mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Mkiambiwa katiba mpya mnaona haiwahusu1. Kwanini iishie kuuma tu?
2. Ni kweli kuwa hatuna la kufanya?
3. Ni kweli kuwa hatuwezi kama wana wa nchi hii kuwa na maridhiano baina yetu wenyewe dhidi ya wanaotaka kutufanya sisi watwana na wao watawala?
4. Ni kweli tumefilisika kimawazo namna hii?
Mtanyooka tuu