Kwa joto la Dar es Salaam lakini kuna watu utakuta wamekumbatiana

Tulia si Kila mtu yupo kwenye nyumba ya kupanga hata kama ya kupanga basi Kila kitu unajitegemea
😁😁😁😁😁 Safii kabisa...

Sema mpaka unapata na ku type hivi na uhakika wee mda wakukumbatia huna mkuu...
Safiii safiii sana

Oaaa baba morgani nzuriii hyooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…