Mwanongwa
JF-Expert Member
- Feb 15, 2023
- 611
- 567
Hizi chaguzi zina raha yake jamani, huku Mbeya karibia kila Mtaa utakaopita unakutana na Magreda yakiendelea na kazi ya kurekebisha Barabara.
Hii huwa inatokea kila tuingiapo kwenye kipindi cha kuelekea uchaguzi tofauti na kipindi lingine.
Mwanongwa natamani uchaguzi uwe unafanyika kila baada ya miaka miwili naamini kila mtaa utakuwa unapendeza.
Shughuli hizi za kurekebisha miundombinu isiishie kipindi hiki tu cha kuelekea bali ziwe endelevu kwaajili ya kuimarisha miundombinu ya mitaa yetu.
Pia soma ~ Ujenzi wa njia nne Mbeya washika kasi
Hii huwa inatokea kila tuingiapo kwenye kipindi cha kuelekea uchaguzi tofauti na kipindi lingine.
Mwanongwa natamani uchaguzi uwe unafanyika kila baada ya miaka miwili naamini kila mtaa utakuwa unapendeza.
Shughuli hizi za kurekebisha miundombinu isiishie kipindi hiki tu cha kuelekea bali ziwe endelevu kwaajili ya kuimarisha miundombinu ya mitaa yetu.