bonjov
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,100
- 2,491
Deodorant sometime zinapata pancha na mwili kuwa og 😂😂😂Mkishachokana ndio mnaanza kusikia ile hali ya kukerekwa kwa kunatiana natiana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Deodorant sometime zinapata pancha na mwili kuwa og 😂😂😂Mkishachokana ndio mnaanza kusikia ile hali ya kukerekwa kwa kunatiana natiana.
Duodorant utapaka hadi ubavuni?Deodorant sometime zinapata pancha na mwili kuwa og 😂😂😂
Kwamba joto ni tatizo lq mtu mmoja mmoja 😄😄Kwamba kwenye joto watu hawapaswi kuzaliana? Alafu joto unalisikia wewe unaelala pembeni ya feni ya kuhamisha, kuna watu joto dar hawajui lipoje.
Kwanza inapoanza kuwekwa deodorant ndo kwenye balaa zaidi, ndo maana unafungua boneti then unashusha ila sasa rejeta ikitoa mvuke ndo kuvumiliana sasa shida na raha ndo hizo 😂😂Duodorant utapaka hadi ubavuni?
Ngoja siku ujichanganye vikukute mgongoni 😂😂Hapana kwenye jotoo daah..
Kuna siku nipo napiga show lile joto aiseee yaani ilikua hatarrrr
Ndo mana nikanunua vifeni vidogo kama vinne nikiwa na show navizungusha kitandani mkuu
Tafuta hela ukiwa na hela Dar huwez hisi jotoUnakuta joto kama hili hapa jijini Dar es Salaam
Ila kuna watu wamekumbatiana mda huu wa usiku
Are serious...
Mkuu Kuna watu Wana AC Sasa ili joto litoke wapi?!Unakuta joto kama hili hapa jijini Dar es Salaam
Ila kuna watu wamekumbatiana mda huu wa usiku
Are serious...
Tafuta hela Dar hamna JotoUnakuta joto kama hili hapa jijini Dar es Salaam
Ila kuna watu wamekumbatiana mda huu wa usiku
Are serious...
Funga ndani kwako halfu uje ufute huu mwandiko wako...ile kitu mufindi bana huku luku yoyomaHata kama mtu ana kiyoyozi mkuu mda huu hapana..
Hata aibu mti huoni
Hatari tupu kama unampenda utavumilia kunata kwakeKwanza inapoanza kuwekwa deodorant ndo kwenye balaa zaidi, ndo maana unafungua boneti then unashusha ila sasa rejeta ikitoa mvuke ndo kuvumiliana sasa shida na raha ndo hizo 😂😂
Dadamtu umepotelea wapi!!Ni raha sana kukumbatiana.
We bana kuna wakati inabidi uwe na degree ya tolerance, kuna boneti zina hatari bro hata kama upendo upo, tusidanganyane kwamba kajaa moyoni 😂😂Hatari tupu kama unampenda utavumilia kunata kwake
Nafurahi na nitazidi kufurahi nikisheherekea na kabinti kangu hapa pembeniMkuu mwaka mpya huo hapo bana ahahahah
Wadada wengi wangejua venye tunawaona baada ya kumwaga😂wasingetublessIla kumwaga kwa mtu usiemuelewa unaweza ukamsukuma na teke 😂
Maisha mafupi haya furahia ulichonacho leoZanzibar huko ndo mda wote mnawaza mapenzi tyy
Wenzako wapo kwenye ACUnakuta joto kama hili hapa jijini Dar es Salaam
Ila kuna watu wamekumbatiana mda huu wa usiku
Are serious...
Majukumu dear...vipi tunajiandaaje kupokea mwaka?Dadamtu umepotelea wapi!!