Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli alifanya bila kusubiri uchaguzi. Hiyo danganya toto.Hizi chaguzi Zina Raha yake jamani,huku Mbeya karibia kila mtaa utakaopita unakutana na Magreda yakiendelea na kazi ya kurekebisha Barabara.
Na hii huwa inatokea kila tuingiapo Kwenye kipindi Cha kuelekea uchaguzi tofauti na kipindi lingine.
Mwanongwa natamani uchaguzi uwe unafanyika kila baada ya miaka miwili naamini kila mtaa utakuwa unapendeza.
Shughuli hizi za kurekebisha miundombinu isiishie kipindi hiki tu Cha kuelekea bali ziwe endelevu kwaajili ya kuimarisha miundombinu ya mitaa yetu.
View attachment 3133988View attachment 3133991View attachment 3133992
Sio mwaka huu Bali miaka ya Samia yote Toka ameanza Mbeya Iko vizuriTena sana,japo angalau Mwaka huu
Heri yenu . Huku kahama Hadi barabara zimflefungwa kwa kujengwa mashine za mpunga , yaani ni kuziba kabisa !Hizi chaguzi zina raha yake jamani, huku Mbeya karibia kila Mtaa utakaopita unakutana na Magreda yakiendelea na kazi ya kurekebisha Barabara.
Hii huwa inatokea kila tuingiapo kwenye kipindi cha kuelekea uchaguzi tofauti na kipindi lingine.
Mwanongwa natamani uchaguzi uwe unafanyika kila baada ya miaka miwili naamini kila mtaa utakuwa unapendeza.
Shughuli hizi za kurekebisha miundombinu isiishie kipindi hiki tu cha kuelekea bali ziwe endelevu kwaajili ya kuimarisha miundombinu ya mitaa yetu.
Pia soma ~ Ujenzi wa njia nne Mbeya washika kasi