Pre GE2025 Kwa kasi hii ya kurekebisha miundombinu Mbeya, tunatamani Uchaguzi uwe kila Mwaka

Pre GE2025 Kwa kasi hii ya kurekebisha miundombinu Mbeya, tunatamani Uchaguzi uwe kila Mwaka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mwanongwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2023
Posts
611
Reaction score
567
Hizi chaguzi zina raha yake jamani, huku Mbeya karibia kila Mtaa utakaopita unakutana na Magreda yakiendelea na kazi ya kurekebisha Barabara.

Hii huwa inatokea kila tuingiapo kwenye kipindi cha kuelekea uchaguzi tofauti na kipindi lingine.

Mwanongwa natamani uchaguzi uwe unafanyika kila baada ya miaka miwili naamini kila mtaa utakuwa unapendeza.

Shughuli hizi za kurekebisha miundombinu isiishie kipindi hiki tu cha kuelekea bali ziwe endelevu kwaajili ya kuimarisha miundombinu ya mitaa yetu.

DSC_0077.JPG
DSC_0080.JPG
IMG-20241024-WA0018.jpg
Pia soma ~ Ujenzi wa njia nne Mbeya washika kasi
 
Hizi chaguzi Zina Raha yake jamani,huku Mbeya karibia kila mtaa utakaopita unakutana na Magreda yakiendelea na kazi ya kurekebisha Barabara.

Na hii huwa inatokea kila tuingiapo Kwenye kipindi Cha kuelekea uchaguzi tofauti na kipindi lingine.

Mwanongwa natamani uchaguzi uwe unafanyika kila baada ya miaka miwili naamini kila mtaa utakuwa unapendeza .

Shughuli hizi za kurekebisha miundombinu isiishie kipindi hiki tu Cha kuelekea bali ziwe endelevu kwaajili ya kuimarisha miundombinu ya mitaa yetu .
Sio swala la Uchaguzi,Samia ameanza hizo kazi Toka 2021.

Alianza na ziara rasmi ya kufungua miradi na kuweka Jiwe la Msingi ,amehudhuria 8/8 miaka 2 mfululizo na mwakani anakuja kuzima Mwenge.

Kasi ya Samia havihusiani na Uchaguzi na Kwa taarifa Yako tuu Iko hivyo Kila Mkoa.

Kazi iendelee 👇👇

View: https://youtu.be/00RzvBTaKk8?si=uTIahDlV8PoAXysz
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hizi chaguzi Zina Raha yake jamani,huku Mbeya karibia kila mtaa utakaopita unakutana na Magreda yakiendelea na kazi ya kurekebisha Barabara.

Na hii huwa inatokea kila tuingiapo Kwenye kipindi Cha kuelekea uchaguzi tofauti na kipindi lingine.

Mwanongwa natamani uchaguzi uwe unafanyika kila baada ya miaka miwili naamini kila mtaa utakuwa unapendeza .

Shughuli hizi za kurekebisha miundombinu isiishie kipindi hiki tu Cha kuelekea bali ziwe endelevu kwaajili ya kuimarisha miundombinu ya mitaa yetu .
😆😆😆😆
 
Hizi chaguzi Zina Raha yake jamani,huku Mbeya karibia kila mtaa utakaopita unakutana na Magreda yakiendelea na kazi ya kurekebisha Barabara.

Na hii huwa inatokea kila tuingiapo Kwenye kipindi Cha kuelekea uchaguzi tofauti na kipindi lingine.

Mwanongwa natamani uchaguzi uwe unafanyika kila baada ya miaka miwili naamini kila mtaa utakuwa unapendeza .

Shughuli hizi za kurekebisha miundombinu isiishie kipindi hiki tu Cha kuelekea bali ziwe endelevu kwaajili ya kuimarisha miundombinu ya mitaa yetu .
Ukiona hadi Donald Trump anaingia jikoni kupikia watu chips, ujue hali ni tete.
 
Wanatujazia vumbi tu barabarani wangekuwa serious kweli wangekuwa wanaeka lami hata kwa kilometa moja moja kwa mwaka angalau tungefikia malengo hatakama kwa kuchelewa.
 
Ukweli ni huo uzi
Sasa kati ya mtoa Uzi ambae hajui kitu na Mimi naekuwekea facts nani muongo?

