Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
- #101
Kumekucha sasaPotelea pote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumekucha sasaPotelea pote
😁😁😁😁😁 We jamaaa kichwani kuna shidaUmfikishe na kilele
Sasa jamni uinafata nn hapo 😁😁😁😁Pole jamani, lakini umetoboa mpaka asubuhi peke yako
Buguruni kama wamelaaniwa hvi mkuuu daaah yaani watu wa kule mi sijawahi waelewaDar ni joto ila kuna special cases kama Buguruni......kuna mwamba juzi alinichekesha anasema siku hizi bro hili joto watu wa Buguruni tunalala halafu usiku tunatoka nje unaoga na kupumzika 😀
Vishu uliona uzi wako..We dogo kiazi kweli, sasa huyo aunt Dorry hamkumbatiani??
Usitake kusema unakaa kigambonu .Mi nilidhani naumwa aisee, joto kali kishenzi.
Ninapoish kuna upepo sana hivyo situmii AC wala feni ni kufungua madirisha tu, ila kwa juzi ikawa holaa
Mkuu mwaka mpya huo hapo bana ahahahahJoto liko wapi kijana?
Huu ni uchocheziKuna wengine mda huu wanakagua nyuzi za watu na kuanza kuzifuta 😁😁😁😁😁😁😁
Oaa nyie mliofuta nyuzi yangu nikimsema Vishu Mtata na bichwa komwe mtachomwa moto wa blue mbinguni
Ahahahaha hamna kitu kama hicho mkuu..Huu ni uchochezi
Kuchokana mbali sana, ukimwaga tuMkishachokana ndio mnaanza kusikia ile hali ya kukerekwa kwa kunatiana natiana.
Kumekucha tukanywe supu sasaKuchokana mbali sana, ukimwaga tu
Ujinga ujinga tuuuNi raha sana kukumbatiana.
Tena wewe ndo kabisa...
Unakataa tuu ila mkuu hakuna tuzo
Ila kumwaga kwa mtu usiemuelewa unaweza ukamsukuma na teke 😂Kuchokana mbali sana, ukimwaga tu
Mfikishe kilimakyaro😂😁😁😁😁😁 We jamaaa kichwani kuna shida