Mkiambiwa katiba mpya mnaona haiwahusu1. Kwanini iishie kuuma tu?
2. Ni kweli kuwa hatuna la kufanya?
3. Ni kweli kuwa hatuwezi kama wana wa nchi hii kuwa na maridhiano baina yetu wenyewe dhidi ya wanaotaka kutufanya sisi watwana na wao watawala?
4. Ni kweli tumefilisika kimawazo namna hii?
Mkiambiwa katiba mpya mnaona haiwahusu
Mtanyooka tuu
Hawawez tenaaa kufanya kosa walilofanya 2015Katiba mpya si wimbo:
Baraza jipya: Watu wale wale, wao Hawajiajiri?
Mpaka mtakaponyooka mngali mmepinda.
Hawawez tenaaa kufanya kosa walilofanya 2015
Endeleen kulala yaan hapo imeisha
Hakuna kuachia usukan teeenaaa
Imetosha sasa,
Ooh mama , mama, mama,. !!!
Hilo li mama lenu lenyewe lina roho mbayaaaa, silipendi.
Ni muda wetu Sasa tuliwapa miaka mitanoNani anaachia usukani kwa kupenda?
Uanaharakati ndiyo njia pekee ya kuipata katiba ya wananchi
Kwani wewe umesimama upande upi na ungependa nani asilale (labda) ila wewe?
Ni muda wetu Sasa tuliwapa miaka mitano
Tumerudisha chama kwetu tulien wajinga nyie
MhHakuna miaka 5 alipewa yeyote. Katiba mpya haiwezi kupatikana kwa mawazo mgando kama yako.
Mikakati ya kuipata katiba mpya iko wapi?
Ndiyo maana unathubutu kuwa address (kuelekeza shutuma kwa) watu wa kufikirika kana kwamba wewe haikuhusu. Kwani:
1. Nani anayeongoza harakati hizo za kudai katiba mpya?
2. Nani kama jahazi haliendi inavyopaswa una haki ya kumwulizia au hata kumwajibisha?
3. Nani anayeratibu harakati nzima na kutoa mrejesho wa maendeleo kila inapohitajika?
CHADEMA: Kujipanga kwa Ukombozi hakuna Ukomo
Au unategemea kuna mtu ataamka kutokea nyumbani kwake ghafla kukuletea katiba mpya ulipo ukiwa umelala kwako?