Kwamba mwaka wa uchaguzi Bajeti zimeongezeka au Kuna hela imetoka Kwa mjomba?

Kabla ya Samia Hospital ya Meta ilikuwa imeisha?

Hiyo Barabara ya mlima nyoka ilikuwepo?

Miradi ya maji aloyozindua Rais pale Mbalizi ilikuwepo?

Majengo ya Halmashauri yalikuwepo?

Hospital ya Jiji ilikuwepo?

Barabara za Lami kwenda Vijijini zilikuwepo?

Samia hafanyii miradi Kwa Ajili ya uchaguzi,lami kama hizi zimejengwa 2022 👇👇

View: https://youtu.be/z7AwHbDdcM4?si=ACZvpikVpxSRXN6H
 
Wanatujazia vumbi tu barabarani wangekuwa serious kweli wangekuwa wanaeka lami hata kwa kilometa moja moja kwa mwaka angalau tungefikia malengo hatakama kwa kuchelewa.
Kuna unafuu kidogo kwasasa
 
Sasa kati ya mtoa Uzi ambae hajui kitu na Mimi naekuwekea facts nani muongo?

Kwamba mwaka wa uchaguzi Bajeti zimeongezeka au Kuna hela imetoka Kwa mjomba?

Kabla ya Samia Hospital ya Meta ilikuwa imeisha?

Hiyo Barabara ya mlima nyoka ilikuwepo?

Miradi ya maji aloyozindua Rais pale Mbalizi ilikuwepo?

Majengo ya Halmashauri yalikuwepo?

Hospital ya Jiji ilikuwepo?

Barabara za Lami kwenda Vijijini zilikuwepo?

Samia hafanyii miradi Kwa Ajili ya uchaguzi,lami kama hizi zimejengwa 2022 👇👇

View: https://youtu.be/z7AwHbDdcM4?si=ACZvpikVpxSRXN6H

Imepita mitaani hivi karibuni? Nenda pita Nsalaga,Mama John karibu na Echa Lodge,nenda Iyela na pia jaribu kukaa na Wana Ccm wa maeneo hayo utajua nini namaanisha,
 
Imepita mitaani hivi karibuni? Nenda pita Nsalaga,Mama John karibu na Echa Lodge,nenda Iyela na pia jaribu kukaa na Wana Ccm wa maeneo hayo utajua nini namaanisha,
Ndio maana nakwambia huo ujenzi haijaanza mwaka huu kisa Kuna uchaguzi,imekuwepo hivyo Toka Mama ameingia ni vile nyie hamfiatilii.

Msikilize meneja hapa anakupa mrejesho kwamba Kabla ya Samia bajeti ya Mkoa ilikuwa Bil.9,,baada ya kushika Rungu imekuwa Bilioni 22.

Kwa ongezeko Hilo unategemea miradi itakuwa michache?

Mwisho hapo Mbeya mjini Kuna mradi wa TACTIC unafanya sanjali na Miji mingine 12 sio huko tuu hata ukienda Sumbawanga,Songea,Mwanza ,Dodoma,Kahama,Tabora ni hivyo hivyo na Dar ndio usiseme 👇👇

View: https://youtu.be/cPtSHQlfvb4?si=J6JXZVbFdarG0kX4

Mwisho nenda pale CUoM useme zile Barabara za kuzunguka Chuo zilikuwa na Lami mwaka juzi?
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Kuna unafuu kidogo kwasasa
Ndo tusubirie hadi wakati wa uchaguzi? Unajua kila wanavyokwangua barabara bila hata kueka kifusi wanaichimba barabara na ndo wanakata mabomba ya maji huko chini? Hawako serious hawa
 
Wanatujazia vumbi tu barabarani wangekuwa serious kweli wangekuwa wanaeka lami hata kwa kilometa moja moja kwa mwaka angalau tungefikia malengo hatakama kwa kuchelewa.
Labda Wakiweka lami hawatapata fursa ya kufanya marekebisho kila mwaka.
 
Ndo tusubirie hadi wakati wa uchaguzi? Unajua kila wanavyokwangua barabara bila hata kueka kifusi wanaichimba barabara na ndo wanakata mabomba ya maji huko chini? Hawako serious hawa
Tena hiyo ya kukata mabomba ndiyo kero kubwa sana,sijui Kwanini kabla ya kuanza wasiwe wanawasiliana na idala ya maji
 
Back
Top Bottom