Kwa joto la Dar es Salaam lakini kuna watu utakuta wamekumbatiana

Tunazisaka kinoma noma yani
Alaf ikitokea zali la mtoto mzuri, tunasahau joto la mjini
Hapana kwenye jotoo daah..
Kuna siku nipo napiga show lile joto aiseee yaani ilikua hatarrrr

Ndo mana nikanunua vifeni vidogo kama vinne nikiwa na show navizungusha kitandani mkuu
 
Ukiendelea kupambana maisha yatakua zaidi. Badala ya feni unachkua kiyoyozi ata cha 800k, ukipiga shoo apo ni shoo kweli
Weeeh jamaa mbona una mawazo ya mambo hayo sana aiseee 😳😁😳😳😳😳

Ukitoa hayo mawazo ya show unabaki na nini kichwani mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…