana? Alafu joto unalisikia wewe unaelala pembeni ya feni ya kuhamisha, kuna watu joto dar hawajui lipoje.
Mowwo umekamia sana suala la mi kutafuta hela..Kinascruch? Kivipi😄
Tutafute ela bana
Ni pascal nani mkuu mbona unataka kuleta mambo yako hapaNdio
Ndio maisha ya wanadasalama wengu, feni inahamishwa hamishwa.Mkuu upo wapi ...
Umejuaje nalala na feni ya kuhamisha....😁😁😁😁😁😁
Ndo wana ac sijui
Unamtu ambaye ni rafiki yako anayehitaji kukumbatiwaUnakuta joto kama hili hapa jijini Dar es Salaam
Ila kuna watu wamekumbatiana mda huu wa usiku
Are serious...
Mii natumia hv hv ila nikiwa ghetto..Ndio maisha ya wanadasalama wengu, feni inahamishwa hamishwa.
RukuuKuna Ac WAPi baba morgan acha zako wewe...
Kutwa mnagombana likija suala la kuchangishana ruku 😁😁😁😁
🤣🤣ni ushauri tuu mkuuMowwo umekamia sana suala la mi kutafuta hela..
As if hilo jukumu nimekabiziwa mimi an 😁😁😁😁😁😁
Mkuu kesho nakuja huku kupunga upepo..joto la dar sio powa huku kigamboni sio powa hadi nimeenda kupiga show game baharini na mtoto wa kiitaliano lakini bado naskia joto kalii sana hapo nipo napepewa na upepo wa baharini na ufagio wangu huku nikisikiliza goma la the weeknd too late
Mmmh kwanini umeuliza hvo..?Unamtu ambaye ni rafiki yako anayehitaji kukumbatiwa
Sasa hapo ndo shida inaanza badae muanze kusema mimi ni mkorofiRukuu
Mkuu na pesa tunazosaka kila siku..🤣🤣ni ushauri tuu mkuu
Sii personal😄
njoo kesho kaka hapo wapo kama wote mida kama hii tunawapelekea moto wanapenda sana stareheMkuu kesho nakuja huku kupunga upepo..
Nitakuepo live hapo pweza beach..
Kingine samahan nje ya mada naomba na mimi nitafutie mtoto wa kitaliano sijui ata akiwa sio mtoto yaani awe mwanamke tuu wa kitaliano
Nipo serious ila awe handsome anahela asiwe free mansonMmmh kwanini umeuliza hvo..?